Magonjwa mengine ukienda hospitalini huwa unapata dawa?Wagonjwa wa Corona mkoani Shinyanga wapo au hawapo?
Mitungi ya gesi inawatosha au haiwatoshi?
Taarifa ioneshe kwa kila kituo (Shinyanga, Kolandoto, Tinder, Kahama na Nyamilangano) kina wagonjwa wangapi wa Corona na idadi ya mitungi ya gesi iliyopo kwa kila kituo.
Hiyo itathibitisha kama kuna Wagonjwa wengi na kama kuna upungufu wa mitungi katika vituo hivyo.
Kama ana ushahidi basi asiwe na wasiwasi. Lakini kama ni zile porojo za ufipa hiyo ni habari nyingine.Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
View attachment 1851593
Hakungekuwa na ulazima wakuwa na viongozi.Nkuna ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Hamna mpaka kwenye hilo. Mipaka ipo kwenye matumizi ya vyombo vya uchunguzi na mamlaka ya RC.
Amandla...
Huyo mkuu wa Mkoa wa shinyanga na Dodoma wallah kukikucha bila kutumbuliwa Basi wachawi.Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
View attachment 1851593
Wanatumia masaburi.Mbona jambo dogo wanataka kulikuza? Hizo gharama za kumpeleka Shinyanga zitalipwa na nani? Na mamlaka ya Mkuu wa Mkoa ya kuamrisha kukamatwa kwa mtu ambae haishi mkoani mwake yapo? Hivi kwa kufanya hivi hawaoni wanamuharibia Mheshimiwa Rais ambae ameonyesha hapendi hizi kamatakamata?
Amandla...
Baba yako keshafinywa?ACHA AKAFINYWE PU.........MB KWANZA ILI AKITOKA KILA MTU ATAMUAMKIA HATA MTOTO MDOGO BAVICHA MUACHE KIHEREHERE DAADEC
Mipaka inakuwepo kwenye taarifa za chama lakini sio za kijamii. Kumbuka madaktari wetu waliogopa kumwambia Mkuu wa Nchi kuwa chumba anachotaka kuingia ni cha wagonjwa wa Covid. Wao walitumia euphemism ya " wenye matatizo ya kupumua" mpaka alipowauliza kama wanamaanisha covid nao wakakubali. Hawa madaktari si wa kuwaamini hata kidogo. Wengine hatujasahau kuwa walijenga chumba cha kujifukizia Muhimbili.Hakungekuwa na ulazima wakuwa na viongozi.
Nadhani hata pale ufipa wanamipaka yakuongea.
Pole kwa Uhuru usiojenga kwenye jamii
Katibu wa Bavicha Iringa Vitus Nkuna leo ameitwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ili ahojiwe , tambua kwamba RC wa Iringa anaitwa Queen Sendiga .
Bila shaka Mahojiano hayo yanahusiana na kauli yake ya kizalendo kutokana na kuzidiwa kwa Mkoa wa Shinyanga na wagonjwa wa Corona huku kukiwa na uhaba wa vitendea kazi pamoja na mitungi ya gesi ya kusaidia kupumua.
--
Vitus Nkuna katibu wa BAVICHA Iringa Mjini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa na atasafirishwa kuelekea Mkoani Shinyanga muda wowote kuanzia kesho .
Nkuna anashikiliwa kwa amri ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Sengati kufuatia chapisho lake katika mtandao wa ' Twitter ' akiituhumu Hosipitali ya Mkoa wa Shinyanga kuelemewa na wagonjwa wa COVID19 wanaoendelea kupoteza maisha kwa ukosefu wa mitungi ya Oxygen.
Kwa sasa Bw. Nkuna yuko mahabusu ya polisi katika kituo cha Mjini kati Iringa.
By Leonce Marto , EmmanuelChengula & Chriss Mbunda.
13/07/2021
16:30pm.
View attachment 1851593
Hivi Mamlaka ya RC yana extend beyond mkoa wake au kwa sababu tu hatufuati sheria siku hizi?Nkuna ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Hamna mpaka kwenye hilo. Mipaka ipo kwenye matumizi ya vyombo vya uchunguzi na mamlaka ya RC.
Amandla...
Never and Never againHuyu dogo anatakiwa aozee huko huko
Unamaanisha wagonjwa wa Kenye Ventilators watakimbizwa?Sipati picha wagonjwa watakavyokimbizwa