Kiongozi Mwandamizi wa CHADEMA akutana na Kikwete, Kinana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Kiongozi Mwandamizi wa CHADEMA akutana na Kikwete, Kinana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

Huijui serikali vizuri mzee, Mbowe ni takataka tu, Aliuawa MKURUGENZI WA TAIFA MSTAAFU KISA KUMSHABIKIA MREMA, SEMBUSE HUYO CHIZI WENU MAKENGEZA MBOWE?? Hivi nyie mkisikia SERIKALI ina mkono mrefu huwa mnaelewa nini??
Sasa shida yako kitu gani wewe? Wanakunyandua hapo? Anayehangaika kuhusiana Mbowe atoke au asitoke huko jela kwa sasa ni nani? Hiyo MIKONO MIREFU imekatika now? Shenzi zako we kijana.
 
Mkwere ni mtu mwenye roho mbaya sana ,ni mtu mwenye visasi kiasi kwamba kuna watu walimpinga 2015 mpaka hivi leo anawafanyia fitina !!! Sasa si mnaona kuwa yeye ndio ananegotiate kwa niaba ya Samia halafu watu wakisema yeye ndio mtawala Samia ni boya mnabisha!!
Mshauri wa SSH alipewa na Kikwete, mshauri wake kama sikosei alikuwa/anaitwa Togolani jina kama sikosei. Huyo sio mshauri bali anakuwa ndiye anapewa maelekezo ya kumwambia SSH cha kufanya, Aibu! Waliiba enzi yao alipokuja JPM wakafilisika sasa wanakomba kila kitu. Watanzania tutajijua wenyewe.
 
Jitihada za kumaliza kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe, zinaendelea “nyuma ya pazia,” ambapo taarifa za uhakika zinaeleza kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, amekutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Diwani Athumani.

Haijaweza kufahamika kama jitihada hizo ni za Mnyika binafsi au zina baraka ya chama hicho, ambacho kwenye mitandao ya kijamii kimetanabaisha kuwa hakitaki suluhu yoyote kuhusiana na kesi hiyo.

Taarifa hizo zinaeleza kwamba kimsingi Mama Samia Suluhu aliridhia ombi la kuachiwa kwa Mheshimiwa Mbowe na ilitarajiwa aachiwe kwa “nolle prosequi” (tamko la nia ya kutoendelea na mashtaka) ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) lakini “yaliyojiri kabla, wakati na baada ya mkutano wa vyama vya siasa huko Dodoma” yalipelekea mpango huo kukwama.

Licha ya jitihada hizo za Mnyika, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman nae aliwasilisha maombi ya Chadema kwa Mama Samia, na akashauri Mheshimiwa Mbowe aachiwe bila masharti yoyote.

Uamuzi wa Chadema kususia mkutano huo wa vyama vya siasa huko Dodoma ambao ulifunguliwa na Mama Samia, inatajwa kuwa moja ya sababu zilizopelekea kukwama kwa mpango huo wa kumwachia Mheshimiwa Mbowe.

Taarifa hizi zinakinzana na kauli zinazoongewa na viongozi na wafuasi wa chama hicho kuwa “hawako tayari kuomba Mheshimiwa Mbowe aachiwe” kwa sababu wanaamini kuwa hana hatia na mashtaka dhidi yake ni ya kutungwa.

Yawezekana tofauti hizo kati ya “kinachoendelea faraghani” na “kinachoongelewa hadharani” zikawa ni mkakati wa Chadema hasa ikizingatiwa kuwa wafuasi wengi wa chama hicho hawaafiki kabisa wazo la kuomba Mheshimiwa Mbowe aachiwe. Moja ya sababu zinazochangia “msimamo huo mkali” ni shinikizo la “wanaharakati wa mtandaoni” ambao wanapinga vikali siasa za maridhiano kati ya chama tawala CCM na vyama vya upinzani.

Hata hivyo, suala hilo la kesi ya Mbowe “limevamiwa” pia na kundi moja ndani ya CCM linalompinga Mama Samia, na ambalo linaiona kesi hiyo dhidi ya Mheshimiwa Mbowe kuwa yenye manufaa kwa kundi hilo kwa sababu inatoa taswira mbaya kuhusu Mama Samia.

Nihitimishe kwa kutanabaisha kuwa haitokuwa jambo la kushangaza endapo Mheshimiwa Mnyika atakanusha taarifa hizi kwa sababu “zinaweza kumletea tabu” katika chama chake.

