Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Na ndipo walipochakachua Dini, hivi ungejisikiaje raha kuongea Lugha, aliyokuwa anaongea YesuHata lugha ndiyo hivyo haieleweki. Bora wakristu waliondokana na kilatini na unakuta Yesu Kristo akihubiriwa kwa lugha yeyote hata majini wanatii.
Mwanasiasa mwanasiasa mwanasiasa! Yuko tayari kufanya lolote ili a-win minds za watu.Kufuatia tukio hilo, nimeongea na rafiki yangu leo mchana akanidokeza kuwa, pamoja na viongozi wa kisiasa kuwa nguzo ya nchi haoni tija kufanya kama kilichoonekana hapo juu!.
Nani kaupigia pulomo?uisilamu unajitangaza wenyewe bhanaSiku mkizungumzia dini za Upendo, Buddhism, Paganism, Rastafarians na Hinduism utanistua maana sipati majibu sahihi kwanini Uislamu na Ukristo unapigiwa sana promo mitandaoni badala ya kujipiga promo zenyewe huko mitaani ?! [emoji848]
Haina tatizo katika swala unaweza kukosea kama hujui hii sio kosa kwani hujui pia kama atakuwa muumini kadri anavyoenda ndo atajua .Asalaam alykhum.
Nimefuatilia sana hikinkipande cha sinema nikaishia katikati, kucheka nataka, kuwa serious nashindwa.
Nikaona siyo sawa, kama mtu huwezi kuenenda sawa sawa na utaratibu wa ibada basi bi bora kutulia tu.
Hebu mcheki yule mwamba VP Gachagua anachofanya kwenye 01:36 hadi walio pembeni na nyuma hawana mbavu!.
View attachment 2593207
.Mbona hayo macho kama kanywa konyagi
Namm nitaanza kuweka za Rastafarian hasa kipengele cha kula jani la amaniSiku mkizungumzia dini za Upendo, Buddhism, Paganism, Rastafarians na Hinduism utanistua maana sipati majibu sahihi kwanini Uislamu na Ukristo unapigiwa sana promo mitandaoni badala ya kujipiga promo zenyewe huko mitaani ?! [emoji848]
Hao masheikh wa kenya hawa tofaoti na masheikh wa bakwataAsalaam alykhum.
Nimefuatilia sana hikinkipande cha sinema nikaishia katikati, kucheka nataka, kuwa serious nashindwa.
Nikaona siyo sawa, kama mtu huwezi kuenenda sawa sawa na utaratibu wa ibada basi bi bora kutulia tu.
Hebu mcheki yule mwamba VP Gachagua anachofanya kwenye 01:36 hadi walio pembeni na nyuma hawana mbavu!.
View attachment 2593207
Hahaha ameshaitwanga huyo๐๐๐๐Mbona hayo macho kama kanywa konyagi
Najua ulitaka kumaanisha ni calibre.Huyo jamaa ni mtata sana, nadhani ana carrier ya Magufuri au Magufuri hafiki kwa huyo mwamba.
Hairuhusiwi ni HaramKafanyaje hapo, mbona kajitahidi kwenda sawa!!
Kwani hairuhusiwi kwa asie muislam kushiriki ibada na waislam?
Comrade kama unauelewa wa hizo imani naomba unipee info's zake nijifunze, ukiweza anzisha uzi itakuwa poa usikose kunitag!.Siku mkizungumzia dini za Upendo, Buddhism, Paganism, Rastafarians na Hinduism utanistua ... ?! [emoji848]