Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Mkuu naomba nikuambie kwa sauti tulivu! Hao watetea dini kwa kivuli cha Uislamu hawana lolote! Tunza maneno yangu, na uwarithishe wajukuu zako.....Hakuna lolote lile watakalofanikiwa! Sio miaka 400 tu hata Elfu moja.....Hiyo jabza ya dini haiwafikishi popote pale!
sasa sikia hapo dininiko wapi? kwani hujui kuwa wapalestina sio wote waislamu? hapa ni wapalestina wanapigania haki yao ya kuzaliwa,nakushauri kabla hujaandika kitu jifunze historia kwa makini,utaupata ukweli
 
sasa sikia hapo dininiko wapi? kwani hujui kuwa wapalestina sio wote waislamu? hapa ni wapalestina wanapigania haki yao ya kuzaliwa,nakushauri kabla hujaandika kitu jifunze historia kwa makini,utaupata ukweli

Kweli mitandaoni kuna vitikuko....Unajua Historia ya Wapelestina wewe...!
 
funga bakuli ni matusi?funga bakuli ni jazba,hicho ni kiswahili na nikitumia fungu maneno funga bakuli,njoo nikufundishe kiswahili kama pia hukijui bro

Funga bakuli lako....mavi...! Sio matusi mkuu....umenifundisha jambo jipya! Kwa lugha hii unajua wazi unawasiliana na mtu wa namna gani.....Hii ndio Jamii Forum!
 
Kweli mitandaoni kuna vitikuko....Unajua Historia ya Wapelestina wewe...!
mimi bro nimeishinhuko miaka 4 nimefanyakazi shirika moja la haki za binaadamu la israeli linaitwa bethlem ambalo lilikuwa na programu gaza,jenin na jerusalem
Funga bakuli lako....mavi...! Sio matusi mkuu....umenifundisha jambo jipya! Kwa lugha hii unajua wazi unawasiliana na mtu wa namna gani.....Hii ndio Jamii Forum!
hujui lugha bro,funga bakuli sio matusi,mavi sio matusi,soma kamusi kuu ya bakita,itakupa tafsiri ya hayo maneno,fanya jitihada ya kujifunza,utaelewa usilazimishe maneno kuwa matusi,jifunze kwanzq
 
Please! Nani kakuambia mimi ni Mkristo! Natoka katika familia yenye mchanganyiko wa dini nyingi! Lakini hoja yetu hapa si dini! Ni Hawa magaidi wanajifanya wapigania uhuru, Hamas/Hezbollah.....Unaona msukumo wa Quraan na kueneza Uislamu....Hakuna chochote!

kama umekuwa si mkristo umekuwa myahudi mweusi ??
 
kutambua haki ya mtu sihitaji kuambiwa na mtu,pili unajua kuna maazimio mangapi ya umoja wa mataifa yamepitishwa kueleza kuwacwapalestina wameonewa?
Hivi hujawasikia wayahudi na baadhi ya wakristo wakitamka kuwa hiyo ni ardhi walipewa na Mungu ?
Umoja wa Mataifa ni changa la macho tu kuwa danganya waislamu, mbona maazimio ya Libya, Iraq waliyatekeleza? Wanashindwa nini na Israel?
 
[10/20, 7:14 PM] +27 73 499 4191: BREAKING: The Al Qassam Brigades confirm assassinating the leader of the 401st Brigade of the IDF in Gaza!

Colonel Ihsan Daqsa! The highest ranking military officer killed since Oct 7th!

A number of his military assistants were also critically injured!

The Colonel was on his way to receive Intel information and plan operations in Jabalia!

Al Quran - "˹So˺ fight them and Allah will punish them at your hands, put them to shame, help you overcome them, and soothe the hearts of the believers"

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
[10/20, 7:35 PM] +27 73 499 4191: Update: It has been officially confirmed by the Zionist army not by Al Qassam.

The eliminated IDF Colonel Ihsan Daqsa was honored with many medals in 2006 in the battle with Hezbollah in Aita Shab.