Jumanne njema

Mbona Chadema wamesema kuwa kwa muda mrefu majadiliano yamekuwa yakiendelea kuhusu kuachiwa kwa Mwenyekiti wao? Lissu alisema kuwa kabla ya mkutano wa Dodoma waliongea na Warioba na Butiku kuhusu jambo hili. Wao siku zote wanapinga kuachiwa Mwenyekiti wao kwa masharti, hili liko wazi. Mnyika kuongea na uliowataja hakubadilishi jambo.

Amandla...
 
Vipi ikiwa Samia akiwa ndiye kawatuma , Kikwete , Kinana na Mtunga uongo wa kesi hiyo aliyeshirikiana na Magufuli na baadaye Samia kumweka selo Mbowe anayeitwa Diwani Athumani ILI KUMUANGUKIA MNYIKA ASHAWISHI CHADEMA IKUBALI MBOWE AACHIWE ?

Na je ikiwa Mnyika akiwaeleza hao akina kikwete na kundi lake msimamo wa Chadema kwamba Serikali ndio imuombe radhi Mbowe kwa kesi ya uongo na ya kutunga kishamba kabla ya kumuachia utakuwa tayari kuripoti pia ?

sorry....u are lagging too far behind, unfortunatelly Mbowe and Mnyika they are well informed and well understand how it works....cheers
 
Mshauri wa SSH alipewa na Kikwete, mshauri wake kama sikosei alikuwa/anaitwa Togolani jina kama sikosei. Huyo sio mshauri bali anakuwa ndiye anapewa maelekezo ya kumwambia SSH cha kufanya, Aibu! Waliiba enzi yao alipokuja JPM wakafilisika sasa wanakomba kila kitu. Watanzania tutajijua wenyewe.

hapo kwenye kijiwe cha kahawa waambie wakuongeze kikombe
 
Mshauri wa SSH alipewa na Kikwete, mshauri wake kama sikosei alikuwa/anaitwa Togolani jina kama sikosei. Huyo sio mshauri bali anakuwa ndiye anapewa maelekezo ya kumwambia SSH cha kufanya, Aibu! Waliiba enzi yao alipokuja JPM wakafilisika sasa wanakomba kila kitu. Watanzania tutajijua wenyewe.

..hapo umedanganya.

..Togolani Mavura ni balozi wa Tanzania South Korea.

..alikuwa msaidizi wa waziri wa mambo ya nje, na muandishi wa hotuba wa raisi, ktk awamu ya 4.
 
Jitihada za kumaliza kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe, zinaendelea “nyuma ya pazia,” ambapo taarifa za uhakika zinaeleza kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, amekutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Diwani Athumani.

Haijaweza kufahamika kama jitihada hizo ni za Mnyika binafsi au zina baraka ya chama hicho, ambacho kwenye mitandao ya kijamii kimetanabaisha kuwa hakitaki suluhu yoyote kuhusiana na kesi hiyo.

Taarifa hizo zinaeleza kwamba kimsingi Mama Samia Suluhu aliridhia ombi la kuachiwa kwa Mheshimiwa Mbowe na ilitarajiwa aachiwe kwa “nolle prosequi” (tamko la nia ya kutoendelea na mashtaka) ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) lakini “yaliyojiri kabla, wakati na baada ya mkutano wa vyama vya siasa huko Dodoma” yalipelekea mpango huo kukwama.

Licha ya jitihada hizo za Mnyika, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman nae aliwasilisha maombi ya Chadema kwa Mama Samia, na akashauri Mheshimiwa Mbowe aachiwe bila masharti yoyote.

Uamuzi wa Chadema kususia mkutano huo wa vyama vya siasa huko Dodoma ambao ulifunguliwa na Mama Samia, inatajwa kuwa moja ya sababu zilizopelekea kukwama kwa mpango huo wa kumwachia Mheshimiwa Mbowe.

Taarifa hizi zinakinzana na kauli zinazoongewa na viongozi na wafuasi wa chama hicho kuwa “hawako tayari kuomba Mheshimiwa Mbowe aachiwe” kwa sababu wanaamini kuwa hana hatia na mashtaka dhidi yake ni ya kutungwa.

Yawezekana tofauti hizo kati ya “kinachoendelea faraghani” na “kinachoongelewa hadharani” zikawa ni mkakati wa Chadema hasa ikizingatiwa kuwa wafuasi wengi wa chama hicho hawaafiki kabisa wazo la kuomba Mheshimiwa Mbowe aachiwe. Moja ya sababu zinazochangia “msimamo huo mkali” ni shinikizo la “wanaharakati wa mtandaoni” ambao wanapinga vikali siasa za maridhiano kati ya chama tawala CCM na vyama vya upinzani.

