Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

mmeona faida ya kumteka? mgomo uliisha na maisha yanasonga yeye hatujui yuko na msaidizi wake Dr Mashinji ni Katibu mkuu wa Chadema. leo hii mtafute mwambie aanzishe mgomo atakupiga ngumi 8 za pua fasta fasta
 
[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Aisee yupo zake ulaya anakula bata now
Utakula bata na meno ya bandia? Matendo mengine aliyofanyiwa je, kweli yatamtoka kichwani kwa kukaa ulaya?
Kuna utabili ulitolewa miaka hiyo kwamba serikali inaanzisha mchezo huu baadaye hata watu binafsi wataiga na kufanya utekaji na mauaji kama mtindo wa maisha. Tuko wapi leo hii? Waanzilishi ni utawala wa awamu ya nne. Hamukufokewa lakini tumeachiwa uchafu wa maisha yote.
 
Kuna watu wamepotea kitambo humu JF . Huyu jamaa katokomea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…