Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

Tetesi: Kiongozi mwandamizi ajitolea kumtetea Mbowe mahakamani asema hata Mkapa alimtetea Profesa Mahalu pale ilipolazimu!

Tuliowengi tunamtetea Mbowe na wenzake,hata kama hatuko mstari wa mbele tunapiga makombora ya masafa marefu.
Haki ya Mungu hammjui Mbowe nyie- subiri apande kizimbani atoe alichonacho kisha adodoswe ndiyo mtajua huyo si mtu
 
Kwa kuwa Kesi ni ya Michongo......

Jaji ni wa michongo......

Mawakili ni wa michongo.........

Na mashahidi wote wa Jamhuri, nao ni wa michongo.

Let's wait and see, time will tell
Mjiandae kuchagua mwenyekiti mwingine wa chama. Ila kwa chama chenu sishangai
  1. maana hamjawihi hata kuwa na mgombea wa kwenu huwa mnaazima tu uchaguzi ukiisha wanasepa
  2. mtakuwa na viongozi wa juu mmoja jela kwa ugaidi na mwingine Ubelgiji kama mkimbizi wa uchumi
 
Kuwafananisha waTz wenzio na nyani ni zaidi ya ujinga bali ni upumbavu kabisa
Unajua methari ,wapi nime wafananisha na nyani ? Mfano mtu akiwa nanasema wewe "UMEUGUA UGONJWA ALIO UGUA MARIAMU " JE hapo kakufananisha na mwanamke
 
Pole sana. Porojo hizo labda ukawapelekee wenzio mnaoendelea na zamu za kufagilia na kulinda kaburi la Babeli mkuu huko Burigi.
KATIBA MPYA yaja haikwepeki.
Katiba angetuletea JPM ila tatizo lenu amkumwelewa ,ila hawa wahuni wa msoga hata wakileta latiba ujue itakuwa ya kihuni kama hii tu
 
Mahakama ya Tanzania Haina ubavu wa kumuita raisi aliyeko madarakani kizimbani narudia tena Haina ubavu huo.

Raisi ni muhimili uliojichimbia sana kuliko yote.

Hii mihimili mingine Bunge/Mahakama ni vivuli tu vya Serikali.

Ndio maana Serikali ikisikia neno"katiba Mpya" inashikwa na tumbo la kuendesha!
Hahaaaa , hatareeeeeee
 
Back
Top Bottom