Hata hivyo, suala hilo la kesi ya Mbowe “limevamiwa” pia na kundi moja ndani ya CCM linalompinga Mama Samia, na ambalo linaiona kesi hiyo dhidi ya Mheshimiwa Mbowe kuwa yenye manufaa kwa kundi hilo kwa sababu inatoa taswira mbaya kuhusu Mama Samia.

Nihitimishe kwa kutanabaisha kuwa haitokuwa jambo la kushangaza endapo Mheshimiwa Mnyika atakanusha taarifa hizi kwa sababu “zinaweza kumletea tabu” katika chama chake.

Jumanne njema
Mkuu Davesto , kwanza asante sana kwa taarifa hii.
Kwa vile hii ni C&P toka kwa Jasusi Chahali, kama ulivyoonyesha kwenye heading, ulipaswa kuonyesha the same kwenye contents kwa ku mention the source. Kutumia materiál yoyote ya C&P bila kutaja source ni wizi tuu kama wizi mwingine wowote.
Always give credits where it's due.
P
 
Mkwere ni mtu mwenye roho mbaya sana ,ni mtu mwenye visasi kiasi kwamba kuna watu walimpinga 2015 mpaka hivi leo anawafanyia fitina !!! Sasa si mnaona kuwa yeye ndio ananegotiate kwa niaba ya Samia halafu watu wakisema yeye ndio mtawala Samia ni boya mnabisha!!
Acha kumtukana Rais wewe Pumbavu
 
Kiafrika huwezi kuongoza taasisi kubwa na yenye maadui wengi kama CHADEMA au CCM na usifanye crimes. Endapo ikiamuliwa kabisa kufanya upelelezi wa kitaaluma jinai zote kubwakubwa kama utakatishaji fedha,uhujumu uchumi,murder,ugaidi nk hazikosekani kwa viongozi hawa. Hii ndiyo hali halisi

Nachoona,serikali itaweza kuithibitisha mahakama makosa ya Mbowe na atafungwa kifungo kirefu. CDM itaelekeza nguvu zake zote kwenye kesi na kusagau kampeni!

Mimi naona Zitto Kabwe alikua sahihi kwa ombi lake. Hata hizi movement za Mnyika naziunga mkono hasa kwa sababu wamegundua Kibatala hatoweza kumnusuru Mbowe! Huo ndio uhalisia ndugu wana CHADEMA!
 
Kiafrika huwezi kuongoza taasisi kubwa na yenye maadui wengi kama CHADEMA au CCM na usifanye crimes. Endapo ikiamuliwa kabisa kufanya upelelezi wa kitaaluma jinai zote kubwakubwa kama utakatishaji fedha,uhujumu uchumi,murder,ugaidi nk hazikosekani kwa viongozi hawa. Hii ndiyo hali halisi

Nachoona,serikali itaweza kuithibitisha mahakama makosa ya Mbowe na atafungwa kifungo kirefu. CDM itaelekeza nguvu zake zote kwenye kesi na kusagau kampeni!

Mimi naona Zitto Kabwe alikua sahihi kwa ombi lake. Hata hizi movement za Mnyika naziunga mkono hasa kwa sababu wamegundua Kibatala hatoweza kumnusuru Mbowe! Huo ndio uhalisia ndugu wana CHADEMA!
Jiwe Yuko wapi Siku hizi? sijamsikia siku nyingi Sana.
 
Ushauri wangu kwa Mh. Raisi, futa kesi zote zenye muelekeo wa kisiasa, wawajibishe watendaji wote walioziunda. Weka maridhiano na vyama vya siasa, rudisha upendo kwenye jamii.

"Maisha ya mwanadamu ni hadithi, kuwa hadithi nzuri kwa wale watakao simuliwa" Ali Hassan Mwinyi.
 
Jitihada za kumaliza kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe, zinaendelea “nyuma ya pazia,” ambapo taarifa za uhakika zinaeleza kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, amekutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Diwani Athumani.

Haijaweza kufahamika kama jitihada hizo ni za Mnyika binafsi au zina baraka ya chama hicho, ambacho kwenye mitandao ya kijamii kimetanabaisha kuwa hakitaki suluhu yoyote kuhusiana na kesi hiyo.

