Kiongozi wa Iran Ayatollah Khamenei, anafanya kosa kubwa kwa kutangaza wazi mahali na muda wa hotuba yake

Kiongozi wa Iran Ayatollah Khamenei, anafanya kosa kubwa kwa kutangaza wazi mahali na muda wa hotuba yake

ukute ameshakubaliana na Amerika kuwa yeye ndo atolewe kafara😄😄😄.Maana hawa jamaa wanafanya vitu ukitumia tu akili ya darasa la saba B inagoma kuona mantiki ya kumtaarifu adui yako mienendo yako.

Ayatola ataliwa kichwa soon, maana kachoka kukaa kwenye mashimo kama panya.Ngoja wamsafirishe mawinguni🤗
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa swala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa tena na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo. Dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Mashariki ya kati inawaka moto kwa Sasa...
 
Kama Iran wamemuweka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau kwenye list ya magaidi wanaotakiwa kuliwa kichwa, kwanini nao Israel wasim-target Ayatollah?
Pengine ni kumfanya afikirie namna ambayo ikiwa maamuzi yoyote mabaya kuanzia sasa atakayoyafanya kwa viongozi wa ngazi za juu wa Iran na wewe upo kwenye list yetu.

Ukiangalia na mashambulizi ya siku ya Jumanne ni makubwa na israel mifumo yake ya ulinzi ya anga imeonyesha udhaifu mkubwa sana.

Kwa mawazo yangu nafikiri ni sehemu ya taarifa kuwa hata wewe Netanyahu haupo salama sana.

Tukumbuke pia muanzilshi wa mbinu za kijasusi wa kuua viongozi kwa hapa duniani ni muajemi.
 
Israel lazima atalipiza ila msaada na ulinzi kutoka Marekani,UK lazima uwepo Ili afanikishe hilo.

T14 Armata
Hawezi kushambulia moja kwa moja Iran. Hatoweza.

Na ni kwa sababu kiwango chao cha uchizi ni kama kiwango cha Iran cha uchizi. Na mbaya zaidi na wenzao wana nguvu za kijeshi vilevile.

Si jambo jepesi kumshambulia mshirika mkubwa wa magharibi bila kupepesa macho.
 
We upo huko kazuramimba kigoma kitu pekee unachokiweza kukifanya kwa usahihi kuliko khamenei ni kukamua mafuta ya mawese tu, siku ukiskia Khamenei anakamua mawese ndo umpe ushauri lakini siyo sasa
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa swala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa tena na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo. Dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Waisrael hawataki kumuua.
Wakitaka ni dakika moja tu.
Ina maana hujui?

Kama walimuua kiongozi wa Hamas ndani ya Iran tena Hotelini kwake wanashindwaje kumuaa huyu
 
Hawezi kushambulia moja kwa moja Iran. Hatoweza.

Na ni kwa sababu kiwango chao cha uchizi ni kama kiwango cha Iran cha uchizi. Na mbaya zaidi na wenzao wana nguvu za kijeshi vilevile.

Si jambo jepesi kumshambulia mshirika mkubwa wa magharibi bila kupepesa macho.
Yeah!.....huenda Israel akalipiza ila katika namna ambayo haitachochea mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Ila Iran itakuwa na wakati mgumu Sana kujilinda dhidi ya mashambulizi ya Israel, hata ADs zao sidhani kama zinaweza kuzuia missiles kama Jericho -3 au ndege za Israel kama F-35/ F-15.

T14 Armata
 
Maamuzi yake Israel huwa ni kwenye mataifa dhaifu.

Lebanon alishambulia viongozi wa Hizbullah kwa ndege zake za kivita. Syria anashambulia kwa ndege zake za kivita. Yemen kwa ndege zake za kivita. Iran katumia jasusi kupandikiza mlipuko kwa kiongozi wa Hamas.

Bado huioni tofauti hiyo? Iran imemzidi nguvu na ndiyo maana hataki kutumia mbinu za kufahamika kuwa ni yeye moja kwa moja.

Na ashukuru Mungu kule Iran kuna jamii ya wayahudi ambao anaweza kuwatumka kama chambo wa kukamilisha Misson zake.
Mkuu hao wayahudi waliopo Iran hawafahamiki?
Kama wanafahamika kwanini wasiondolewe kwa maslahi zaid ya taifa?
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa swala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa tena na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo. Dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Watumie tu nuke mchezo uishe.
Dondosha nuke la maana Tel Aviv
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa sala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo, na dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Mkuu, hisia zako zinaeleweka sana. Kwamba Wapalestina wanaonewa na kunyanyaswa sana inaeleweka. Na inafahamika vizuri kuwa Wapalestina wako Waislamu na Wakristo pia. Na kwamba Wapalestina wengi ni watu wa kawaida wenye malengo ya maendeleo katika mazingira ya kisasaninajulikana.

