Drone ilitumwa baada ya jengo kuwa limepigwa bomu na kifaru, hapo Yahya akiwa tayari kesha jeruhiwa vibaya kavunjika mkono wakulia na mguu kitendo cha kujaribu kuipiga drone kwa fimbo akitumia mkono wa kushoto kimemchora kwa watu wake kama kiongozi shujaa, shahidi aliyepigana mpaka tone la mwisho la uhai wake, Waisrael wamebugi kuachia ile fotage ya drone ni bonge la promo kwa mwendazake.Hahahaaa! Kuirushia dron fimbo! πππππhata hao mabikira 72 wa peponi watamkataa. Kufa gani huko!
Ndio maana nakuambia Biblia kwa sehemu kubwa imeandikwa kwa mafumbo. Unavyosikia mnyama mwenye vichwa saba huwez kujuaMlaji alitoka kwenda kula chakula chake,unaelewa nini?
Acha uwongo, muongozo hauwezi andikwa kwa kificho/mafumboNdio maana nakuambia Biblia kwa sehemu kubwa imeandikwa kwa mafumbo. Unavyosikia mnyama mwenye vichwa saba huwez kujua
Haikuwa drone,drone ilienda kupiga picha kumtambua,walipiga na kifaru,askari wake watatu wakafa,yeye hakufa,wakapiga kombora la kubeba begani,hakufa, sniper ndiyo akapiga kichwani,kwa maelezo ya israelDrone ilifumua ubongo.
Hauwez kwako. Ila kwa wasomi wa biblia wanajua nachomaanishaAcha uwongo, muongozo hauwezi andikwa kwa kificho/mafumbo
Siyo kweli,hicho huwa kichaka tu cha kujifichiaHauwez kwako. Ila kwa wasomi wa biblia wanajua nachomaanisha
Hivi Tanzania pia kumbe tulichukua mateka wa palestina mana waliwaua kabisa vijana wetu bila hata kuwahoji vizuriUnashabikia bila ya kujua , basi hao wapalestina walitekwa tena hata watoto na israel kabla yaani mpaka April mwaka jana ...Jamaa wakajitahidi ile oktoba kukamata wale ili wapate kubadilisha mateka wenzao watoke , wewe bado unaona sawa kuwakejeli ...Fikiria mara 2 mbili π π π
View attachment 3128771
"ISRAEL HITS GAZA SCHOOL" halafu kickers, military investigating whether Hamas leader killed? Bado tutawalaumu Israeli kupiga maeneo ya public services? Kiongozi mkuu wa vita kwenda kujificha maeneo ya shule si ni kwamba unataka watu wapige mabomu shule ili watoto wafe?Hamjaboni wadau!? Hii ni kwa mujibu wa Al Jazeera inasemekana yahya sinwar,kiongoz wa Hamas kalambishwa mchanga View attachment 3127793
How beautiful β€οΈ β€οΈ it is huyo ndio kiongozi the likes of che Guevara huwezi kaa usubirie wakukute ndani amekufa na AK,rifle na sniper, alikua kawawahisha wengi jahanam
Shangazi umesilimu!?ushagundua hila za shetani au unachokifanya ndio hila yenyewe!?Wamebahatisha tu hao mazayuni.Tun
aapa kulipiza kumesilimu
Kwa hiyo hapo kwenu shangazi zako wana majina ya Musa,Joni na Abdala halafu baba yako anaitwa Mery,mjombaako anaitwa Anna siyo?Kurabashakarabashakara bakande wewe!Shangazi umesilimu!?ushagundua hila za shetani au unachokifanya ndio hila yenyewe!?
BRO, YOU ARE NEXT!!!!
View attachment 3128831
Yaani wewe unafurahia mtu kuuawa kwa kupigania haki yake ? Kwa akili hizi Wacha mama awatawale mitano tena, Hamna cha Dema wala cha SusuMossad sijui Israel sijui Mayahudi yaani wanaamua tu week hii nani tumweke kwenye target. Wanamla kichwa. Si sawa. Yahya Sinwar ni kiongozi mkubwa sana wa Hamas. Wamemuua
Serikali isinyamaze. Hili suala si dogo Israel wana tick tu kwenye kidaftari chao
β TAYARI
Si sawa hata kidogo. Wameonesha na video Sinwar amebaki na fimbo tu kafunikwa na mavumbi mpaka kwenye ulimi. Huu ni udhalilishaji. Si sawa. Tuandamaneni jamani.
Ritz Jagina Malaria 2 Adiosamigo tukitoka msikiliza Sheikh Kitinku leo tuandamaneni Serikali itoe tamko kuwakemea hawa Israel. Tena Ritz unakumbuka hawa Israel walihukumiwa kule South Africa? Unakumbuka zile threads ukionesha kuwa watafungwa muda si mrefu? Kumbushia wafungwe please. Wamezidi kwa kweli.
Mama Mitano tena. Hili halina shaka kabisa.Yaani wewe unafurahia mtu kuuawa kwa kupigania haki yake ? Kwa akili hizi Wacha mama awatawale mitano tena, Hamna cha Dema wala cha Susu
View attachment 3128950
Nimefurahi sana kuona huyu fala analamba vumbi kummmmmmmke
Yani nilikuwa nakula ndio nika
Mbona hawa viongoz wakubwa wakiislam hawano ma sugu kwenye paji lauso au hao hawaswli swala tanoBRO, YOU ARE NEXT!!!!
View attachment 3128831
Jamaa kafa kishujaa sana nawashangaa hawa wanaocheka sijui wana akili ganiHaikuwa drone,drone ilienda kupiga picha kumtambua,walipiga na kifaru,askari wake watatu wakafa,yeye hakufa,wakapiga kombora la kubeba begani,hakufa, sniper ndiyo akapiga kichwani,kwa maelezo ya israel