Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

HYDROBENGA. ...upo upande wa waliopatwa na machungu ya kufiwa na ndugu/rafiki/jamaa kwa sakata la madaktari.....!
wasiopatwa na kadhia hiyo hawakuelewi.........!
MKUKI KWA NGURUWE.....KWA BINADAMU MCHUNGU..!
Hawa wehu wengine wanakuja kuposti hapa bila kufikiri ..wangejua ule mgomo hali ilivyokuwa ... mtu kafiwa na mdogo wake mapokezi Hospital kwa kukosa huduma ... halafu madaktari wanamtolea maneno ya kejeli eti wamegoma....kwa nini tusikuteke halafu tukusulubu tukakutupe mabwepande ?
 


Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la utekaji nyara na kujeruhi lililompata kiongozi mgomo wa Madaktari Steven Ulimboka anayedaiwa kutekwa na watu watano wakati akipata kinwaji katika klabu ya Leaders Kiondoni jijini Dar es salaam.



Kamanda Kova amesema Ulimboka aliokotwa na msamaria mwema ambaye hakutaka kumtaja jina lake kiusalama na kutoharibu upelelezi kuwa msamaria mwema huyo alimuokota Ulimboka katika msitu wa Mabwepande na kutoa taarifa kituo cha polisi cha Bunju, ambapo polisi aliyekuwa zamu alichukua maelezo yake na baadae Steven Ulimboka kuletwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.



Kamanda Kova amesema jeshi la Polisi Kanda Maalum limeunda jopo maalum kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi wa tukio hilo la utekaji nyara, kwani ni tukio la kwanza kutoke nchini, ameongeza kwamba wahusika wote watakaobainika kuhusika na tukio hilo wachukuliwa hatua za kisheria na sheria itafuata mkondo wake ili kukomesha matukio mengine kama hayo



Waandishi wa habari waimsikiliza kamanda Suleiman Kova katika kituo kikuu cha polisi Kati jijini Dar es salaam leo mchana.



Dk Steven Ulimboka akiwa amejeruhiwa vibaya na watu wasiojulikana baada ya kutekwa na kupigwa vibaya usiku wa kuamkia leo na kuokotwa huko Mabwepande.

Kiganyi, JF.
Health - Wotepamoja


Angalizo: Akome pia kutongoza wake za watu hata kam yeye ni dokta, aendelee na migomo yake tu!
 
kazi wanayo Huwezi kushindana na Mungu hata siku moja lazima serkali ijue hilo.

Kwenye nyuzi zingine za hili tukio nilisema hivi:

Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
 
Mkuu sawabho, hata hii picha bado inadanganya? au mahojiano kwa njia ya makonde?
Kweli Tanzania kama uijuavyo!
250995_412575955460231_1315467396_n.jpg

Mkuu mimi sipingi kwamba hajateswa, ila nilichoona ni kwamba alikamatwa kwa "mahojiano zaidi". Zingatia neno "mahojiano zaidi" ambalo ulipaswa kulitafakari na ukumbuke kuwa wakati tunajadili hii thread taarifa za kupatikana kwake zilikuwa bado kupatikana, kwa maana hiyo mahojiano zadi ambayo nilihisi yanaweza kuwepo ni hayo. Tuko pamoja Mkuu. Ni wakati wa kuamka na kusema "Hapana imetosha"
 
Tuachieni vyombo vya usalama vifanye kazi yao na ukweli utajulikana.

Tayari taarifa iliyoletwa hapa awali inakinzana na taarifa ya Kova, tuliambiwa kwamba Ulimboka alikuwa kwenye mkutano na watu wasiojulikana hapa tunaambiwa alikuwa anakata kilaji! This is just the beginning
viachie wewe mpuuzi mkubwa.
 
Tuachieni vyombo vya usalama vifanye kazi yao na ukweli utajulikana.

Tayari taarifa iliyoletwa hapa awali inakinzana na taarifa ya Kova, tuliambiwa kwamba Ulimboka alikuwa kwenye mkutano na watu wasiojulikana hapa tunaambiwa alikuwa anakata kilaji! This is just the beginning
Too Late Mr Kova no one will ever buy your lies
 
ni kwamba kova amezoa kukurupuka hata issue ya jerry muro alikuja mpaka na kitabu cha sheria leo hii tumeona. sasa ya dk ulimboka nadhani jeshi hakuja jipya itakalo toka nalo kwani wanajua bana. uonevu hauwezi kushinda haki

Jerry Muro alisema Kova sio polisi!
 
