Kiongozi Mwandamizi wa CHADEMA akutana na Kikwete, Kinana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Mama alitoa hivyo vyote kama hisani au rushwa??! Na Mbowe anaonewa ili kuonesha makucha na mapembe ya mama? Usitutukanie mama yetu! Suala ni moja tu, kama anahusika ni kosa, kama hahusiki ajitabainishe!
Anayekuja kiungwana, unamhandle kiungwana. Anayekuja kipumbavu, unam handle KIPUMBAVU zaidi!! Nyoko zenu
 
Yaani ukiingia humu Mara Tweeter Ni Mbowe tu, ata Samia afanye mazuri yapi watu Wana muignore, lakini acha kumtetea ameyataka mwenyewe na hii kesi aliibariki
Kuna wahuni walimuingiza mkenge Ili achukiwe na watu bila sababu maana hyo ilimfanya Hadi akakosa nafasi ya kukutana na kina Biden sifa nzuri na mwanzo alioanza nao vikaharibika, mi nashauri hii case ifutwe tu ina mharibia mno, maana hata ushahidi huko mahakamani ni ujinga mtupu, mbona kikwete aliruhusu wapinzani kubwabwaja Hadi wakachoka, tena aliruhusu siasa ni kuwaacha hata Wana ccm wapambane na wapinzani huko wenyewe na wao waache makundi ndani ya chama Ili apumue
 
Hata UAMSHO walipokuwa ndani Kuna watu waliwapigania sana watoke. Hata Babu Seya Kuna watu walihusika kumuombea atoke na wanaye
 
Kikwete alikuwa mjanja sana, aliwaacha wakabwabwaja yeye pesa mabeberu wanammwagia na sifa kemkem, kina Obama, Bush, Xin p wote walikuja bongo, Samia hakuna nchi ya ulaya inayomuamini Tena, ndo akome yeye alihukumu siku Ile ya BBC, siwez mtetea
 
Poyoyo mwenzako wa Lumumba huyo. Hajui hata nani ni nani. CCM mmejazana vilaza wa kutupwa.
 
"hawa chadema sometimes ni wa ajabu Sana".
Nawe umeamini!!!???
Pole sana.
 
Wanashitaki watu kwa kuwashinda hoja. Hivi vyama vinavyojiita vya ukombozi afrika vimegeuka na kuwa wakoloni weusi. Vinaongozwa na watu wa hovyo wasiojua kujenga hoja hata ya kumshawishi mtoto wa nursery awasikilize. Wamebakia kuteka, kuua na kubambika kesi. Hovyo kabisa.
 
"hawa chadema sometimes ni wa ajabu Sana".
Nawe umeamini!!!???
Pole sana.
 
Lisu angeufyata mngempiga Risasi?
 
Anayekuja kiungwana, unamhandle kiungwana. Anayekuja kipumbavu, unam handle KIPUMBAVU zaidi!! Nyoko zenu
Kama mlivyomhandle Lisu siyo?. Putin alisema kweli kumbe. Mpe mtu mweusi bunduki atafanya unyama mbaya sana kwa mweusi mwezake kuliko ambao angefanaya mweupe.
 
Kama mlivyomhandle Lisu siyo?. Putin alisema kweli kumbe. Mpe mtu mweusi bunduki atafanya unyama mbaya sana kwa mweusi mwezake kuliko ambao angefanaya mweupe.
Hata yeye mwenyewe Vladmir Putin si mvumilivu kihivyo kwa upinzani. Yeye ndiye mteja mkubwa wa polonium
 
🤣🤣 🤣 🤣 Atoe hoja ya kipuuzi ya kusema anajenga uchumi kwanza ndiyo afikirie mambo ya katiba halafu watu wenye akili wakae kimya? Upeo wako ni mdogo sana. Yaani unadhani unafiki ni bora kuliko ukweli? .
 
Mkutano jwa uzi uliofanyika dodoma nikama vile ccm walitaka kuomba msamaha Ili kuridhiana na wapinzani lakini wanapita njia siyo

1,wanashindana kukiri kufanya foulo uchaguzi 2020
2. Wanashindwa kusema hadhsrani kuwa mikutano yakiasas ruksa

3, wanashindwa kukubali tumehuru na katiba mpya
4. Wanashindwa namna ya kumtoa huru mh. mbowe na kufuata kesi ya michomgo
 
Ni Mnyika ambaye alihimiza taifa lipewe taarifa rasmi za Alipo mkuu wa nchi !

Mnyika ni "dhaifu".
 
Kikwete alikuwa mjanja sana, aliwaacha wakabwabwaja yeye pesa mabeberu wanammwagia na sifa kemkem, kina Obama, Bush, Xin p wote walikuja bongo, Samia hakuna nchi ya ulaya inayomuamini Tena, ndo akome yeye alihukumu siku Ile ya BBC, siwez mtetea
Kikwete alijuaga kula na kipofu na alikuwa anawaruhusu hata wapate wabunge hamsini majimboni mengine anawakata, aliruhusu uhuru tofauti na jiwe yeye aliiba Hadi ikawa ujinga serikali ikakosa hela nyingi kwa kutokuwa smart, ila na CDM nao waache ukaidi maana hata mbowe hakutumia busara tulitoka msibani tena mkubwa uliokuwa shock tulikuwa kwenye transition ngumu wao wakaanza harakati za katiba mpya, huku enzi za Magu waliufyata ikawa too much, Yani tumetoka msibani watu waanze kuandamana nchi nzima nchi isingetawalika kabisa, ndio maana akadakwa huyo kiulaini, all in all Kikwete alikuwaga mjanja bana siasa zilikuwaga Raha na ushindani kiasi ccm ilijitahidi kutumikia wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…