Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kati ya siku ambayo nimechafukwa na roho ni kati ya siku ya leo baada ya taarifa hii!

Imenidhihirishia ya kwamba serikali ni DHAIFU mara 100 tofauti na tunavyoiona
Kutekwa kwa Dr. Ulimboka ni mwanzo mzuri kwa raia na hata anguko jipya kwa chama tawala.

Hili la leo imenitouch sana jamani.

Kwa wale wenye news watujuze tulioko mbali!
 

Huyo bwana ni kama vile daktari-mwanaharakati ajulikanaye kwa jina la "Amilcar Cabral" aliyeishi Afrika ya magharibi!
 
Apparently it is true, at MOI needing CT scan not available BUT his colleagues working out logistics for an outside hospital. very sad
 

Mkuu nakuunga mkono 99%, nabaki na moja tu.
 
Dk. Ulimboka akimbizwa hospitali
Kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari nchini Tanzania Dk.Steven Ulimboka amefikishwa
katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), akiwa mahututi baada ya kuokotwa eneo la
Mabwepande.
 

Wanatumia uzoefu wa siku za nyuma. Wamefanya hivyo mara nyingi huko nyuma, na wakaona ilifanya kazi mbinu kama hiyo, hivyo wameamua kutumia sasa, na wataendelea kuitumia mpaka siku watakapoona haifanyi kazi tena. Kwa sasa hawafanyi kwa nadharia bali kwa uzoefu wao.
 

Mzazi umemaliza hayo masaa maana hii picha inaweza kutufikisha tusipotazami
 
He has taken the place in the history of this country...sijui mbele ya safari itakuwaje but that is the fact. Mwenye wivu ajinyonge
 

chadema has nothing to do with this
 

Ni afadhali ningekuwa mfanya maamuzi ningekuwa natoa maamuzi ya msingi wala isingefikia huku ilikofofikia leo
hii tunaongelea masuala ya watu kutekwa.kwani madai ya madaktari yote yapo ndani ya uwezo wa serikali.

Unataka kusema serikali haina uwezo wa kununa scanner au vifaa?kuwapa maDR green cards za bima,mbona wanawapa
mpaka mahouse girl wao?,hawawezi kuongeza posho ya wabunge na madiwani zinatoka wapi au kwa sababu ni
wanasiasa watapiga kelele juu ya uovu wao?,

Pesa zinazotumika kukimbiza mwenge nchi nzima mbona ni nyingi,
je tuna sababu ya kukimbiza moto kwa mabilioni ya pesa badala ya kuwalipa madaktari...........!!!!!!!.THINk TWICE!!
 
LIVE FROM BUNGENI...
Mh Highness Kiwia amejaribu kufikisha habari hii Bungeni ila Naibu Spika amemuuliza kuwa je ana uhakika?
 
King'asti, hata mie nimeanza kuogopa kufanana na wewe.

Nilivyosikia hii taarifa jambo la kwanza lililonijia kwa nini alienda kukutana nao usiku huo?
Yale yale ya Chacha Wangwe.

Sina hakika na ukweli wa habari hii!
Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia huku mtaani amepatikana eneo la Bunju akiwa hoi, amepigwa haijulinaki, amegongwa haijulikani! Taarifa zilizopo amepelekwa MOI haraka.

Nazidi kufuatilia hili nikipata zaidi nitarudi tena.

Tupe updates zaidi
 

sijui ni kwanin jamaa hakunielwa,,,,,any way asante kwa kumdadavulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…