comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Haki ya Mungu hammjui Mbowe nyie- subiri apande kizimbani atoe alichonacho kisha adodoswe ndiyo mtajua huyo si mtuTuliowengi tunamtetea Mbowe na wenzake,hata kama hatuko mstari wa mbele tunapiga makombora ya masafa marefu.