Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Mi sipendi matuc yao mbaya hutukana viungo vya uzaziKwanza hiyo akaunt ya shilole official waliihack Toka Kwa shishi mwenyewe akaimiliki kabisaaaaaa ikawa matusi mwendo mdundo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sipendi matuc yao mbaya hutukana viungo vya uzaziKwanza hiyo akaunt ya shilole official waliihack Toka Kwa shishi mwenyewe akaimiliki kabisaaaaaa ikawa matusi mwendo mdundo
Hata wema ni chizi kulalwa na huyo kiuchafuCalisah n mtafta Kiki hajitambui
Ndio Shida ya kutojitambua ukiwa unajielewa kuna mambo unayasikia Kwa jirani Na kuyashangaaaMi sipendi matuc yao mbaya hutukana viungo vya uzazi
[emoji23] [emoji23] mange akidakwa najitoa instaNa anavotukana inaonesha waz maisha yake Na jinsi anaishi me ntafrahi akidakwa mange tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] napitiaga Kwa semausikikeoriginal nacheka sanaa
Daraja Na mwenyewe anajiona yuko sahihi shabashHata wema ni chizi kulalwa na huyo kiuchafu
mange mjanja yule yuko nje ya nchi!Hata wema ni chizi kulalwa na huyo kiuchafu
wanawake wenywe kina wema ndo wanampa kickNa anavotukana inaonesha waz maisha yake Na jinsi anaishi me ntafrahi akidakwa mange tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] napitiaga Kwa semausikikeoriginal nacheka sanaa
Calisah n mtafta Kiki hajitambui
Ndo maana mziki wetu hauendelei hivi wasanii wengi wakifanikiwa kuna shida, a focus na mtu wake tu mpanga riziki ni Mungu, tu Mara awe back stage sijui afatiliwe hichi sasa na kufatilia ya timu kiba na kuacha timu mond ina maana gani?nimegundua hilooo!!
Itakuwa na tekno alitumwa eeeh maana vya domo vyote fake...ila ingekuwa kiba ingekuwa fresh cyoMwanzoni walisema bifu zinaletwa na mashabiki kumbe waanzilishi ni wao halafu nimeng'amua sasa kwa nini tecno alimtaja diamond kwenye fiesta
Atarudi kugombea ubunge alisema[emoji23] [emoji23] [emoji23] kashafulia yulee
mange mjanja yule yuko nje ya nchi!
wanawake wenywe kina wema ndo wanampa kick
hivi wema alianzaje labda aisehhh!
Itakuwa na tekno alitumwa eeeh maana vya domo vyote fake...ila ingekuwa poa ingekuwa fresh cyoMwanzoni walisema bifu zinaletwa na mashabiki kumbe waanzilishi ni wao halafu nimeng'amua sasa kwa nini tecno alimtaja diamond kwenye fiesta
Wema afulie Mara ngapi wahongaji wamemkimbia wote chezeiya mashauzi ya kumnunulia mbwa vinguo million tano sasa hivi anatumia Bajaji. Nikikumbuka alivomgomeaga dai zawadi ya ile gari[emoji23] [emoji23] [emoji23] kashafulia yulee
mange mjanja yule yuko nje ya nchi!
wanawake wenywe kina wema ndo wanampa kick
hivi wema alianzaje labda aisehhh!
nimedharau rasm Leo huyo salaam,sijui habari gani!!!!Ndo maana mziki wetu hauendelei hivi wasanii wengi wakifanikiwa kuna shida, a focus na mtu wake tu mpanga riziki ni Mungu, tu Mara awe back stage sijui afatiliwe hichi sasa na kufatilia ya timu kiba na kuacha timu mond ina maana gani?
Atajileta kugombea ubunge2020 alisema me sipendi anavyodhalilisha wazazi wa wenzie[emoji23] [emoji23] mange akidakwa najitoa insta
Wema afulie Mara ngapi wahongaji wamemkimbia wote chezeiya mashauzi ya kumnunulia mbwa vinguo million tano sasa hivi anatumia Bajaji. Nikikumbuka alivomgomeaga dai zawadi ya ile gari
Sio uteammkuu unataka na serikali ifanye mambo kwa kuzingatia uteam.
majungu at work...!unamjua duller square...?!
zarinah soldier...?
zarimond platinum?!!
coffee table...?!!
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] double std...
kumbe wewe ni team Fulani!!
siungi mkono matusi!
Apunguze chuki naye dai kafanikiwa sasa kinacho mfanya ahangaike na kiba ni nin? Mara ommy dimpoz Mara kilenimedharau rasm Leo huyo salaam,sijui habari gani!!!!
Mange atadakwa tu vzuri tu na this time asahau kutokaAtajileta kugombea ubunge2020 alisema me sipendi anavyodhalilisha wazazi wa wenzie