TATIZO KUBWA ni kuwa suala la kupigania uhuru na haki za Wapalestina LIMETEKWA na vikundi vya Waislamu wenye msimamo mkali wa Jihad (Radical Islamists). Vikundi hivyo kama HAMAS na Hezbollah lengo lao kuu rasmi ni kuiangamiza Israel, Wayahudi wote na watu wote wasio wa imani ya kali Kiislamu. Kisha kuhakikisha Mashariki ya Kati inaongozwa na utawala wa Sharia pekee. Ndio maana IRAN inajihusisha sana na suala la Wapalestina.

Katika hali itakayokushangaza pia ni kuwa, Wayahudi wenye msimamo mkali kama Benjamin Netanyahu na serikali anayoiongoza, wanapenda sana tawala za hao Radical Islamists huko Palestine na Lebanon kwa sababu nao hawataki amani. Hawataki a two state solution. Wanataka vita kwa sababu lengo lao ni kuwafurusha Wapalestina wawaachie ardhi yote ya Palestina, Israel ibakie kuwa taifa moja tu. Kisha waangamize utawala wa Ayatollah wa Iran na miundombinu yake ya Nuclear. Kisha wahakikishe hakuna jirani anayewaletea fyoko Israel. Yote hayo kwa msaada wa watu wa Marekani. Kuna wakati serikali ya Netanyahu iliunga mkono ushindi wa HAMAS dhidi ya PLO katika uchaguzi huko Gaza.

IRAN ina mkono katika harakati zote za kusimika na kuimarisha makundi ya kigaidi yenye ajenda ya Uislamu wa msimamo mkali (RADICAL ISLAM) duniani kote. Hawataki muafaka (compromise) kabisa na jamii tofauti zisizozingatia imani yao. Kwao ni suala la muda na fursa katika kukamilisha ajenda yao hiyo kuu.

Wapalestina wanatumiwa na makundi hayo kama pawn (rehani) tu kufanikisha malengo yao. Hao watu hawajali kama Wapalestina wanaumia au wanaweza kuangamia kabisa. Wao malengo yao ya Uislamu mkali ndiyo muhimu zaidi. Wamejenga na kuimarisha miundombinu yao ya kigaidi/kivita kwenye makazi ya raia huko Ukanda wa Gaza, sehemu za West Bank na sehemu za nchi ya Lebanon. Wamekandamiza kabisa uwezo wa tawala rasmi kufanya kazi kwenye maeneno yao. Kwa namna hiyo wanaipa Israeli uhalali wa kushambulia maeneo ya raia wa Palestina, Lebanon na Iran kwenyewe.

Usishangae kwa nini nchi jirani za kiarabu zinawaogopa wakimbizi wa Kipalestina kuingia nchi zao. Wanaogopa sana kujikuta wameingiza pia au wametengeneza uhalali wa kuwepo hayo makundi yenye RADICAL ISLAM AGENDA yanayojiambatanisha na Wapalestina.

Ni suala gumu lakini lazima liangaliwe kwa undani na mikanganyiko (complexities) yake yote.
 
Yeah!.....huenda Israel akalipiza ila katika namna ambayo haitachochea mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Ila Iran itakuwa na wakati mgumu Sana kujilinda dhidi ya mashambulizi ya Israel, hata ADs zao sidhani kama zinaweza kuzuia missiles kama Jericho -3 au ndege za Israel kama F-35/ F-15.

T14 Armata
Tuseme sawa!

Lakini tulizungumzie kwa upande wa pili wa sarafu.

Mashambulizi ya Iran ya juzi yameshambulia base za uwanja wa ndege hizo hizo za Israel.

Swali, Israel ina uhakika gani wa ndege zake kuwa salama kwenye kambi zake dhidi ya Iran?
 
Mkuu hao wayahudi waliopo Iran hawafahamiki?
Kama wanafahamika kwanini wasiondolewe kwa maslahi zaid ya taifa?
Ni sehemu ya raia wake haiwezi kuwaondoa.

Ni kama sisi hatuwezi kuwaondoa wanachi wenye asili ya Tutsi kisa uharamia wa Paul Kagame ijapokuwa wapo ambao wamethibitika walikuwa kwenye madraka makubwa hapa Tz na kukimbilia kwao na kupewa vyeo vikubwa vilevile.
 
