789
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 262
- 203
Sitak kuamini kama na ww unamuamin yule limbukeni aliye kuja mjini na gali la nyanya mshamba uyo dengue wakuja afu anasumbua watu mjiniKishapelekwa jioniya Leo according to dengue homa ya jiji aichopost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitak kuamini kama na ww unamuamin yule limbukeni aliye kuja mjini na gali la nyanya mshamba uyo dengue wakuja afu anasumbua watu mjiniKishapelekwa jioniya Leo according to dengue homa ya jiji aichopost
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kabisa.Kuna shilole mwingine kafungua anatukana na hisi hata mastar wana fekero zao za kutukana watu wasio wapenda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unajua me Shida yangu kubwaaaaa n kuunga dots story ikamilike siamini yeyote hata kivuli changu hunikimbia Giza likiaanzaSitak kuamini kama na ww unamuamin yule limbukeni aliye kuja mjini na gali la nyanya mshamba uyo dengue wakuja afu anasumbua watu mjini
BAdo hujajua issue ilivyo yule nasikia kachomwa na wastara kwaiyo pale ni eneo LA tukio imean alipokamatiwaNdo nashangaa kajipa kazi ya upolice hivi huyo dogo likimpata baya siataubeba huo msala mwenyewe. Maana wamemrokodi sebuleni na pingu juu sijaona police pale.
Sasa wewe ni nani wakupangia Mimi cha Ku comment, wewe kujadili mada inatosha kabisa uko free kufanya hivo hunyimwi, hili ni jukwaa huru kabisa.Uzuri umetambua nipo out of ur content, kwa maana nyingine unataka kututoa nje ya mada, na ndio maana nilikushsuri ujadili mada iliyopo
Mange mnafiki huyu mbona huanza kutukana hata watu wasio husika watoto wazee wa watu hata kama hawajamkosea. Eti naye anashangaa matuc hayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unajua me Shida yangu kubwaaaaa n kuunga dots story ikamilike siamini yeyote hata kivuli changu hunikimbia Giza likiaanzaView attachment 436187
Imekanushwa s wastara Bali n shishi baby mwenyeweeeeBAdo hujajua issue ilivyo yule nasikia kachomwa na wastara kwaiyo pale ni eneo LA tukio imean alipokamatiwa
Team kkoo ktk ubora wako!Sasa wewe ni nani wakupangia Mimi cha Ku comment, wewe kujadili mada inatosha kabisa uko free kufanya hivo hunyimwi, hili ni jukwaa huru kabisa.
Hyo nimeiskia ila wameshirikiana na sallam ili kumpata huyo shilole. Mara wengine ni shishi ndo kamshitaki hata huyo mwenye matusi inaonyesha bado kijana sio mkubwa kivile hajui hata life linaendaje huyo.BAdo hujajua issue ilivyo yule nasikia kachomwa na wastara kwaiyo pale ni eneo LA tukio imean alipokamatiwa
Many muosha huoshwa it's just a matter of time tuMange mnafiki huyu mbona huanza kutukana hata watu wasio husika watoto wazee wa watu hata kama hawajamkosea. Eti naye anashangaa matuc hayo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unamuamini sana dengue eee??!?Imekanushwa s wastara Bali n shishi baby mwenyeweeee
Kwahyo mkuu wewe ni timu gani mana sina timu yoyote Mimi. Maana mnaojidai mnatimu hamna mbele wala nyuma mnategemea kutukana huko insta mpate followers ili mtangaze vijibiashara uchwaraTeam kkoo ktk ubora wako!
Twende tukaanzishe thread yetu mimi na wewe tusijaze vitu visivyohusiana na hii mada iliyoletwa maana tupo huru ati!!
Rejea post angu [emoji41] [emoji41][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unamuamini sana dengue eee??!?
Kwani yule anatukana au anasema ukweli kuhusu mambo fulani!Mange hana uraia Wa ki marekani.kwa maelezo yake mwenyewe.hataki kuchukua uraia wa huko kwani atapoteza Mali zake ( ardhi tanzania) mimi najiuliza huku kutukana watu hawachoki miaka nenda miaka rudi . mtu anaetukana Tukana ovyo ana frustration zake za maisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiku mwema!!Hizi team zitatuua jamani unamtukana diamond mwenzio ananunua nyumba South Africa unamtukana kiba ndo kwanza Sony wanamtafuta wampe mihela we unabaki "team simbaaaaaa" simba gani daily unakula makande!!!utaskia mwingine "team kingiiiiiii" unajiita King na hujawahi kuwa hata monita wa darasa shule ya msingi