Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
"Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna kijana Vitus Nkuna nimemwita ofisini kwangu leo, kutwa nzima nimekuwa nje ya ofisi kwa kikao cha tathimini ya lishe katika ukumbi wa siasa ni kilimo simjui kijana huyo ni taarifa za upotoshaji"- RC Iringa, Sendiga. Zaidi, soma: -...
www.jamiiforums.com
=====
VIDEO : Baada ya kuamriwa apelekwe rumande akawaomba polisi wampeleke kwenye gari lake ili akavae fulana ya Katiba mpya , Polisi wamkubalia , naye aivaa .
Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
BREAKING NEWS!
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
Mbona jambo dogo wanataka kulikuza? Hizo gharama za kumpeleka Shinyanga zitalipwa na nani? Na mamlaka ya Mkuu wa Mkoa ya kuamrisha kukamatwa kwa mtu ambae haishi mkoani mwake yapo? Hivi kwa kufanya hivi hawaoni wanamuharibia Mheshimiwa Rais ambae ameonyesha hapendi hizi kamatakamata?
Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
Mbona jambo dogo wanataka kulikuza? Hizo gharama za kumpeleka Shinyanga zitalipwa na nani? Na mamlaka ya Mkuu wa Mkoa ya kuamrisha kukamatwa kwa mtu ambae haishi mkoani mwake yapo? Hivi kwa kufanya hivi hawaoni wanamuharibia Mheshimiwa Rais ambae ameonyesha hapendi hizi kamatakamata?
Mbona jambo dogo wanataka kulikuza? Hizo gharama za kumpeleka Shinyanga zitalipwa na nani? Na mamlaka ya Mkuu wa Mkoa ya kuamrisha kukamatwa kwa mtu ambae haishi mkoani mwake yapo? Hivi kwa kufanya hivi hawaoni wanamuharibia Mheshimiwa Rais ambae ameonyesha hapendi hizi kamatakamata?
Naona kama tunarudi tulipo toka, hilo sio swala la kumueka mtu maabusu, kamatakamata mama etu kasema hataki kuziskia zikiendelea lakini bado, duh shkamoo tanzania
Nilisema hapa kuwa dada yake Kayafa ana laana za Kayafa ambazo zitamfanya awe lethal kuliko Kayafa watu wakadai kuwa yule ni Mama.The worst is yet to come.Samia ni Magufuli wa kike.
Wagonjwa wa Corona mkoani Shinyanga wapo au hawapo?
Mitungi ya gesi inawatosha au haiwatoshi?
Taarifa ioneshe kwa kila kituo (Shinyanga, Kolandoto, Tinder, Kahama na Nyamilangano) kina wagonjwa wangapi wa Corona na idadi ya mitungi ya gesi iliyopo kwa kila kituo.
Hiyo itathibitisha kama kuna Wagonjwa wengi na kama kuna upungufu wa mitungi katika vituo hivyo.
Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
Nilisema hapa kuwa dada yake Kayafa ana laana za Kayafa ambazo zitamfanya awe lethal kuliko Kayafa watu wakadai kuwa yule ni Mama.The worst is yet to come!
Viboko vya nini wakati Mkuu wa Mkoa amekiri kuwa kuna wagonjwa wamelazwa? Na ana uhakika gani kuwa watu wake hawampi taarifa za uongo? Kuna aibu gani kusema kuwa unahitaji msaada wa mitungi ya oksijeni?
Viboko vya nini wakati Mkuu wa Mkoa amekiri kuwa kuna wagonjwa wamelazwa? Na ana uhakika gani kuwa watu wake hawampi taarifa za uongo? Kuna aibu gani kusema kuwa unahitaji msaada wa mitungi ya oksijeni?