Kiongozi mkuu wa Nchi analalamika wananchi wafanyaje?

Kiongozi mkuu wa Nchi analalamika wananchi wafanyaje?

Izizimba

Senior Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
143
Reaction score
382
Salaam,
Nimefuatilia hotuba nyingi za kiongozi mkuu Nchi mara nyingi analalamika sana kuhusu watu walio chini yake lakini hachukui hatua madhubuti yeye ni kulalamika tu sijui shida ni nini?

Najiuliza maswali mengi sana.

1. Yawezekana hana mamlaka kamili au kuna watu wana power kumzidi.
2. Yawezekana ana huruma sana anaona kama akichukua hatua ataumiza watu.
3. Yawezekana anaogopa chuki na fitina za kisiasa.
4. Yawezekana hana uwezo ni Incompetent to hold the office.
5. Kuna mambo mengine anafanya vizuri lakini suala la yeye kulalamika lina zua maswali mengi.
6. Guys huu ni mtatazamo wangu tu kama una mawazo tofauti unaweza kunielewesha.
 
Usilete mawazo yako binafsi kwenye president's office
Huwa ninawashangas watu kama wewe...

Utasikia...

Usichezee na president's office


Rais ni Taasisi

Taasisi ya Urais ni ya kuogopa

Na ma blaaa blaaa blaaa!!


Hivi watanzania mtakua woga mpaka lini ?.

Urais Huwa anagombea Mtu au Taasisi?.


Rais anapofanya vibaya, ASEMWE, ASEMWE KWA NAMNA YOYOTE UNAYOWEZA KUMSEMA.
 
Ahh ndo wazenziberi walivyo yakhe🤔 aloo fakii muda wa futru huu,wembie watandike jamvi tupate tende na halua🤣
 
Salaam,
Nimefuatilia hotuba nyingi za kiongozi mkuu Nchi mara nyingi analalamika sana kuhusu watu walio chini yake lakini hachukui hatua madhubuti yeye ni kulalamika tu sijui shida ni nini?
Najiuliza maswali mengi sana.
1. Yawezekana hana mamlaka kamili au kuna watu wana power kumzidi.
2. Yawezekana ana huruma sana anaona kama akichukua hatua ataumiza watu.
3. Yawezekana anaogopa chuki na fitina za kisiasa.
4. Yawezekana hana uwezo ni Incompetent to hold the office.
5. Kuna mambo mengine anafanya vizuri lakini suala la yeye kulalamika lina zua maswali mengi.
6. Guys huu ni mtatazamo wangu tu kama una mawazo tofauti unaweza kunielewesha.
Namba 4 ..
 
Huwa ninawashangas watu kama wewe...

Utasikia...

Usichezee na president's office


Rais ni Taasisi

Taasisi ya Urais ni ya kuogopa

Na ma blaaa blaaa blaaa!!


Hivi watanzania mtakua woga mpaka lini ?.

Urais Huwa anagombea Mtu au Taasisi?.


Rais anapofanya vibaya, ASEMWE, ASEMWE KWA NAMNA YOYOTE UNAYOWEZA KUMSEMA.
Naona tutafute mwwkezaji kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kuwekeza ikulu kama ilivyobandari na TTCL kwa kuwa zinafanya vibaya
 
Salaam,
Nimefuatilia hotuba nyingi za kiongozi mkuu Nchi mara nyingi analalamika sana kuhusu watu walio chini yake lakini hachukui hatua madhubuti yeye ni kulalamika tu sijui shida ni nini?
Najiuliza maswali mengi sana.
1. Yawezekana hana mamlaka kamili au kuna watu wana power kumzidi.
2. Yawezekana ana huruma sana anaona kama akichukua hatua ataumiza watu.
3. Yawezekana anaogopa chuki na fitina za kisiasa.
4. Yawezekana hana uwezo ni Incompetent to hold the office.
5. Kuna mambo mengine anafanya vizuri lakini suala la yeye kulalamika lina zua maswali mengi.
6. Guys huu ni mtatazamo wangu tu kama una mawazo tofauti unaweza kunielewesha.
Ajiuzulu!
 
Sisi watanzania tupo nyuma yake.Asiogope wezi wachache waliopo madarakani.
Mbona nchi za wenzetu wanaweza kuwajibishana?.
Sisi mpaka tusemewe na nani ndipo tupate uchungu wa mali za umma?.
Inaumiza sana.
 
Back
Top Bottom