hali ya ulimboka ni mbaya kupona kwake ni kwa kudra za Mungu....
wanamsumbua bure tu,,,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hali ya ulimboka ni mbaya kupona kwake ni kwa kudra za Mungu....
Na sisi wananchi tulioiamini tukaipa kura, sasa tunaamini kuwa imesimama thabiti kulinda maisha yetu. Tupo pamoja na serikali yetu kuwadhibiti wanaotishia maisha yetu LIWALO NA LIWE.
Kuna watu wanachezea hisia za watanzania...unadhani ni nani?
Kwa nini wasiwe ndugu wa jamaa waliopoteza maisha kwa mgomo? kwa nini unasema ni polisi?Mkuu hao watakuwa polisi....
I will be the last person to believe that...Mkuu hao watakuwa polisi....
Nani alishinda?Hivi CCM ilishinda uchaguzi wa mwaka 2010....!?
Ametekwa au amekamatwa na Polisi.
serikali yako ya ccm unayoitetea hapa jamvini kila siku ndio inayofanya umafia huu kwa watu wema, wezi waliochota 303bil wameficha uswiss wanawaficha. shame
Sheria itumike. Serikali imefata sheria, kwenye mgogoro inatakiwa uende kwenye vyombo vya sheria, vyombo vya sheria vimesitisha mgomo na vimetowa amri, bado unaleta ukaidi? sasa ataijuwa Serikali ni nini, ingawa yeye kwa gonjwa linalomsumbuwa anaona kuwa hana cha kupoteza, lakini hii itakuwa ni fundisho kwa wengine wajuwe kutumia sheria na kuheshimu mahakama.
wana jf msameheni mtu huyu.Sheria itumike. Serikali imefata sheria, kwenye mgogoro inatakiwa uende kwenye vyombo vya sheria, vyombo vya sheria vimesitisha mgomo na vimetowa amri, bado unaleta ukaidi? sasa ataijuwa Serikali ni nini, ingawa yeye kwa gonjwa linalomsumbuwa anaona kuwa hana cha kupoteza, lakini hii itakuwa ni fundisho kwa wengine wajuwe kutumia sheria na kuheshimu mahakama.
Kama habari hii ni ya kweli, Suluhisho la ukweli halitokani na kuteka watu, ni kwa kuwapa madaktari haki yao.
Serikali badala ya kuteka mafisadi inateka wanaodai maslahi yao. Aibu!. Baadhi ya madai ya madaktari ni ya Msingi, wanataka huduma ziboreshwe hospitalini, wanataka wasiwaandikie watu aspirini wakati wanahitaji dawa ya malaria isiyokuwepo.
Haya ni madai ya haki, hayatatatuliwa kwa kuteka watu.
Sheria itumike. Serikali imefata sheria, kwenye mgogoro inatakiwa uende kwenye vyombo vya sheria, vyombo vya sheria vimesitisha mgomo na vimetowa amri, bado unaleta ukaidi? sasa ataijuwa Serikali ni nini, ingawa yeye kwa gonjwa linalomsumbuwa anaona kuwa hana cha kupoteza, lakini hii itakuwa ni fundisho kwa wengine wajuwe kutumia sheria na kuheshimu mahakama.
Na hao madaktari wanaoziiba dawa mahospitali huwaoni?