Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Hili litabakia kuwa doa kubwa katika historia ya nchi hii. CCM wanatakiwa wafanye maombi ya nguvu ili Dr Ulimboka apone haraka, lakini kama mambo yataharibika (God forbid) tunaweza kujikuta kama taifa tunaingia kwenye very ugly scene, na itakula vibaya kwa CCM.
 
Alafu mtaona yeye huyooo nje anaacha wapiga kura wanakufa kama kuku
 
inatisha hasa.plse madactari watakaomuhudumia watulie kwanza ili wapate diagnosis ambayo ni sahihi kwani kwa kipindi hiki waweza mis kitu kwa hasira.tunamuhitaji akiwa hai ili atuambie wamemfanya nini na ni akina nani?duh ni ngumu sana ila madaktari mnaompa matibabu afanyiwe vipimo vyote kwa umakini.kazi njema wakuu,tupo pamoja
 
kuna ushahidi gani kama ametekwa na serikali? mbona great thinkers tunakimbilia kuhukumu kabla ya uthibitisho wa kumjua aliyemteka? mm nadhani hiyo ni mbinu ya madokta kuupa attantion huu mgomo wao wa sasa hivi maana hauna attention kwenye media kama ile iliyotangulia!

You are so naive my friend, you don't have to be genius to see this, even STEVE WONDER can see government hand
all over the place.
 
Wakafunge na zile hospital zao za PRIVATE. Na kule PART TIME wasiende.

Pamoja na kwamba mnadai haki zenu jaribuni kuwafikiria na wengine hasa walalahoi ambao hawajui hata wafanye nini, waende wapi au wale nini leo! Mnadai haki kwa kupoteza roho zisizo na hatia???!!! Msiifanye migumu mioyo yenu, mwangalieni Mungu anayetoa uhai, jua na mvua bure kwa wote.

mavi yako
 
Madaktari hakuna kulegeza kamba hadi kisomeke...:A S-eek:
 
Serikali haina pesa...ila waiopewa dhamana ya serikali wana zidi kuyanufaisha mahitaji yao.....their time is not far ,,,wataumbuka kama kufanya deal na mhindi/mthungu wakati ukiwa na dhamana ya cheo... 300blns,1trilion....nimeipenda ile ya PB leo " Acha zije zitarudi tena huko huko"
 
Haya kikwete, na usalama wa taifa ccm, hivi sura yako utaificha wapi?
 
muone huyu nae...acha ujinga
Edson mambo hayaendi kwa kutukana wala kuleta dharau hoja hujibiwa kwa hoja....lete ushahidi hapa kama kweli polisi wamehusika na si viunginevyo...!! mbona unataka kulazimisha mambo hapa!
 
Ndio hali halisi. Niko hapa Muhimbili na madaktari, mageti yote ya Muhimbili yamefungwa na Wamesema LIWALO NA LIWE hakuna huduma yoyote inayotolewa, hakuna wagonjwa wala wahudumu wanaowahudumia wagonjwa KAULI YA PINDA na kitendo walichomfanyia OLIMBOKA vinaliangamiza taifa kutokana na UDHAIFU wa serikali ya Kipuuziii.

Mda mfupi uliopita jamaaa mmoja ambaye ni usalama wa taifa kapigwa alipokuwa anaripoti kwa walio mtuma kuangalia madaktari wamepokeaje hari ya Olimboka

Mtoa taarifa mbona ni km unaweweseka? Una uhakika na unachokisema? Tulia na utoe taarifa inayoeleweka.
 
Ndio hali halisi. Niko hapa Muhimbili na madaktari, mageti yote ya Muhimbili yamefungwa na Wamesema LIWALO NA LIWE hakuna huduma yoyote inayotolewa, hakuna wagonjwa wala wahudumu wanaowahudumia wagonjwa KAULI YA PINDA na kitendo walichomfanyia OLIMBOKA vinaliangamiza taifa kutokana na UDHAIFU wa serikali ya Kipuuziii.madaktari wa hospitali zingine wengi wako hapa ili kujua hali ya dr ulimboka inaendeleaje..
 
This is too much guys.Ni mtihani mwingine mkubwa kwa serikali ya CCM,tunasubiri tuone itakavyoshughulikia suala hili maana hapa wanaongeza mgogoro badala ya kutafuta suluhu.Na hili halitawatisha madaktari bali litaongeza hasira hata kwa wananchi.Lets wait and see.
 
Kiongozi mkuu wa nchi anasimama na dhamana aliyopewa na wananchi,na nafasi aliyopewa ya kutoa kauli,na sura yake mbaya anatamka "LIWALO NA LIWE!!!???"

hii inaonyesha ni kiasi gani viongozi wetu hawawezi kusimama kututetea watanzania, hyo ni kwa ma doctor,kesho kwa walimu atasema LIWALO NA LIWE,keshokutwa kwa askari LIWALO NA LIWE,kifupi kwa wananchi wote ni LIWALO NA LIWE, najiuliza hivi wanadhani hiyo serikali ni mali yao?

Kama walijijua wana akili na upeo mwembamba wa kufikiri kama wanavyojidhihirisha, walikimbilia madarakani kufanya nini? upole wetu na ujinga wetu wa Tz ndo umetufikisha hapa hadi viongozi wetu wanajiona miungu watu na kutoa kauli za hovyo pasipo kujali. na kudhihirisha ufinyu wa akili zao wanataka kumaliza mgogoro na madaktari wote nchini kwa kumuua daktari mmoja.

Na sisi wananchi tuseme LIWALO NA LIWE, tuone kama wao na familia zao watakuwa salama kwani sisi wananchi hatuko salama tena!
 
Edson mambo hayaendi kwa kutukana wala kuleta dharau hoja hujibiwa kwa hoja....lete ushahidi hapa kama kweli polisi wamehusika na si viunginevyo...!! mbona unataka kulazimisha mambo hapa!

Zanta hili swala liache kama lilivyo.....nimeshwambia ndugu yangu we soma na kufatilia mjadala usijifanye unajua kila kitu....
 
Last edited by a moderator:
Nalilia nchi yangu,namlilia Dr Ulimboka,hana kosa hakutumia bunduki kuongoza wenziwe kutoa kilio chao na cha wananchi wote wanaokosa huduma muhimu kwa sababu tuu serikali haiijali sekta ya afya eeh mungu tuepushe na hawa viongozi mumiani wanaotaka kuteketeza taifa letu
 
We ni Doctor ? unatuambia nini kuhusu watu waliokufa mapokezi kwa kukosa huduma katika mgomo uliopita? angekufa mama yako ungeelewa nnachoongea....Madaktari wengine hawana ubinadamu kabisa...mizimu ya wale watu itawafata hadi makuburini....vilaza wakubwa

Mkawachukue mahakimu, majaji mahakamani waje watibu watu
 
Wakafunge na zile hospital zao za PRIVATE. Na kule PART TIME wasiende.

Pamoja na kwamba mnadai haki zenu jaribuni kuwafikiria na wengine hasa walalahoi ambao hawajui hata wafanye nini, waende wapi au wale nini leo! Mnadai haki kwa kupoteza roho zisizo na hatia???!!! Msiifanye migumu mioyo yenu, mwangalieni Mungu anayetoa uhai, jua na mvua bure kwa wote.

hapo kwenye red nani awafikilie serikali au madaktari? Think twice
 
Back
Top Bottom