mie sijengi nyumba moja na mpuuzi kama huyo.
Hata Majambazi si wanavamia na kuteka watu wakiwa na bunduki au? Sio kila anayekuwa na bunduki ni askari wa serikali
Hawa wehu wengine wanakuja kuposti hapa bila kufikiri ..wangejua ule mgomo hali ilivyokuwa ... mtu kafiwa na mdogo wake mapokezi Hospital kwa kukosa huduma ... halafu madaktari wanamtolea maneno ya kejeli eti wamegoma....kwa nini tusikuteke halafu tukusulubu tukakutupe mabwepande ?
jamani huyu doctor ni nani kwa sie ambae hatumfahamu?
Hakuna DR. mwenye akili ya kipumbavu ya kufanya hivi. Hilo ondoa katika mawazo yako na usiwapumbaze na wengine kwa hizo Siasa zisizokuwa na msingi.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Sijui la kwanza wapi...maana hapo mabwepande kwenyewe tu si tukio la kwanza la aina hii kufanyika eneo hilo, achilia mbali nchi nzima.Hawa watu wanawazimu... ati "ni tukio la kwanza"! Really... yaani wamefumbwa macho yao hivi?
watanzania tumelelewa kwenye misingi ya uonga,hii imesababishwa na umasikini tulionao,na ndiyo maana watawala wetu wanahakikisha tunabaki masikini ilitushindwe kufanya maamuzi.ukilinganisha hali ya 2005 mpaka sasa,utaona watu wameanza kuhoji mambo,lakuini sasa,katika mabili0ni ya watanzania,watu wa kuhoji niwachache sana,lakini watanza watake wasitake lazima wafanye maamuzi maana mabo ni mabaya kwa kila mtu.hiyo siku inakuja.just wait u wil witness the day.
SERIKALI IPI WEWE zomba?? kesi ya kunguru ukampe mwewe uliona wapi?? halafu nakuchukia wewe na wenzako wote mnaosuport hiki chama cha machangudoa!Nasema hivi; "Mkono wa Serikali ni mrefu", itajulikana tu ni nini kilichotokea, hilo wala usiwe na shaka nalo. Na uchunguzi wa nguvu umeshaanza na kova kisha liongelea.