This is a very very high ranking Zionist officer eliminated!

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
 
Hivi hujawasikia wayahudi na baadhi ya wakristo wakitamka kuwa hiyo ni ardhi walipewa na Mungu ?
Umoja wa Mataifa ni changa la macho tu kuwa danganya waislamu, mbona maazimio ya Libya, Iraq waliyatekeleza? Wanashindwa nini na Israel?
Huyo ni Mungu gani,ambae hutoa ardhi kwa taifa fulani pekee?Mungu gani ni dhulumati?Hiyo riwaya ameiandika nani?Huu ni uongo wa waziwazi
 
Wewe ni nani kwa israel kupanga idf ifanye vile wewe unataka? Eti unataka kuona wafanye hivi ama vile. Direction ya vita iko chini ya makamanda wa idf, Wewe utabaki hapahapa jf utapata taarifa za furaha na huzuni ya kinachoendelea kupitia Al-Jazeera na mitandaoni kisha kujadili na wana jf hapahapa.
Mbona unabwatuka!?
Utake usitake kitendo cha Iran kurusha makombora Israel ni sawa na kutangaza full out war.
Kitendo kinyume na hiko kitakua ni cha kioga tu na chepesi.
 
cha kwanza israel harushi mabomu kwenye makazi ya raia, bali magaidi ndo wanawatumia raia kama ngao uliwata wawaache?
Hili jambo tulishalizungumzia humu hakuna mahala Hamas au Hizbollah wanatumia raia kama ngao HUU UONGO ICJ WALISHAUWEKA WAZI.
Usiniletee kelele hizi za uongo,sawa kijana!?
Wiki mbili zilizopita Hizbollah wameshambulia Kiryat Shmona wao Israel wanalipua Beirut ilhali Hizbollah wapo katika mipaka yao.
Kwa akili za kawaida utajua tu IDF inalipua makazi ya raia kimakusudi.
wewe umeongelea raia wa iran.. kufanyiwa shambulizi kwenye ubalozi wako nini? walikufa raia pia sababu jengo lotw lilivunjwa

kisasi ubachoongelea ndo yale makombora hewa au mengine? chizi kwel wewe yan mi niue raia wako alaf wew unaenda kurusha vikombora hewa?
israel inaua majenerali wa juu kabisa achia mbali hivo viwanamgambo uchwara vinauliwa kama kuku wenyeww ndo wakubahatisha ndo wanaua wanajeshi kumi wa israel kuna uwiano kweli hapo?
Nikisema we FALA NA MPUMBAVU NAKOSEA!??
Umeona damage ya makombora ya Iran ndani ya Israel!?
Pia nilishakueleza HIBZOLLAH OPERATIONS ANAZOFANYA MOJA WAPO ILE YA KWANZA ALIOUA IDF 300 WANASAIDIWA NA IRGC IRAN REVOLUTIONARY GUARDS CORPS.
Ndio maana unaona Israel inapata tabu na vifo vya askari wake wengi tu.
Iran ana njia ya kulipiza kisasi direct na indirect kupitia proxy wake,na katika hao proxy wake ameweka askari wake nguruwe pori wewe.
shambulio la isfahan lilifanikiwa ila iran ilizima media zote ili ukweli usijulikane
Hakuna media ambayo ilifungwa usitufanye sisi watoto hapa.
Hata baadhi ya makamanda wa Israel waliongea kuwa lile ni shambulio la kioga kutoka Israel na wakalaumiana wenyewe kwa wenyewe.
Huongei na mtoto hapa sawa kijana!??
 
Mbona unabwatuka!?
Utake usitake kitendo cha Iran kurusha makombora Israel ni sawa na kutangaza full out war.
Kitendo kinyume na hiko kitakua ni cha kioga tu na chepesi.

hata hawajali utawatafsiri vipi. Baada ya kuwaona waoga imewaathiri kivipi wao?
 
Back
Top Bottom