Kiongozi wa juu wa Al-Qaeda huko Yemen, Qassim al-Raymi auawa na Marekani

Kiongozi wa juu wa Al-Qaeda huko Yemen, Qassim al-Raymi auawa na Marekani

FRANC THE GREAT,
USA ipo kwa mpango wa Mungu just imagine Iran ingekuwa superpower ingekuwaje? USA hawataki mtu aonewe ndomana hata huku bongo bashite kapigwa ban kwenda huko much love USA bila kuwasahau jamaa zetu Israel

Yaaani we acha tu. Yaani waarabu wangekuwa na nguvu sijui ingekuwaje. Marekani endelea kuwanyoosha hawa makafiri wanaojiita. Na wanatuita sisi makafiri wakayi wao ndio makafiri.
Ahsantee Mungu kwa kuiinua marekani


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.

Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mim8 ni mshabiki wa "the rule of law".

Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.

Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.

Watanzanzania waliumia.

Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?

Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.

Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.

Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.

Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.

Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.

Sent using Jamii Forums mobile app

Subiri siku dada yako au mama yako akiambia asali kwa lugha ya waarabu akishindwa achinjwe ndipo utajua kwanini hawa magahaidi hawastahili kuishi. Kama yeye ameua mamia, kumuua yeye mmoja si kitu na haiumi. Marekani tawala milele na shughulika na hawa Mbwaa wa kiarabu.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Subiri siku dada yako au mama yako akiambia asali kwa lugha ya waarabu akishindwa achinjwe ndipo utajua kwanini hawa magahaidi hawastahili kuishi. Kama yeye ameua mamia, kumuua yeye mmoja si kitu na haiumi. Marekani tawala milele na shughulika na hawa Mbwaa wa kiarabu.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
Unajua kusoma kwa ufahamu?

Umesoma nikichoandika? Au umejibu kwa pupa tu kabla ya kumaliza kusoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchinja watu awe katika njia salama kwa mungu?

Nielekeze sehemu inayoeleza mtume Muhammad (saw) alichinja wapinzani wake kivita?

Marekani na alqaida njia yao ni moja ila kila mmoja anatimiza malengo kwa namna tofauti ..
Hebu fikiri Leo marekani anaisupot uturuki kuwashambulia jeshi la Syria wanaopambana na Al nusra( alqaida in Syria) kwa Nini?

Malengo yao yanafanana. Kuichafua middle east isikalike wajichotee rasilimali.

Sent using Jamii Forums mobile app
" disturb the pond and fish the way you want"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna haja ya kusoma habari nzima kama aya za awali umepuyanga.! Unatetea wanaojitoa mhanga.!


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
Wewe huelewi kitu kinaitwa "immanent critique".

Huna ubongo wala uti wa mgongo, kama guluguja, ndiyo maana hujui kusoma kwa ufahamu.

Sasa Hegelian dialectic utaielewa vipi? Huwezi kuielewa.

Na kwa hivyo, kuelewana nami itakuwa vigumu.
 
Kiranga nimependa jinsi usivyopenda kuona danu inamwagika, una roho kama ya Henoko tunayemsoma katika kitabu cha Mwanzo ktk biblia.
Lakini kuna wakatikuua ni kuokoa wengi.
Al-qaeda huwa hawakusudii kuua mtu mmoja, wao wangeweza hata wangeiteketeza Marekani kwa kisingizio cha imani tu.
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.

Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mimi ni mshabiki wa "the rule of law".

Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.

Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.

Watanzanzania waliumia.

Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?

Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.

Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.

Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.

Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.

Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga nimependa jinsi usivyopenda kuona danu inamwagika, una roho kama ya Henoko tunayemsoma katika kitabu cha Mwanzo ktk biblia.
Lakini kuna wakatikuua ni kuokoa wengi.
Al-qaeda huwa hawakusudii kuua mtu mmoja, wao wangeweza hata wangeiteketeza Marekani kwa kisingizio cha imani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nikasema ikithibitika mtu ni Al-Qaeda, sina huruma naye.

Wasiojua kusoma hawajaweza kusoma hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makanisa yangechomwa moto, mapadri na wachungaji wangeuwawa au kuslimu. Ikifika Ramadhani wote mfunge, kila sehemu ungesikia wakristo au wapagani wameuwawa. Mwaarabu ni mtu mbaya sana. Wameharibu miji yao kwa ujinga wao. Middle East imebaki magofu kwa minajiri ya kukatana na mabikira 72. Zenji wameshaharibiwa na Mwaarabu, ikifika mfungo wa Ramadhan sharti watu wasipike au kula hadharani.
FRANC THE GREAT,
USA ipo kwa mpango wa Mungu just imagine Iran ingekuwa superpower ingekuwaje? USA hawataki mtu aonewe ndomana hata huku bongo bashite kapigwa ban kwenda huko much love USA bila kuwasahau jamaa zetu Israel
 
bwana uchungu mwarabu wa matombo naye kauwawa au?
Maana leo hasikiki kabisa kuwatetea waarabu wanaomwona ni kibwengo[emoji28]
Yaaani we acha tu. Yaani waarabu wangekuwa na nguvu sijui ingekuwaje. Marekani endelea kuwanyoosha hawa makafiri wanaojiita. Na wanatuita sisi makafiri wakayi wao ndio makafiri.
Ahsantee Mungu kwa kuiinua marekani


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kushangaza waarabu wenye itikadi kali za dini ndiyo wanatumika kama condom. Kifo ndiyo njia rahisi ya kukutana na mabikira 72

Kama kondom tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

This is a kind of stuff I signed up for.!

Binafs naamini kuwa, mtu akiua dawa yake ni kumuua tu, hakuna haja ya sheria hapo. Sasa hao maghaidi, dawa yao ni kuwatungua tu kama vile mzee mkubwa @RealDonaldTrump anavyo watafuna mdogo mdogo kwa kubofya tu ile Red botton




Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Ishiii eti rais wangu.. [emoji23] [emoji23]
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.

Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mimi ni mshabiki wa "the rule of law".

Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.

Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.

Watanzanzania waliumia.

Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?

Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.

Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.

Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.

Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.

Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom