Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Ndo maana mziki wetu hauendelei hivi wasanii wengi wakifanikiwa kuna shida, a focus na mtu wake tu mpanga riziki ni Mungu, tu Mara awe back stage sijui afatiliwe hichi sasa na kufatilia ya timu kiba na kuacha timu mond ina maana gani?
Nilitaka nikupe somo lakini naona akili yako ina matege, kwa kukupa wazo kidogo linganisha unachoandika na maudhui ya hii mada
 
Huu ndo umekuwa mwanzo...
Hata hao TM MOND wanaotukana wakamatwe tu.
Mtu unamtukana mpaka mama ake,, ndugu hadi jamaa zake wa karibu... Huu sio utu kabisa
wakamatwe tuu!wote wanaotukana!
awe timu ushuzi..timu kinyesi wotee!
 
Huku ndio kunaitwa SHILAWADU ? Samahani nimeuliza msije mkanitoa meno
 
Unafikiri wataliona hilo basi lkn ingekuwa mond maneno yangewatoka kama nn
Na walipomkamata hawakumpeleka police wamemshika Jana walipooona watumwanakwenda oysterbay ndio wakampeleka kituoni Leo jioni since Jana lad Leo wamemfanyaje huyo kijana sallam sk ameanza Na huyo amalizie Na kina duller marashi ya Pemba amehakiwa Ila nae anakichambo cha mwambao Na tumatusi ndani yake
 
Back
Top Bottom