Kiongozi Mwandamizi wa CHADEMA akutana na Kikwete, Kinana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Hv unadhn mataga yana akili????
 
Diwani Athumani na sio IGP ?
 
Wewe umesikia wapi???????

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣 🤣 🤣 Atoe hoja ya kipuuzi ya kusema anajenga uchumi kwanza ndiyo afikirie mambo ya katiba halafu watu wenye akili wakae kimya? Upeo wako ni mdogo sana. Yaani unadhani unafiki ni bora kuliko ukweli? .
Mimi Sina upeo ila wewe huna ubongo, nafuu na mende anakuzidi. Katiba unadhani itakuletea chakula mezani?

Haya macho_mdiliko Rais kishasema anajenga uchumi, sema fyoko tukuunganishe na Mbowe Ukonga
 
Yaani huyo magu wapainzani angewaachia ATA viti50 vilivyobaki wakachukua hizi kerere zote za Katiba tusingezisikia, maana na wapainzani wangekuwa busy kwenye majimbo yao, kuhusu Mbowe serikali ilitumia mabavu, na Mbowe hakuna Sheria yeyote aliyofanya, Sasa hii Kesi imeikalia vibaya serikali, na SSH Hadi wanashindwa waiteme vipi
 
Kukutana na mkurugenzi wa usalama wa Taifa??? hii haijakaa vizuri and is very disturbing, wakae mbali sana na siasa za vyama hawa wataharibu nchi
 

Wewe dada uliyekosa malezi udogoni, Kuwa na nidhamu kwa Mh. Rais na Mkurugenzi mkuu wa TISS ndugu Diwani Athumani sio kila kitu ni cha kubwabwaja mitandaoni…
 
Chahali nilikuwa namwamini kweli. Kumbe naye ni sawa na kunguru anafuata mizoga?

Ni msenge mmoja anayependa pesa za wanaume, sijawahi kutana na mhaya mshamba kama yeye. Sasa hivi anakikomba sana kwa Mh. Samia ili alipwe tujisenti tudogo aendelee kutesa navyo scotland..
 
Mimi Sina upeo ila wewe huna ubongo, nafuu na mende anakuzidi. Katiba unadhani itakuletea chakula mezani?

Haya macho_mdiliko Rais kishasema anajenga uchumi, sema fyoko tukuunganishe na Mbowe Ukonga
Ubabe wa kizamani na kishamba sana huu. Mfuate Magufuli kama unaona ulimbukeni ni ujuaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…