SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa hamia huko ambako hakuna Wakristo usituletee wendawazimu wako hapa.O you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you - then indeed, he is [one] of them. Indeed, Allah guides not the wrongdoing people.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Aya ngumu mno hiiO you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you - then indeed, he is [one] of them. Indeed, Allah guides not the wrongdoing people.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Kwa hiyo tayari mmejifanyia ubaguzi wenyewe bila kuhusisha mtu?O you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you - then indeed, he is [one] of them. Indeed, Allah guides not the wrongdoing people.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Huoni humu? ni daliliKwa hiyo tayari mmejifanyia ubaguzi wenyewe bila kuhusisha mtu?
🤣Wewe ndio unafurahi kuwa Wendel ukachomwe kwa kumwabudu mtu aliyekuwa akila akinya na kutawazishwa mavi ?
Shida ya mtoa mada ni chuki dhidi ya Wakristo. Analazimisha hoja za uongo kukidhi kiu yake ya chuki na ubaguziEnyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Ubaguzi upo kwako zaidi.Huoni humu? ni dalili
Acha upuuzi huyo Marehemu in impct gani Tanzania!Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Nimefika Israel mara 2 na nimetembea Jerusalem, Tel Aviv, Galilaya, Nazareth, Dead Sea, Yericho na Bethlehem. Ni kweli kuna Jews hao unaowasema wewe ambao wanafahamika kama Ashknazi Jews, hawa ni kama 30%. Ambapo 60% ya Jews wamezaliwa hapo hapo Israel sawa na Wafilisti na Wasamaria, Wassyria etcHuna hata unachokijua,ni mjinga kama wewe unaeamini vita vya Palestina na waisrael ni vita vya kidini! Hao ni majambazi yaliyochukuliwa sehem mbalibali na kuelekwa Palestina kuiba ardhi ya watu! Israel mwenyewe wapo waisrael wanaopinga uvamizi ulio fanywa na wageni kupora maeneo ya watu
Uache njia ya kupeleka misaada? Wapi? Kwa gaidi? Huo ni UJINGA na Benjamin Netanyahu hawezi fanya.Hakunaga urban war fair,imetoka wapi ikiwa UN imemkataza muisrael aache mapigano na aruhusu msaada ya kiutu iingie Gaza hajafanya hvo! Wabongo mnapenda propaganda kitu unakiona unaunganisha propaganda utafute ukweli ambao hUpo! Israel imeshindwa vita muda tuu
Na magaidi watapasuliwa sana hadi wakome, wao kuua wengine ni thawab kwa allah lakini wakiguswa wao mayowe kibao Mungu gani huyo mwenye double standards?Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. UTHIBITISHO NI HUU UNAOTKEA MASHARIKI YA KATI
Nenda kapime afya ya akili yako. Vile vita siya Hamas vs Israel bali ni Israel vs Iran. Gaza au Hamas ni battlefield tu.SASA ulitaka niuachie uwe wazi kama wako baada ya kuingiziwa mipini? Najiliwaza nini wakati Hali naiona? Una teknolojia kubwa za dunia yote,taifa teule la Mungu ukipumua Tu adui anapotea unapigana vita na hamas kilundi cha wahuni wachache wasio na lolote kijeshi Kwa muda WA mwaka? Kweli? Mkiwa mnashiba divai muwe mnaziweka na akili zenu huru
Hapa umevuka mipaka! Mambo ya wa Israel na wa Palestina wachie Wakubwa wa Dunia. Sisi ni kama sisimizi tuu kwenye hii vita. Hopeless!Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Soma hapa halafu urudi:..huyo kiongozi wa Hamas kauwawa na serikali ya IRAN.
..siamini kama Israel anaweza kuingia mpaka Teheran na kuuwa mgeni wa serikali ya Iran.
Ndugu wa Ismail Haniyeh waliokufa kwa mashambulizi ya Israel wanafika 60 including yeye mwenyewe , dada yake na wanae 3Ila Israel noma!
Kama sijakosea hata wanaye kadhaa, na dada yake, nao wameuliwa na Israel.
Mtu kapigwa kwenye korido ya kwenda chumbaniNdugu wa Ismail Haniyeh waliokufa kwa mashambulizi ya Israel wanafika 60 including yeye mwenyewe , dada yake na wanae 3
Kuna tofauti kubwa kati ya Allah wao na Mungu wetu. Wao wanasema wanampigania Allah wao na ndiyo maana wako tayari kujivisha mabomu kwa ajili ya kumtetea (mfano issue ya Salman Rushdie).Sasa kina Hamas si wanajivunia Allah muweza wa yote kuliko technology kila kitu wakifanya Allah akbar. Kulikoni Allah? Kumbe Allah si chochote mbele ya Israel mbele ya marekani. Anachojua ni kiarabu tu. Bure kabisa.
Endelea kubana marinda na mkundu huku ukiandamwa na uchungu mkuu.
Imam Hussein FOREVER
Jagina