Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Hata iwe kichwa nazi pale mazayuni hawatakaa wakatulia pale sio kwao
 
Na ndiye waziri mkuu wa israeli mwenye rekondi ya kipekee katika utawala wake tangu aingie awamu yake ya kwanza. Bado ana kazi kubwa kuitia adabu iran iache kidomodomo na isaini mkataba wa amani inyamaze kimya kama misri katika mkataba wa amani wa camp david
 
View attachment 3128708

Kaka yake aliuawawa akiwa katika mission iliofanikiwa ya kuokoa hostages waliokuwa chini ya ulinzi wa idd amin dada pale Uganda.

Yeye ameendeleza harakati ya kuipigania nchi yake kishujaa kama vile alivyofanya ndugu yake.

Wengine wanasema ni mkorofi sana, mmuaaji, kiburi mtu, aggresive, manipulator, etc ila all in all atafanya yote hayo ili tu nchi yake isiwe mikononi mwa magaidi wa itikadi za kitapeli.

Benja, eeh, endeleea kuwala..
Tuko na wewe hadi wakuue.
View attachment 3128716
NAKUBALIANA NAWE HUYU JAMAA NI SHUJAA. NATAKA NIKIPATA MTOTO NIMWITE BENJAMINI NETANYAU SHEMHOZA
 
Anatisha kama Njaa.... Anasema Cheers. Sijui Chizii... Mtajua wenyewe.
Hafai kabisa huyu. Asomewe Al badr....

Screenshot_2024-10-18-16-13-35-244_org.mozilla.firefox~2.jpg

Ritz Adiosamigo Malaria 2 Sir John Roberts Jagina
Huyu tumsomee al badri au tijuan.... Hafai kabisa kuendelea kuishi. Anaweza muua hata Mudy.
 
mkuu mimi nimekuja kwako nikaua mtoto wako nimemwaga damu, alaf wewe ukaja kwangu ukavunja TV yangu ya ukutani kwa hiyo na wewe utajiita umelipiza kisasi? TV si ninaenda kununua ingine? ila mtoto utaenda kumnunua wapi?

na pia suala na Iran kurusha makombora israel hilo suala bado liko pending ni suala la muda tuu
Ona unavyotoa mifano ambayo haifanani.
Iran imelipua miundombinu ya kijeshi tena mingi tu.
Na haijulikani kama kuna mwanajeshi ambaye hajafa ama laa.
Usifananishe na mfano wa TV ni vitu haviendani.
Unajua gharama ya F-35 moja mkuu!??
Nenda kapige hesabu.
Usisahau kuwa Hizbollah ndani yake kuna wanajeshi wa Iran ndio wanasaidia operation za Hizbollah ndio maana unaona mpakani na Lebanon Israel anapata kibano.

Israel afanye anavyofanya asiguse raia wa Iran,akigusa raia mara hii Iran hatopiga miundombinu ya kijeshi bali atapiga raia.
 
Anatisha kama Njaa.... Anasema Cheers. Sijui Chizii... Mtajua wenyewe.
Hafai kabisa huyu. Asomewe Al badr....

View attachment 3128729
Ritz Adiosamigo Malaria 2 Sir John Roberts Jagina
Huyu tumsomee al badri au tijuan.... Hafai kabisa kuendelea kuishi. Anaweza muua hata Mudy.
Nilipomuona nimelia sana kwa kwikwi huku nachunga punda wangu hadi nikaanza kumuita majina kama netapaka,natanyau,dracula,the beast G.KOAT(the Great Killer of all Times)!IAnd,yet,I hate to hate this old-boy!🤔
 
Kabamiza vichwa ngumu ndani ya muda mfupi wakati wenzake walishindwa kubamiza vichwa hivi vilivyowasumbua. Ndiye atakuwa waziri mkuu maarufu kuwahi kutokea israel. Akina menechim begni, david ben gurion na golder meir wakasome
Ariel Sharon umemsahau!Balaa tupu.Hawa mazayuni tutadili nao hapa kwa hapa kama kidevu na ndevu.🙏😎
 
Back
Top Bottom