Mkuu mimi sipingi kwamba hajateswa, ila nilichoona ni kwamba alikamatwa kwa "mahojiano zaidi". Zingatia neno "mahojiano zaidi" ambalo ulipaswa kulitafakari na ukumbuke kuwa wakati tunajadili hii thread taarifa za kupatikana kwake zilikuwa bado kupatikana, kwa maana hiyo mahojiano zadi ambayo nilihisi yanaweza kuwepo ni hayo. Tuko pamoja Mkuu.
wewe utakuwa maiti inayotembea.
 
TUKUTANE TAHRIRI SKWEA kama misri, kama kweli umeziona picha hizo be concerned THIS IS TANZANIA.....
I wish to use a very strong language hapa, Tuimbe nyimbo za mashujaa katika vita ya Kagera, Tukumbuke hotuba ya Nyerere kuhusu Iddi Amini. Tuitoe madarakani Dhaifu hii
 
Hawa wehu wengine wanakuja kuposti hapa bila kufikiri ..wangejua ule mgomo hali ilivyokuwa ... mtu kafiwa na mdogo wake mapokezi Hospital kwa kukosa huduma ... halafu madaktari wanamtolea maneno ya kejeli eti wamegoma....kwa nini tusikuteke halafu tukusulubu tukakutupe mabwepande ?
Kikwete na watoto wake watayalipa haya before 2015 chezea damu ya wananchi kwa sababu ya usalama wa KIkwete na Pinda badala ya Usalama wa Taifa mambumbu wezi wakubwa wa mali za taifa
 
I feel very bad.someone needs to pay for this inhumanity.someone who brought us here...he should.
 
hili jambo ni uvunjifu wa haki za binadamu wala halikubaliki katika jamii serekari imeona maji yako shingoni ikaamua kutuma majasusi naamini hivyo kwani hakuna mtu naye weza kufanya hivyo zaidi ya serekari iliyoko madarakani hawa watu wakamatwe, polisi walifika mida ya saa sita mchana mhimbili walikuwa wanatafuta nini wakati tuka usiku walikuwa wapi kufuatilia. Mgomo wa kumtibu doctor mwenzao haupo kwani tutahakikisha anapona kwa msaada wa mwenyezi mungu .
 
Kwa hiyo unataka kusema ni watu wa Haki za Binadamu ndio waliomteka na kumpiga.

Mmeshaanza tayari kujitetea.

Bila shaka leo au kesho PM atatoa kauli ya kuunda tume kuchunguza kama kawaida hatutashangaa.

Iliundwa tume ya kuchunguza mauaji ya Wafanyabiashara wa Mahenge na hatma yake Mungu ndiye anajua.

Tume zinamaliza pesa za walalahoi, ni heri pesa ya kuundia tume ikaongeze vitanda mahospitalini na kumaliza matatizo katiak huduma ya afya.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Nasema hivi; "Mkono wa Serikali ni mrefu", itajulikana tu ni nini kilichotokea, hilo wala usiwe na shaka nalo. Na uchunguzi wa nguvu umeshaanza na kova kisha liongelea.
 
Think outside the box ndugu yangu hii hauhitaji ujue inteligensia kuweza kujenga picha..Kiongozi alisema Liwalo na Liwe..waliohusika ni AKSARI wakiwa na bunduki zao..Sasa kuna chama cha Siasa chenye mamlaka juu ya askari kuwaamuru zaidi ya CCM?

Hata Majambazi si wanavamia na kuteka watu wakiwa na bunduki au? Sio kila anayekuwa na bunduki ni askari wa serikali
 
police wameusika, alafu vitisho wa viongozi wa ccm na serikali yao dhidi ya madaktari
 
Nasema hivi; "Mkono wa Serikali ni mrefu", itajulikana tu ni nini kilichotokea, hilo wala usiwe na shaka nalo. Na uchunguzi wa nguvu umeshaanza na kova kisha liongelea.
mkono wa serikali ulikatika siku nyingi siku hizi unaishia kwenye kiwiko tu,hakuna ukweli zaidi ya huu unaojua wewe,
 
Hawa watu wanawazimu... ati "ni tukio la kwanza"! Really... yaani wamefumbwa macho yao hivi?
 
Back
Top Bottom