Taarifa hizo zinaeleza kwamba kimsingi Mama Samia Suluhu aliridhia ombi la kuachiwa kwa Mheshimiwa Mbowe na ilitarajiwa aachiwe kwa “nolle prosequi” (tamko la nia ya kutoendelea na mashtaka) ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) lakini “yaliyojiri kabla, wakati na baada ya mkutano wa vyama vya siasa huko Dodoma” yalipelekea mpango huo kukwama.

Licha ya jitihada hizo za Mnyika, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman nae aliwasilisha maombi ya Chadema kwa Mama Samia, na akashauri Mheshimiwa Mbowe aachiwe bila masharti yoyote.

Uamuzi wa Chadema kususia mkutano huo wa vyama vya siasa huko Dodoma ambao ulifunguliwa na Mama Samia, inatajwa kuwa moja ya sababu zilizopelekea kukwama kwa mpango huo wa kumwachia Mheshimiwa Mbowe.

Taarifa hizi zinakinzana na kauli zinazoongewa na viongozi na wafuasi wa chama hicho kuwa “hawako tayari kuomba Mheshimiwa Mbowe aachiwe” kwa sababu wanaamini kuwa hana hatia na mashtaka dhidi yake ni ya kutungwa.

Yawezekana tofauti hizo kati ya “kinachoendelea faraghani” na “kinachoongelewa hadharani” zikawa ni mkakati wa Chadema hasa ikizingatiwa kuwa wafuasi wengi wa chama hicho hawaafiki kabisa wazo la kuomba Mheshimiwa Mbowe aachiwe. Moja ya sababu zinazochangia “msimamo huo mkali” ni shinikizo la “wanaharakati wa mtandaoni” ambao wanapinga vikali siasa za maridhiano kati ya chama tawala CCM na vyama vya upinzani.

Hata hivyo, suala hilo la kesi ya Mbowe “limevamiwa” pia na kundi moja ndani ya CCM linalompinga Mama Samia, na ambalo linaiona kesi hiyo dhidi ya Mheshimiwa Mbowe kuwa yenye manufaa kwa kundi hilo kwa sababu inatoa taswira mbaya kuhusu Mama Samia.

Nihitimishe kwa kutanabaisha kuwa haitokuwa jambo la kushangaza endapo Mheshimiwa Mnyika atakanusha taarifa hizi kwa sababu “zinaweza kumletea tabu” katika chama chake.

Jumanne njema
Hizi habari naziona mezani kuwa umezitunga vizuri sana.Mwenye nia ya kufanya jambo kwa mfano mtawala yeyote muungwana, hakunaga kurudi nyuma.Ni mbele kwa mbele. Na kama yupo wa hivyo, huyo sio mtawala ila yupo anayemsaidia kuongaza kimya kimya.Tena sasa na yeye anaongozwa sio anaongoza tena.
 
"Lini Pandora Box litafungwa kuhusu Kuleta ushahidi ambao Una mapungufu Kila siku Mahakamani?
Sheria ziliundwa kwa jili ya Nini sasa Kama Hazifuatwi, Sheria inasema ushahidi uwe hivi lakini wao hawafanyi hivyo.."- Kibatala
Kiafrika huwezi kuongoza taasisi kubwa na yenye maadui wengi kama CHADEMA au CCM na usifanye crimes. Endapo ikiamuliwa kabisa kufanya upelelezi wa kitaaluma jinai zote kubwakubwa kama utakatishaji fedha,uhujumu uchumi,murder,ugaidi nk hazikosekani kwa viongozi hawa. Hii ndiyo hali halisi

Nachoona,serikali itaweza kuithibitisha mahakama makosa ya Mbowe na atafungwa kifungo kirefu. CDM itaelekeza nguvu zake zote kwenye kesi na kusagau kampeni!

Mimi naona Zitto Kabwe alikua sahihi kwa ombi lake. Hata hizi movement za Mnyika naziunga mkono hasa kwa sababu wamegundua Kibatala hatoweza kumnusuru Mbowe! Huo ndio uhalisia ndugu wana CHADEMA!
 
Mbowe hana hatia akiachiwa kwa style yoyote iwayo bado hana na hatakuwa na hatia. Sanasana dunia itatafsiri kwamba serikali imejinasua. Full stop.
Vyovyote vile iwavyo ndiyo inajinasua na vikwazo kutoka kwa wenye nguvu duniani.
 
Back
Top Bottom