Hatari huyu mtuuKabamiza vichwa ngumu ndani ya muda mfupi wakati wenzake walishindwa kubamiza vichwa hivi vilivyowasumbua. Ndiye atakuwa waziri mkuu maarufu kuwahi kutokea israel. Akina menechim begni, david ben gurion na golder meir wakasome
NAKUBALIANA NAWE HUYU JAMAA NI SHUJAA. NATAKA NIKIPATA MTOTO NIMWITE BENJAMINI NETANYAU SHEMHOZAView attachment 3128708
Kaka yake aliuawawa akiwa katika mission iliofanikiwa ya kuokoa hostages waliokuwa chini ya ulinzi wa idd amin dada pale Uganda.
Yeye ameendeleza harakati ya kuipigania nchi yake kishujaa kama vile alivyofanya ndugu yake.
Wengine wanasema ni mkorofi sana, mmuaaji, kiburi mtu, aggresive, manipulator, etc ila all in all atafanya yote hayo ili tu nchi yake isiwe mikononi mwa magaidi wa itikadi za kitapeli.
Benja, eeh, endeleea kuwala..
Tuko na wewe hadi wakuue.
View attachment 3128716
Mlaji alitoka kwenda kula chakula chake,unaelewa nini?Unavyosikia mpanz alitoka kwenda kupanda mbegu zake, unaelewa nini?
Ona unavyotoa mifano ambayo haifanani.mkuu mimi nimekuja kwako nikaua mtoto wako nimemwaga damu, alaf wewe ukaja kwangu ukavunja TV yangu ya ukutani kwa hiyo na wewe utajiita umelipiza kisasi? TV si ninaenda kununua ingine? ila mtoto utaenda kumnunua wapi?
na pia suala na Iran kurusha makombora israel hilo suala bado liko pending ni suala la muda tuu
Nilipomuona nimelia sana kwa kwikwi huku nachunga punda wangu hadi nikaanza kumuita majina kama netapaka,natanyau,dracula,the beast G.KOAT(the Great Killer of all Times)!IAnd,yet,I hate to hate this old-boy!🤔Anatisha kama Njaa.... Anasema Cheers. Sijui Chizii... Mtajua wenyewe.
Hafai kabisa huyu. Asomewe Al badr....
View attachment 3128729
Ritz Adiosamigo Malaria 2 Sir John Roberts Jagina
Huyu tumsomee al badri au tijuan.... Hafai kabisa kuendelea kuishi. Anaweza muua hata Mudy.
Muddy gani tena? Au yule Mzee wa ahadi za mabikira?Anatisha kama Njaa.... Anasema Cheers. Sijui Chizii... Mtajua wenyewe.
Hafai kabisa huyu. Asomewe Al badr....
View attachment 3128729
Ritz Adiosamigo Malaria 2 Sir John Roberts Jagina
Huyu tumsomee al badri au tijuan.... Hafai kabisa kuendelea kuishi. Anaweza muua hata Mudy.
SanaWatu kwa uchochezi mnatisha
Ahhahaha au sioKashike madaraka ya sinwar
Ni hawa mazayuni wa Ilolangulu Tabora.Watu kwa uchochezi mnatisha
Hapo anaona ufahari anasahau umaskini wake ,anasahau ndugu zake kule congo .Watu kwa uchochezi mnatisha
Ariel Sharon umemsahau!Balaa tupu.Hawa mazayuni tutadili nao hapa kwa hapa kama kidevu na ndevu.🙏😎Kabamiza vichwa ngumu ndani ya muda mfupi wakati wenzake walishindwa kubamiza vichwa hivi vilivyowasumbua. Ndiye atakuwa waziri mkuu maarufu kuwahi kutokea israel. Akina menechim begni, david ben gurion na golder meir wakasome