Kiongozi ni yule ambaye mikono yake haina damu, anapoteuliwa watu hufurahia na kujihisi salama. Usirudie makosa!


Mkuu kama mhusika anasoma hapa umempa ushauri mzuri, Hii ni second chance ya kurekebisha mambo yote ya nyuma! Kazi ni kwake, yetu macho!
 
Lime korogeka chamani
Lime korogeka Tiss kwani huko ndipo alipo vuruga zaidi kwakupora protocol za utendaji wakati wanaelewana na dingi yake kabla dingi Jiwe hajamtema hivyo kisasi Bado kipo

Ukweli Kuna Mkorogo
Huku Gsm anatazama Kwa mbali
Duuh
 
Muda uta sema
Kigogo ataibika upya!!!
Kwanza ameshaanza mawasiliano na Mange iweje alicho sema kimekuwa kweli?!!!

Zakuambiwa changanya na za Mange[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hivi mange yupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…