Kiongozi wa juu wa Al-Qaeda huko Yemen, Qassim al-Raymi auawa na Marekani

Kiongozi wa juu wa Al-Qaeda huko Yemen, Qassim al-Raymi auawa na Marekani

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
5,500
Reaction score
8,060
Kiongozi wa Al-Qaeda katika Rasi ya Uarabuni AQAP ameuawa na vikosi vya Jeshi la Marekani. Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha.

Qasim al-Raymi, ambaye ameongoza kundi hilo tangu mwaka 2015, ameuawa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani huko Yemen, Ikulu ya White House imeeleza.

Alichukua madaraka ya uongozi wa kundi hilo baada ya mtangulizi wake kuuawa katika shambulizi la Marekani la ndege isiyo na rubani.

"Chini ya Raymi, AQAP ilifanya unyanyasaji dhidi ya raia nchini Yemen na ilitaka kufanya na kuhamasisha mashambulio kadhaa dhidi ya Marekani na majeshi yetu," Trump alisema katika taarifa yake.

"Kifo chake kinazidi kuidhoofisha zaidi AQAP na harakati za kimataifa za Al-Qaeda, na kinatuleta karibu zaidi kuondoa vitisho ambavyo vikundi hivi vimekuwa vikileta kutishia usalama wa taifa letu," Rais Trump alisema.

Kundi hilo la AQAP liliundwa mwaka 2009 kutokana na matawi mawili ya Al-Qaeda nchini Yemeni na Sausi Arabia, ikiwa na nia ya kuangusha tawala za serikali zinazoungwa mkono na Marekani na kuondoa ushawishi wa nchi za Magharibi kwenye ukanda huo.

Tetesi kuhusu kifo cha al- Raymi kwa shambulizi la Marekani zilianza kusambaa mwishoni mwa mwezi Januari. Katika kujibu hilo kundi hilo lilitoa ujumbe wa sauti ukiwa na sauti ya al -Raymi tarehe 2 mwezi Februari ukisema kuwa wao ndio waliotekeleza shambulio la risasi kwenye kambi ya jesho la wana maji wa Marekani huko Pensacola, Florida.

Shambulio hilo lilifanyika mwezi Desemba, na ujumbe huo huenda ulirekodiwa mapema.

Taarifa kutoka Ikulu ya Marekani sasa imethibitisha kifo cha al-Raymi lakini haijasema aliuawa lini.

====

US has killed leader of jihadist al-Qaeda group in Yemen, Donald Trump confirms

  • Qasim al-Raymi was chief of al-Qaeda in the Arabian Peninsula

1581036256078.png


The United States has killed the leader of Al-Qaeda in the Arabian Peninsula (AQAP), President Donald Trump said.

Qasim al-Raymi, who has led the jihadist group since 2015, was killed in a US operation in Yemen, the White House said.

The jihadist leader had been linked to a series of attacks on Western interests in the 2000s.

He took over the leadership after his predecessor was killed by a US drone strike.

AQAP was formed in 2009 from two regional offshoots of Al-Qaeda in Yemen in Saudi Arabia, with the goal of toppling US-backed governments and eliminating all Western influence in the region. It has had most of its success in Yemen, prospering in the political instability that has plagued the country for years.

Rumours of al-Raymi's death in a US drone strike began circulating in late January. In response, AQAP released an audio message with al-Raymi's voice on 2 February, which may have been recorded earlier.

But the statement from the White House has now confirmed al-Raymi's death but did not say when he was killed.

"His death further degrades AQAP and the global al-Qa'ida movement, and it brings us closer to eliminating the threats these groups pose to our national security," the statement read.

"The United States, our interests, and our allies are safer as a result of his death."

Source: BBC

=====

U.S. kills al Qaeda in Arabian Peninsula leader in Yemen -Trump

WASHINGTON - President Donald Trump said on Thursday the United States had killed Qassim al-Raymi, the leader of Islamist group al Qaeda in the Arabian Peninsula (AQAP), in a counterterrorism operation in Yemen.

“Under Rimi, AQAP committed unconscionable violence against civilians in Yemen and sought to conduct and inspire numerous attacks against the United States and our forces,” Trump said in a statement.

“His death further degrades AQAP and the global al-Qa’ida movement, and it brings us closer to eliminating the threats these groups pose to our national security,” the president said. He did not say when Raymi was killed.

The United States regards AQAP as one of the deadliest branches of the al Qaeda network founded by Osama bin Laden.

Reports in Yemen have suggested in recent days that Raymi had been killed in a drone strike in Marib. Reuters was unable to verify the reports.

One Yemeni government official told Reuters there had been a drone strike in Marib but it was not Raymi who had been killed.

Source:
Reuters
 
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.

Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mimi ni mshabiki wa "the rule of law".

Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.

Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.

Watanzanzania waliumia.

Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?

Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.

Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.

Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.

Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.

Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wale wanaoua wenzao huku kwetu na kuwasukumia kwe viroba unawaonaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wepi hao? Ungenisaidia zaidi kwa kuwataja majina au kasia zao walikotokea.

