gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,312
- 3,345
hili jambo ni uvunjifu wa haki za binadamu wala halikubaliki katika jamii serekari imeona maji yako shingoni ikaamua kutuma majasusi naamini hivyo kwani hakuna mtu naye weza kufanya hivyo zaidi ya serekari iliyoko madarakani hawa watu wakamatwe, polisi walifika mida ya saa sita mchana mhimbili walikuwa wanatafuta nini wakati tuka usiku walikuwa wapi kufuatilia. Mgomo wa kumtibu doctor mwenzao haupo kwani tutahakikisha anapona kwa msaada wa mwenyezi mungu .
hivi ushabiki utakupeleka wapi?
ni watanzania wangapi wamekufa na wanaendelea kufa kwa unyama wa madaktari,kama kosa ni la serikali kwanini madaktari wawauwe kwakutowapitua huduma,
je hii ni haki ya binadamu?
au kupigwa ulimboka ndio uvunjif wa haki za binadam.
Ulimboka sasa anaona umihimu wa tiba na nafikiri anajiuliza"je nini mustakabali wa maisha yangu kama na mimi wangeniacha bila tiba?".
serikali isisite kumfikisha mahakamani dr Ulimboka kwa kusababisha mateso na vifo kwa wagonjwa lakini pia imsake aliempiga dr ulimboka na ashtakiwe kwakujichukulia sheria mkononi.
