Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
FRANC THE GREAT,
USA ipo kwa mpango wa Mungu just imagine Iran ingekuwa superpower ingekuwaje? USA hawataki mtu aonewe ndomana hata huku bongo bashite kapigwa ban kwenda huko much love USA bila kuwasahau jamaa zetu Israel
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.
Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mim8 ni mshabiki wa "the rule of law".
Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.
Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.
Watanzanzania waliumia.
Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?
Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.
Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.
Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.
Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.
Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU Yupi[emoji23][emoji23][emoji23]FRANC THE GREAT,
USA ipo kwa mpango wa Mungu just imagine Iran ingekuwa superpower ingekuwaje? USA hawataki mtu aonewe ndomana hata huku bongo bashite kapigwa ban kwenda huko much love USA bila kuwasahau jamaa zetu Israel
Kwa nini unafikiri sijapata akili hiyo?Kiranga,
Siku ukisikia ndungu zako wametekwa na wanalazimishwa kusema sala wasioijua na wakauawa, utapata akili ya kujua kwanini hao watu hawapaswi kuishi.
Unajua kusoma kwa ufahamu?Subiri siku dada yako au mama yako akiambia asali kwa lugha ya waarabu akishindwa achinjwe ndipo utajua kwanini hawa magahaidi hawastahili kuishi. Kama yeye ameua mamia, kumuua yeye mmoja si kitu na haiumi. Marekani tawala milele na shughulika na hawa Mbwaa wa kiarabu.
Happy dude [emoji67][emoji538]
" disturb the pond and fish the way you want"Mchinja watu awe katika njia salama kwa mungu?
Nielekeze sehemu inayoeleza mtume Muhammad (saw) alichinja wapinzani wake kivita?
Marekani na alqaida njia yao ni moja ila kila mmoja anatimiza malengo kwa namna tofauti ..
Hebu fikiri Leo marekani anaisupot uturuki kuwashambulia jeshi la Syria wanaopambana na Al nusra( alqaida in Syria) kwa Nini?
Malengo yao yanafanana. Kuichafua middle east isikalike wajichotee rasilimali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiojua kusukuma tunapata shida Sana. Msela kaandika kusukuma wenzie twajua Kiingereza tu ..
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Umesoma nikichoandika? Au umejibu kwa pupa tu kabla ya kumaliza kusoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huelewi kitu kinaitwa "immanent critique".Hakuna haja ya kusoma habari nzima kama aya za awali umepuyanga.! Unatetea wanaojitoa mhanga.!
Happy dude [emoji67][emoji538]
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.
Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mimi ni mshabiki wa "the rule of law".
Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.
Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.
Watanzanzania waliumia.
Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?
Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.
Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.
Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.
Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.
Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nikasema ikithibitika mtu ni Al-Qaeda, sina huruma naye.Kiranga nimependa jinsi usivyopenda kuona danu inamwagika, una roho kama ya Henoko tunayemsoma katika kitabu cha Mwanzo ktk biblia.
Lakini kuna wakatikuua ni kuokoa wengi.
Al-qaeda huwa hawakusudii kuua mtu mmoja, wao wangeweza hata wangeiteketeza Marekani kwa kisingizio cha imani tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
FRANC THE GREAT,
USA ipo kwa mpango wa Mungu just imagine Iran ingekuwa superpower ingekuwaje? USA hawataki mtu aonewe ndomana hata huku bongo bashite kapigwa ban kwenda huko much love USA bila kuwasahau jamaa zetu Israel
The monster they've created is now haunting them.
Yaaani we acha tu. Yaani waarabu wangekuwa na nguvu sijui ingekuwaje. Marekani endelea kuwanyoosha hawa makafiri wanaojiita. Na wanatuita sisi makafiri wakayi wao ndio makafiri.
Ahsantee Mungu kwa kuiinua marekani
Happy dude [emoji67][emoji538]
Cha kushangaza waarabu wenye itikadi kali za dini ndiyo wanatumika kama condom. Kifo ndiyo njia rahisi ya kukutana na mabikira 72
Wa mbinguni
Simpendi Donald Trump. Ni rais wangu lakini ananichafua sana. Kama Magufuli.
Sipendi kuua watu bila kuwafikisha mahakamani. Mimi ni mshabiki wa "the rule of law".
Ila, Al-Qaeda waliazimia vita dhidi ya Marekani.
Ubalozi wa Marekani ulipigwa bomu hapo Dar es Salaam yetu.
Watanzanzania waliumia.
Nikisikia Al-Qaeda kauawa, kitu pekee cha kujiuliza ni, huyu Al-Qaeda kweli? Au anasingiziwa tu?
Ikionekana ni Al-Qaeda kweli, hata mimi mtu wa amani ambaye sipendi kuua hata sisimizi katika maisha yangu, siwezi kumhurumia akiuawa na serikali ya Marekani.
Maana leo naweza kumhurumia, wakati kashaweka uuaji katika roho yake, halafu keshi akalipua Dar es Salaam na kuua ndugu zangu.
Nabaki siwezi kupongeza mauaji ya mtu, kwa sababu naamini mtu anaweza kubadilishwa.
Lakini pia, katika ma,ingira ya vita, siwe,i kummtukana mwanajeshi wa Kimarekani, au muongozaji wa jeshi la Marekani, anayesema washenzi wanaotaka kuua watu wauawe tu.
Kwa kweli, nikiamua kuchagua upande, nasema waliotaka kuua watu, wakiwa Wamarekani au Al-Qaeda, wenyewe eamehalalisha kuuawa katika vita.
Sent using Jamii Forums mobile app