Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

If This is True, Then more to come.....Hata kama wakimdhuru Ulimboka sidhani kama itakuwa suluhu kwa mgomo uliopo
 
Sina hakika na ukweli wa habari hii!
Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!

Ni mtu commited ambaye anafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha mgogoro wa madaktari na serikali unaisha ndio maana alipoitwa kwa mtego akahisi ajaribu kutumia fursa hiyo kumaliza mgogoro kumbe ulikuwa mtego!!
 
nakushangaa sana, leo unaona sheria zinavunjwa heee?
Mbona kwenye sakata la uamsho haukuse wana vunja sheria?
mkuu huyo ni kichaa wachana naye ana pepo wachafu kabisa i cannot explain him kabisa huwa anashabikia dhambi na umwagaji damu ,never talk to a full like him ull lost yo time mkuu
 
Serikali , TISS siyo wajinga kumteka Ulimboka na kumfanya hicho na kumuchia. Wamefanya mengi bila hata kujilikana. Wangetaka kumteka na kumpiga wangefanya hivyo wakati mgomo haupo.
MAT ina viongozi / kamati , kwa hiyo siyo rahisi kwa Ulimboka kwenda peke yake kwenye mkutano wowote ule.
Lazima tuseme ukweli kuwa wanaopata madhara ni wananchi .
Kama kuna mtu kapoteza mpenzi wake, mzazi wake atakuwa na hasira gani?

Mbona wamefanya hivyo mara nyingi? Wewe upo nchi gani ambaye hufahamu?
 
Tusikimbilie kutuhumu... kwenye mgomo wao wa mwisho, mi na wenzangu tulikuwa tukiwinda daktari yeyote, "tumnyonye macho" baada ya mshkaji(holder of top secret) wetu kukosa huduma muhimbili kwa siku nzima alikopelekwa kutokana na kuvunjika mguu kwenye ajali...sijui waliomfanyia hayo ulimboka watakuwa kina nani, na kwa sababu zipi....Mungu amjalie salama tabibu!...wao (matabibu), ni wana taaluma ambao mgomo wao, haukubaliki na haueleweki hata kidogo na yeyote yule mwenye bahati mbaya ya kuhitaji huduma yao ktk kipindi ambacho wamegoma!
 
Habari za hivi punde kwamba kiongozi wa madaktari yu hoi bin taabani baada ya kutekwa na kupigwa kama jambazi,kama tapona tumshukuru mungu.madktarinao wametembeza kipigo cha nguvu kwa wavamizi hao
 
Acha ndoto za mchana kujifariji hapa JF wakati unaishi chini ya dola moja kwa siku...ten times kitu gani wewe

Huo ujumbe kamfikishie yule aliyeleta 'ishu za nani ana akili zaidi' ...kumbuka asiyejua maana haambiwi maana..
 
Kama ni kweli serikali imehusika, basi serikali itakua imethibitisha kuwa madai ya madaktari ni ya kweli na yana msingi na ndio mana hawana hoja zaidi ya kutumia ubabe.
 
mmmmh....jamaa mbona kaongea juu juu tu, tena kwa uoga. nadhani aliogopa kuombwa ushahidi
 
Wadau,
Habari ndiyo hiyo.

"Jamani this is iserious nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa legal and human rights center wameniambia wametoka kumchukua Dr Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!
Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center"".
By Dr. Riwa
 
Back
Top Bottom