Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

hili jambo ni uvunjifu wa haki za binadamu wala halikubaliki katika jamii serekari imeona maji yako shingoni ikaamua kutuma majasusi naamini hivyo kwani hakuna mtu naye weza kufanya hivyo zaidi ya serekari iliyoko madarakani hawa watu wakamatwe, polisi walifika mida ya saa sita mchana mhimbili walikuwa wanatafuta nini wakati tuka usiku walikuwa wapi kufuatilia. Mgomo wa kumtibu doctor mwenzao haupo kwani tutahakikisha anapona kwa msaada wa mwenyezi mungu .

hivi ushabiki utakupeleka wapi?
ni watanzania wangapi wamekufa na wanaendelea kufa kwa unyama wa madaktari,kama kosa ni la serikali kwanini madaktari wawauwe kwakutowapitua huduma,
je hii ni haki ya binadamu?
au kupigwa ulimboka ndio uvunjif wa haki za binadam.
Ulimboka sasa anaona umihimu wa tiba na nafikiri anajiuliza"je nini mustakabali wa maisha yangu kama na mimi wangeniacha bila tiba?".
serikali isisite kumfikisha mahakamani dr Ulimboka kwa kusababisha mateso na vifo kwa wagonjwa lakini pia imsake aliempiga dr ulimboka na ashtakiwe kwakujichukulia sheria mkononi.
 
Mi naona hatutaki kufikiri,kwani jihuridhe we ndio serikali na umehamua kufanya hivy kiukweli ungemuacha mzima na kwanini ulihamua kufanya hvy!binafsi na imani na serikari naona wasihoipendea amani nch yetu ndio wanayafanya haya.
 
Mi naona hatutaki kufikiri,kwani jihuridhe we ndio serikali na umehamua kufanya hivy kiukweli ungemuacha mzima na kwanini ulihamua kufanya hvy!binafsi na imani na serikari naona wasihoipendea amani nch yetu ndio wanayafanya haya.
Mhhh, Kiswahili kigumu jamani siyo mchezo.
 
Picha nyingine ya Dr. Ulimboka

Dr. Uli.jpg
 
Wasiwasi unaniingia nafsini mwangu isijekuwa alionekana kuwasaliti wadaktari wenzake kama alivyofanya awali wakaamua (madaktari) kumshughurikia kwa kuona in msaliti. Kumbukeni mgomo wa awali, ulipamba moto na yeye baada ya kuitwa ikulu wakatangaza ya kuwa mgomo unasitishwa.
Si kwamba ninafurahia mgomo uendelee bali mazingira ya kusitisha mgomo ule wa mwanzo ulikuwa na sintofahamu nyingi. Let's wait and see!
 
Hii DAMU ndo itazidisha chuki kali kati ya serikali dhaifu na wananchi wake....itaongeza chuki na kuwapa nguvu zaidi,hari zaidi na kasi zaidi ya mgomo au kwenda kazini na kukaa tu km walimu wanasaini saa 4 wanakunywa chai then wanapiga story tu kisha hao majumbani...

Serikali haina jinsi ambavyo itakwepa mzigo huu imehusika kwa asilimia zote mpaka hao waliomnasa huyo askari na radio-call yake wangemshikiria na kumuwajibisha na angetoa ukweli pia wangempiga picha haraka na kumfatilia....

Lakini tutafika tu kwani serikali zote dhalimu uanza ivi na mwishowe huwafika yuwapi MUBARAKA NA WANAWE
 
Wanachama wa M4C walifanyiwaga hv hv na inaonekana hao waliomfanyia hivyo ulimboka ni wale wale watukio la kule mwanza..
 
mkono wa serikali ulikatika siku nyingi siku hizi unaishia kwenye kiwiko tu,hakuna ukweli zaidi ya huu unaojua wewe,

Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
 
Jamani Dr. Ulimboka amefanya nini? Ee MUNGU ? Serikali ya Kikwete unatupeleka wapi na unataka lini ??? Mbona wenye kuiba mapesa kuwekuwa Suiss Banki awafanyiwi hivyo?

Madoktari wanataka vifaa yakufanyia kazi yakuhudumia wana Tanzania kwakati wenyekuibia pesa za Watanzania nakuweka Banki ya Usuiss? Eeeeh Mungu wenye kufanya hivyo huyo Dr. Ulimboka MUNGU awadhibu kabisa na WALANIWE --- na KAMWE WASIPATE RAHA MOYONI MWAO ----- NA WAFEE KIFO YA HAIBU.

Eeeeh MUNGU msaidie Dr. ULIMBOKA, Doktari ya watu.
 
Hii post ya bwana Gimmy: naomba pia iwakilishe mawazo yangu:

Ni wakati wa Ulimboka kutafakari u nyeti wahuduma mahospitalini,
si furahishwi na alicho tendewa ulimboka ila pia sifurahishwi na maamuzi ya madkari akiwemo na Ulimboka kama kinara wa mgomo,
naamini dr ulimboka akipata nafuu anaweza hisi watanzania wanateseka kwa kiwango gani na migomo yenu,je kama wewe ungeachwa bila huduma nini ingekua hatma ya maisha yako?
lazma tuache ushabiki kwani watu wanaangamia kwa mgomo huu,
ni ajabu watu kuonesha huruma kwa ulimboka pekee ambae kimsingi hakuwahurumia wagonjwa wenye hali kama yake au mbaya zaidi ya hali alionayo sasa.
Madkatari tafuteni njia mbadala kuwabana serikali kwani mnatuua watanzania wenzenu bila hatia

Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

UPDATE:
Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!



Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.

attachment.php
attachment.php
attachment.php


attachment.php

PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!

 
Ulimboka nae hasipate huduma kwa siku tatu kama wenzie wasio madaktari wanavyokosa huduma na kuteseka kwa matendo yake ya kuwashawishi madr wagome na wananchi wakose huduma
 
Kama wana Akili zaUpumbavu wa Kugoma basi wana akili za kufanya Upumbavu mwingine wowote. Tusubiri yatakayojiri.

Inaelekea wewe ni mtoto wa fisadi ulisomea nje............. Wenzako kunji tulishazoea toka enzi zile!!
 
Back
Top Bottom