Nimeshangaa sana kusoma taarifa kuwa kiongozi huyo anatarajia kutoa hotuba leo Ijumaa wakati wa swala ya Ijumaa kwani anajiweka katika hatari ya kushambuliwa na majeshi ya Israel kama ilivyokuwa kwa viongozi wakuu wa Hesbolah na Hamasi(asijiamini sana kiulinzi, lolote laweza tokeo)

Bado inaweza isiwe leo, ila hapaswi kuendelea kufanya hivi kwa siku za usoni kwani wanaweza kumla kichwa( Netanyau ni mental case).

Nieleweki kabisa kuwa Siwapendi wa Israel kwasababu moja kubwa: kuwaonea wapalestina na kuwaua hovyo kama wanaua kuku au panya. Hawana ubinadamu kabisa na wanajiona wao ni binadamu wa daraja la juu kulinganisha na wapalestina wanaowaona kama sio binadamu.

Kwa msingi huo, nisingependa kuona Israel anafanikiwa katika vita yake na Iran na ndio maana namtahadharisha Ayatollah asijaribu kujianika maana Israel huwa hawajali nini kitatokea baadae(hawapimi maamuzi yao) la muhimu kwao ni kutaka kuonyesha dunia kuwa wao ni bora kivita katika hilo eneo lote la Mashariki ya Kati.

Kwahiyo, hawatasiita kumshambulia Ayatollah kwa kushitukiza sambamba na kushambuliwa vituo vya kijeshi na nuclear facilities za muajemi pamoja na kushambulia raia kwa kushambulua mfululizo kuhakikisha Iran hapati muda wa kujipanga.

Mpaka sasa Israel ameshaona uwezo wa Iran na hatari iliyopo kuingia nae vitani. Hivyo, njia pekee ya kupambana nae ni kuanzisha mashambulizi ya non stop (full blown war) jambo ambalo linaweza kuwafanga Iran watumie unconventional weapons kama vile sila za nyuklia na hii ndio hatari ambayo mmarekani ameshaiona.

Kwa kifupi, Israel alijaa sana kiburi hasa baada ya kuua viongozi wa Hamasi na Hesbolah huku Iran akiwa katulia, ila sasa kiburi hicho mbele ya Iran hakitavumiliwa tena na unaweza kuwa ni mwanzo wa janga la kibinadamu katika hilo eneo. Dunia ikizembea, tunaweza shuhudia vita ya tatu ya dunia kiutani utani tu.

Muda utaongea.

NB: Kuingia katika vita au kuendelea kupigana vita wakati kiongozi wa juu wa nchi ameuwawa au kujeruhiwa, ni disadvantage kubwa sana na ni advantage kubwa sana kwa adui na Israel huenda anapanga kufanya jambo kama hili akijua faida ya kufanya hivyo.
Kwahyo unamuonya kwa sababu yeye yuko humu jf? Labda ungesema kwa maoni yako unadhani amekosea apo ntakuelewa sio unamuonya unaanzaje kumuonya mtu hauna contact nae na ujumbe wako hauwez mfikia kwa namna yeyote
 
Ukiona kafa jua wamarekani ndio wamemuua acheni kuwapaisha hao wapuuzi.
 
Katika hali itakayokushangaza pia ni kuwa, Wayahudi wenye msimamo mkali kama Benjamin Netanyahu na serikali anayoiongoza, wanapenda sana tawala za hao Radical Islamists huko Palestine na Lebanon kwa sababu nao hawataki amani. Hawataki a two state solution. Wanataka vita kwa sababu lengo lao ni kuwafurusha Wapalestina wawaachie ardhi yote ya Palestina, Israel ibakie kuwa taifa moja tu. Kisha waangamize utawala wa Ayatollah wa Iran na miundombinu yake ya Nuclear. Kisha wahakikishe hakuna jirani anayewaletea fyoko Israel. Yote hayo kwa msaada wa watu wa Marekani. Kuna wakati serikali ya Netanyahu iliunga mkono ushindi wa HAMAS dhidi ya PLO katika uchaguzi huko Gaza.
Sahihi kabisa mkuu, kwa Sasa waisrael wengi wamegeuka kuwa wafuasi wa siasa Kali za mrengo wa kulia.

Zile siasa za wastani za kina Rabbin (Rip), Peres (Rip) kwa kizazi cha Sasa hazina nguvu tena, ila ukweli ni kuwa hawatapata amani ya kudumu na jirani zake kama suala la Palestine lisipopatiwa ufumbuzi wa kudumu, haijalishi nguvu za kijeshi walizonazo wala msaada wanaopewa na Marekani.

zitto junior
 
Back
Top Bottom