Mimi sina hulka wala wajihi wa kusema nisichoamini kwa yeyote.

Nishamchana sana Bashite, Nishamchana sana Magufuli.

Asante.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
.... mzee hao ndio umma wenyewe na pepo kwa khakikha ni yao kwani wanaenenda katika njia ya hakhi ya Mola wao naye ni mwingi wa rehma kwa waja wake wanaompigania na kuilingania kamba yake!
Mchinja watu awe katika njia salama kwa mungu?

Nielekeze sehemu inayoeleza mtume Muhammad (saw) alichinja wapinzani wake kivita?

Marekani na alqaida njia yao ni moja ila kila mmoja anatimiza malengo kwa namna tofauti ..
Hebu fikiri Leo marekani anaisupot uturuki kuwashambulia jeshi la Syria wanaopambana na Al nusra( alqaida in Syria) kwa Nini?

Malengo yao yanafanana. Kuichafua middle east isikalike wajichotee rasilimali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
you can kill a man but you can't kill an ideology or idea

hapo kiongozi mwingine anachaguliwa na mapambano yanaendelea..tojea 1990's viongozi wanakufa lkn kundi bado lipo hsdu 2020
Safi sana Marekani! Hao mbwa hao wanawaza kumwaga damu tu kwa jina la dini! Walaaniwe duniani na kuzimu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Donald Trump amesema Marekani imemuua Kiongozi wa Al-Qaeda katika eneo la Rasi ya Urabuni (AQAP), Qassim Al- Raymi, kwenye oparesheni maalum iliyofanyika.

Rais Donald Trump amesema Marekani imemuua Kiongozi wa Al-Qaeda katika eneo la Rasi ya Urabuni (AQAP), Qassim Al- Raymi, kwenye oparesheni maalum iliyofanyika Yemen, Trump hajasema ni lini wamemuua.

” Qasim al-Raymi (aliyeongoza kikundi cha Jihad tangu mwaka 2015) na timu yake walipanga mashambulizi kadhaa kwa Marekani na Majeshi yake, na kufanya uhalifu mwingi wa kibinadamu Yemen”- Trump

“Kifo chake kinaendelea kudhoofisha AQAP na Kundi la al-Qaeda kwa ujumla na kufanya tuendelee kukaribia kuondosha vitisho vya makundi haya yanayohatarisha usalama wa Marekani” – Trump

Marekani imesema inalichukulia kundi hilo la AQAP kama tawi hatari la mtandao wa Al Qaeda ulioanzishwa na Osama Bin Laden.






ap19280821933642-660x379.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
you can kill a man but you can't kill an ideology or idea

hapo kiongozi mwingine anachaguliwa na mapambano yanaendelea..tojea 1990's viongozi wanakufa lkn kundi bado lipo hsdu 2020

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii vita dhidi ya Ugaidi imegeuka biashara yenye faida ya madola makubwa.

Badala ya kupambana na kiini cha tatizo wao wanapambana na matokeo yake.
 
.... mzee hao ndio umma wenyewe na pepo kwa khakikha ni yao kwani wanaenenda katika njia ya hakhi ya Mola wao naye ni mwingi wa rehma kwa waja wake wanaompigania na kuilingania kamba yake!
They do evils to get goods from God
 
FRANC THE GREAT,
USA ipo kwa mpango wa Mungu just imagine Iran ingekuwa superpower ingekuwaje? USA hawataki mtu aonewe ndomana hata huku bongo bashite kapigwa ban kwenda huko much love USA bila kuwasahau jamaa zetu Israel
 
Hawa jamaa sura zao hazina utu wala ubinadamu. Ukinasa kwenye anga zao umeisha, hawana huruma kabisa kabisa. Wanafurahia kukata shingo za watu hata wasio na hatia.

Najiuliza hivi wangefanikia kusimika dola yao hali ingekuwaje hapo. Tunamshukuru Sana Mungu kwa kuwanyima nguvu.



Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli asee, hawa jamaa suala la kuchinja Mtu au watu wasio na hatia sio kitu kigumu kwao, wanakwambia kwaajili ya Allah.! Nalipongeza jeshi na Serikali ya US kwa mafanikio hayo. Napata jibu kwanini hadi wale masheikh wa uzimishisho hadi leo hawajatoka. Hii ni kwa sababu ya mambo kama haya.

Imani hii kwanini inapenda kuua au kuona damu zikimwagika. Naona maksudi dhahiri ya kuiwezesha Marekani kuwa Taifa Kubwa na nguvu, na pia kuwafanya hawa waarabu na jamii nyingine inayofuata utamaduni wao kuwa dhaifu.!
Marekani aendelee kuwanyosha, sipati picha kama Warabu wangekuwa na nguvu, dunia ingekuwa inanuka damu kila kona. Ahsantee marekani endelea kuwanyoosha hawa wajinga.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Back
Top Bottom