View attachment 3128708
Kaka yake aliuawawa akiwa katika mission iliofanikiwa ya kuokoa hostages waliokuwa chini ya ulinzi wa idd amin dada pale Uganda.
Yeye ameendeleza harakati ya kuipigania nchi yake kishujaa kama vile alivyofanya ndugu yake.
Wengine wanasema ni mkorofi sana, mmuaaji, kiburi mtu, aggresive, manipulator, etc ila all in all atafanya yote hayo ili tu nchi yake isiwe mikononi mwa magaidi wa itikadi za kitapeli.
Benja, eeh, endeleea kuwala..
Tuko na wewe hadi wakuue.
View attachment 3128716