Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Nimeamini sasa kuwa nchi hii haipo katika mikono salama. Nimestuka na kufadhaika sana kwa jambo hili. Zaidi Waziri Mkuu Mh. Pinda amejibu swali huko Bungeni kuhusu mgogoro huu wa madaktari na kutoa kauli ya kuwa "liwalo na liwe". Hii ni dhahiri kuwa, viongozi wetu wa sasa nchi imewashinda kabisa. Kama si FISADI, huna haki nchi hii.
 
Hatuna independent media mkuu, ukichapisha hizo makala utakuwa hujipendi!! wao ni propaganda na kupindisha ukweli kutokana na shinikizo la serikali. Lakini ukienda kwenye hospitali zetu utasikitika then huyoo!! angalia hapa chini
548736_386131041448435_1466428808_n.jpg
Katika hali kama hii, halafu unakuta kuna lijitu linasimama na kuisifia CCM bila hata aibu. Hii nchi ina wajingaa wengi sana
 
You can kill him but you cannot kill the spirit of revolution-Change we need !
 
Kwani amri ilitolewa kwa Dr. Ulimboka? Nilikushauri tafuta tiba ya utindio wa ubongo mapema

Ulimboka anaisaidia Serikali katika uchunguzi wa nani yupo nyuma ya hii migomo, wacheni kelele, wacha Serikali dhaifu ifanye kazi yake.

 
Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Kama kweli Dr. Aliitikia hiyo Reconciliatation tena saa sita usiku.....Basi huyu Dr ni kilaza ..hawa ndo wanaofanyia watu opresheni za kichwa badala ya mguuu.....kama alichukuliwa Home kinguvu hio itakuwa too bad
 
Jamani this is iserious nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa legal and human rights center wameniambia wametoka kumchukua Dr Ulimboka kule mwabepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!
Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
 
Habari zenyewe zinachanganya tu... mara kakamwatwa na polisi na yupo bunju kituo cha polisi... mara kaokotwa kafungwa kamba si mtu ishu kamili tujue
 
Kama hili ni la kweli basi Tanzania si kisiwa cha amnai tena, na inabidi serikali itamke wazi kuhusu hili sasa.
 
sijui kama hawajampaka hiyo polonnium ili apukutike nywele na vinyweleo ndio Kazi ya KIkwete huyo muuaji wananchi wengi tunajua
 
Serikali dhaifu imeamua kukunjua makucha kupambana na majemedari
 
Katika hali kama hii, halafu unakuta kuna lijitu linasimama na kuisifia CCM bila hata aibu. Hii nchi ina wajingaa wengi sana

Halafu mijitu iliyosoma kabisa unakuta inashabikia CCM, na pengine wala chembe ya rushwa/ufisadi hawaambulii. Kweli elimu ya darasani sio lazima imfae mtu!
 
watu wa legal and human rights center wameniambia wametoka kumchukua Dr Ulimboka kule mwabepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.nimeongea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights cente
 
Migomo ni njia mojawapo ya kudai haki,kutoa taarifa na kuishinikiza serikali juu ya jambo fulani,naamini kabisa hizi ni sababu zilizofanya wakairuhusu kikatiba.
Sasa ni nchi dhaifu tu na yenye viongozi dhaifu tu ndo itateka ''viongozi'' wa migomo! Vitu kama hivi ndo vinafungua milango kwa nchi kama Marekani na nyingine kuingia ndani,wataanza Amnesty Int'l kuingilia suala la kutekwa kwa daktari,watakuja watu kuchunguza na kutengeneza report zilizojaa exaggerations! Watakuja Nato,watakuja maraisi wao..vyote hivi vitawasaidia kuigawa na kuchukua raslimali za TZ. Tuna sababu nyingi za wao kuja,tuna Tanzanites,Gold,Uranium,Diamond n.k

Haya masuala ya kidhaifu ya kuteka viongozi wa mgomo ni kama kujichimbia kaburi letu wenyewe. Naamini pesa ya kustaafu ni kubwa sana,kama mtu unajua hapo ulipo hupawezi,iwe waziri,mbunge,diwani,speaker,raisi kwanini usiandike barua ya kustaafu ule pesa yako ndefu uondokane na laana za watanzania?? Mbona tunapenda kufunga ndoa na dhambi kubwa kubwa hivi?

Ubabe tangu lini ukasaidia kwenye kutatua matatizo ya madaktari?mnataka kuwatisha warudi kazini wakapige story na kutoa huduma hafifu,sasa huko si ndo kubaya zaidi>si bora hata hivi watu wanajua hamna dakatari ngoja nitafute alternatives kuliko kukmkuta halafu anakuzungusha hadi mgonjwa wako anakufa.

Please,mnachofanya n vitu vya mwaka 1678..tuko dunia nyingine sasa,acheni ubabe,kama mtu unashindwa kutatua matatizo ya madaktari,please RESIGN. hatutaki waziri au kiongozi mnafiki.:embarassed2: :embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 
Hivi huyu JK anashindwa nini kusurrender, hii nchi imemshindwa kabisa, this is too bad now, haya watakamata madaktari wote wawauwe waone kama watakuwa wametatua tatizo.
 
Back
Top Bottom