Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Sasa hamia huko ambako hakuna Wakristo usituletee wendawazimu wako hapa.
 
Aya ngumu mno hii
 
Kwa hiyo tayari mmejifanyia ubaguzi wenyewe bila kuhusisha mtu?
 
yule mwamba alikua qatar oct 7, akiangalia vijana wake wakishuka na maparuchut kikomando kwenye tamasha la Gen Z wa kizayuni na kuwamwagia ngugu huku wakichinja wanaondelea kupumua , akasema mungu mkubwa akipiga magoti na kusujudu ,
na baadae press conference na Al Jazeera alisisitiza hio oct 7 ni mwanzo tu itaendelea kwa kujirudiarudia.
Alidhani yeye ni main character ,kumbe bhana kuna watu wameumbiwa vita na hawaishi by the rule wanatwanga yeyote na wanatwanga popote bila kujarani duration hata miaka 50
Marehemu kawaponza watu wengi sana wasio na hatia halafu kafa kizembe bora angefia mstari wa mbele angalau angekufa kishujaa akipambania alilolianzisha
 
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Shida ya mtoa mada ni chuki dhidi ya Wakristo. Analazimisha hoja za uongo kukidhi kiu yake ya chuki na ubaguzi
 
Nimefika Israel mara 2 na nimetembea Jerusalem, Tel Aviv, Galilaya, Nazareth, Dead Sea, Yericho na Bethlehem. Ni kweli kuna Jews hao unaowasema wewe ambao wanafahamika kama Ashknazi Jews, hawa ni kama 30%. Ambapo 60% ya Jews wamezaliwa hapo hapo Israel sawa na Wafilisti na Wasamaria, Wassyria etc
 
Uache njia ya kupeleka misaada? Wapi? Kwa gaidi? Huo ni UJINGA na Benjamin Netanyahu hawezi fanya.
 
Na magaidi watapasuliwa sana hadi wakome, wao kuua wengine ni thawab kwa allah lakini wakiguswa wao mayowe kibao Mungu gani huyo mwenye double standards?
 
Nenda kapime afya ya akili yako. Vile vita siya Hamas vs Israel bali ni Israel vs Iran. Gaza au Hamas ni battlefield tu.

Ndiyo maana Ebrahim Rais aliyekuwa anawapa jeuri alitunguliwa mwezi Mei 2024, na Kamanda wao mkuu Ismail Haniyeh kadondoshwa jana wakati anahudhuria kuapishwa kwa Rais mpya Masoud Pezeshkian

Hiyo ni demo tu kwa Rais mpya Masoud kuwa ukileta fyoko na wewe tunakupekeka ukahangaike na mabikra 72
 
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

Hapa umevuka mipaka! Mambo ya wa Israel na wa Palestina wachie Wakubwa wa Dunia. Sisi ni kama sisimizi tuu kwenye hii vita. Hopeless!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Allah wao na Mungu wetu. Wao wanasema wanampigania Allah wao na ndiyo maana wako tayari kujivisha mabomu kwa ajili ya kumtetea (mfano issue ya Salman Rushdie).

Kwa Wakristu wao wanasema Mungu wao atawapigania wakiwa na shida. Ndiyo maana hata utukane ukristo, uchane Biblia, ukashifu msalaba, tutakuangalia tu nankuendelea kula kitimoto.

Jagina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…