Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Mtu asiyethamini Maisha ni mjinga.
Yaani una hakika hata ya dakika 1 mbele wewe, Trump anamshikuru Mungu kwani ni yeye alimwokoa, kwa maneno yake mwenyewe

Binadamu hatukuumbwa kuja kuishi duniani hapa tuna sababu ya kuletwa Nayo ni kumwabudu Mwenyezi Mungu tu basi , na ibada ni kufuata maamrisho yake
 
Nimeipata mahali:-

Shaheed Ismail Haniyeh was assassinated by an Indian who was a Mossad agent named Amit Nakesh.
At 2 am last night Indian named Amit Nakesh fired 2 MP-ATGM brought in through Indian consulate diplomatic luggage at the room Hamas leader
Huyo Mhindi mbona kila assassination anatajwa? Helicopta ya Raisi inasemekana alionekana kuigusa kabla haijaruka... Iran waache uzembe wa kuisingizia India
 
Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Yasser Arafat alikuwa peace sana. Yeye pamoja na Izhak Rabin wangemaliza uhasama. Walikuwa wanaelekea kupata amani
Wapo mpaka kwenye jeshi lao, mpaka kwenye viwanda vyao vya silaha mpaka kwenye kilemba cha babu Tolah wamo
Kwani wayahudi kwa muonekano wanafanana na Wairan (Waajemi)?
 
Gazeti la serikali wamelaumu kuwa kama Israel wameweza kupiga kwenye eneo la jeshi la Iran lenye ulinzi mkali na kumuua kiongozi wa hamas ni fedheha kwa usalama wa nchi na viongozi wao...
Hakuna ndege wala rada iliyoweza kugundua kama kuna hatari ndani ya Iran
Unaweza kuta wapalestina wenyewe ndio wamemuua
Nakumbuka Yizhak Rabin aliuawa na muisrael
 
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.

Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.

Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.


Usicheze na MOSSAD

=========

Ismail Haniyeh alikuwa mmoja wa viongozi wakuu wa Hamas kwa miongo miwili iliyopita, akiongoza shughuli za kisiasa za kundi hilo la kijeshi akiwa uhamishoni nchini Qatar katika miaka ya hivi karibuni.

Jumanne ya tarehe 30 Julai, 2024, Bw. Haniyeh alikuwa Iran na wanachama wengine wakuu wa "mhimili wa upinzani" wa Iran — ambao unajumuisha Hamas huko Gaza, Hezbollah nchini Lebanon na Wahouthi huko Yemen — kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais mpya wa Iran.

Kama kiongozi wa kisiasa wa Hamas, alikuwa muhimu katika mazungumzo na diplomasia yenye hatari kubwa ya kundi hilo, ikiwemo mazungumzo yaliyokwama ya makubaliano ya kusitisha mapigano na Israel.

Haya ndio tunayojua: Kiongozi wa Hamas huko Gaza

Bw. Haniyeh aliteuliwa kuwa kiongozi wa Hamas huko Gaza mwaka 2006. Mwaka huo, alihudumu kwa muda mfupi kama waziri mkuu wa serikali ya umoja wa Palestina, ambayo ilivunjwa baada ya miezi ya mvutano uliyojumuisha mapigano ya silaha kati ya makundi ya Palestina.

Mwaka 2017, aliteuliwa kuwa kiongozi wa ofisi ya kisiasa ya Hamas wakati ambapo walikuwa wakijaribu kupunguza taswira yao ya umma walipokuwa wakijaribu kushawishi Wapalestina na kimataifa.

Bw. Haniyeh aliongoza Hamas kutoka Qatar na Uturuki katika miaka ya hivi karibuni. Alikuwa miongoni mwa wajumbe wa mazungumzo yanayoendelea kati ya Israel na Hamas, yaliyosimamiwa na Misri, Qatar na Marekani, kumaliza vita vya Gaza kwa kubadilishana na mateka waliotekwa kwenye shambulio lililoongozwa na Hamas dhidi ya Israel.Kupanda kwa Madaraka

Alipozaliwa
Bw. Haniyeh alizaliwa mwaka 1962 katika kambi ya wakimbizi ya Shati kaskazini mwa Jiji la Gaza, kwa wazazi wa Kipalestina ambao mwaka 1948 walihamishwa kutoka nyumbani kwao katika eneo ambalo sasa ni Israel, huko Ashkelon. Alisoma katika shule zinazoendeshwa na shirika kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Wapalestina, UNRWA, na kuendelea kusomea fasihi ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Gaza.

