Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Tuacheni ushabiki jamani,naona hizi mambo wakristu wenzangu mnasapoti sana upande wa Israel na Waislam pia upande wa Iran,Palestine n.k
Tufanye mambo ya Msingi,hivi vita havina msaada wala faida yoyote kwetu.
Mkuu si uachane tu na uzi huu na ufanye yako? Kwa nini umekuja huku?
 
Shida ya mtoa mada ni chuki dhidi ya Wakristo. Analazimisha hoja za uongo kukidhi kiu yake ya chuki na ubaguzi
uislam unatufunisha kuwapenda watu wa dini zote wale ambao hawaipigi vita uislam na sio dini fulani. sasa humu 99% wa ukiristo wanaupiga vita uislam
 
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

Haniya wa Iraq au Haniya wa Kina Wavaa mashuka?
Umejitahidi na wewe kuweka Code😆😆😆
 
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

Hakuna waliofurahia kifo cha Haniya kama Saudi Arabia, UAE, Jordan na Bahrain.

Hawa CHADEMA unawaonea tu maana hata wakifurahia haina impact yoyote. We sikitika zaidi hao ndugu zake Haniya wanafurahia mwenzao kuuawa. Huo ni Msiba Mzito Sheikh.

Wabilah Tawfiq
 
uislam unatufunisha kuwapenda watu wa dini zote wale ambao hawaipigi vita uislam na sio dini fulani. sasa humu 99% wa ukiristo wanaupiga vita uislam
Uzushi huu sasa, mbona wewe unapiga vita Ukristo daily tena kwa hoja za ulaghai?!
 

Attachments

  • FB_IMG_1712327327529.jpg
    FB_IMG_1712327327529.jpg
    47.3 KB · Views: 1
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wnaalalamika wnatekwa lkn kifo cha Haniya wnaafurahia. Hii inathibitishwa hapa Jf Baada ya user wnaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

alikuwa ni gaindi ndugu yangu, ameuwa watoto wengi sana wa kiyahudi, na alikuwa mwizi wa misaada ya wapalestina ndio maana alikuwa hapatani na abas. kwa maisha yale ya wapalestine unaweza kuamini yeye alikuwa na utajiri wa 4b USD, yaani utajiri wa bahresa huu zidisha mara 4.
 
alikuwa ni gaindi ndugu yangu, ameuwa watoto wengi sana wa kiyahudi, na alikuwa mwizi wa misaada ya wapalestina ndio maana alikuwa hapatani na abas. kwa maisha yale ya wapalestine unaweza kuamini yeye alikuwa na utajiri wa 4b USD, yaani utajiri wa bahresa huu zidisha mara 4.
Malipo ni hapa hapa duniani
 
Na magaidi watapasuliwa sana hadi wakome, wao kuua wengine ni thawab kwa allah lakini wakiguswa wao mayowe kibao Mungu gani huyo mwenye double standards?
WEWE ITAKUWA MKIRISTO: SOMA AYA HII

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
 
Malipo ni hapa hapa duniani
WEWE ITAKUWA MKIRISTO SOMA AYA HII

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
 
Kama namuona ustaadh Malaria 2 na kisinia chake cha kitimoto na mezani ana K Vant kubwa halafu akimaliza hapo anapiga Takbir kubwaaa.

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu AYA HII KABLA HATA WAMESHONARI HAWAJAINGIA AFRIKA
 
Tuacheni ushabiki jamani,naona hizi mambo wakristu wenzangu mnasapoti sana upande wa Israel na Waislam pia upande wa Iran,Palestine n.k
Tufanye mambo ya Msingi,hivi vita havina msaada wala faida yoyote kwetu.
Umetumwa? Nani kakuambia tunaitafuta faida, wewe Fanya Yako as long as hatukuombi Hela ya kula tuache.
 

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu AYA HII KABLA HATA WAMESHONARI HAWAJAINGIA AFRIKA
Na sisi hatutaki uswahiba na magaidi
 
Back
Top Bottom