Alikamatwa na jeshi la Israel na kuhudumia vifungo kadhaa katika magereza ya Israel miaka ya 1980 na 1990.

Kushika madaraka
Kupanda kwake madarakani huko Gaza kulisaidiwa na mshauri wake, kiongozi wa kiroho na mwanzilishi wa Hamas, Sheik Yassin, ambaye alimtumikia kama katibu binafsi. Wawili hao walikuwa malengo ya jaribio la mauaji ya Israel mwaka 2003; mwaka uliofuata, Bw. Yassin aliuawa na jeshi la Israel.

"Haupaswi kulia," Bw. Haniyeh aliwaambia umati uliojitokeza nje ya Hospitali ya Shifa huko Jiji la Gaza wakati huo. "Unapaswa kuwa imara, na unapaswa kuwa tayari kwa kulipiza kisasi."Anatafutwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu

Mwezi Mei, mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu alisema atatafuta kibali cha kumkamata Bw. Haniyeh. Mwendesha mashtaka alimshutumu yeye na viongozi wengine wa Hamas kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu kuhusiana na shambulio la Oktoba 7 dhidi ya Israel, ikiwemo "kuteketeza, mauaji, kuteka mateka, ubakaji na unyanyasaji wa kingono katika kizuizi."

Familia yake kuuawa na Israeli
Mwezi Juni, Hamas ilisema kuwa dada wa Bw. Haniyeh na familia yake waliuawa katika shambulio la kijeshi la Israel kwenye nyumba ya familia ya Haniyeh huko Gaza, madai ambayo jeshi halikuthibitisha. Mwezi Aprili, watoto watatu wa kiume wa Bw. Haniyeh kati ya watoto wake 13 waliuawa na vikosi vya Israel katika operesheni nyingine ya kijeshi huko Gaza.

Alikuwa mkaidi mbele ya hasara hiyo, na jambo kuu katika maisha ya Bw. Haniyeh ilikuwa: "Hatutasalimu amri" Bw. Haniyeh alisema wakati huo, akibainisha kuwa tayari alipoteza jamaa kadhaa katika vita hivyo.
alikuwa mtu hatari sana ndomaana kuuwawa kwake ni mafanikio makubwa sana IDF kuwahi kuyapata ktk historia ya jeshi lao..NDO MAANA IMEKUWA TAARIFA KUBWA SANA DUNIANI i wish wamba wengine wa kuendeleza kurudumu la kukomesha ushoga duniani watasimama imara,MUNGU IBARIKI HAMAS
 
Kama kuna mahali viongozi wa Wapalestina walitakiwa wajisikie salama ni Iran hasa baada ya mnyukano wake na Israeli. Kwamba, inawezekana precision guided missile imepiga jengo la jeshi katikati ya makao makuu ya nchi, siku ya kuapishwa Rais mpya siyo tu kipimo cha ujasiri bali pia ubabe. Sijui Iran watajibuje.
Au yawezekana walitumia stealth drone!
 
alikuwa mtu hatari sana ndomaana kuuwawa kwake ni mafanikio makubwa sana IDF kuwahi kuyapata ktk historia ya jeshi lao..NDO MAANA IMEKUWA TAARIFA KUBWA SANA DUNIANI i wish wamba wengine wa kuendeleza kurudumu la kukomesha ushoga duniani watasimama imara,MUNGU IBARIKI HAMAS
Hamas ni kikundi cha kigaidi hakiwezi kubarikiwa. Labda ibarikiwe na shetani
 
Kipindi sadam Hussein anatafutwa, kuna wa Islam kitaani, walijitapa kwamba USA haiwezi, kumpata, akapatikana akanyongwa, likaja janga LA ISS, wale islam walikuwa wanaona ufahari mkristo akichinjwa, wengine zile video wakawa wana save kwenye simu, wakisikia allah akabar,wakati mchinjaji anafanya yake, wanaona wameuweza ukrsto, nikawaambia, it's matter of time, tutawamaliza ISS,
Sasa kwenye issue ya Gaza, Hamas, na viongozi wake kuuliwa, tena ndani ya Iran, nawaona maswaiba zangu islam, jinsi mavi yalivyowabana, hawaamini kinachotokea,
Mala hii, lazima tuwatindue malinda
Kuna shehe hapa mtaan amelia mnoo nmemuambia badoo picha linakuja netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu
 
Back
Top Bottom