Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Rai yangu kwa vijana wa Dsm hebu rudisheni heshima ya WANAUME kwa maana ya kufanya kazi na kuachana na too much talks and nonsense zisizo na Tija kwa Taifa hasa kwa ujumla.
Mimi sioni haja ya kupamabana na ******** kwa maana ya kusema eti au kuiatana polisi kufungua kesi za matusi au kashfa.

Kesi zina gharama zake ikiwemo fedha,muda ambao ni ghali sana wekeni concentration kwenye mambo ya msingi na yenye Tija kwa Taifa hasa.
Simtetei mualifu yeyote yule endapo itathibitika kisheria kuwa ni mualifu, mimi simfahamu huyo dogo na hata sipo kwenye mitaondao mingine ya Kijamii isiyo na Tija au kuwa na nonsense chats.
Vijana wa Dsm mmekuwa kwenye kundi la waongeaji sana bila vitendo hadi inatia aibu....na maongezi yenu mengi ni mambo ya ajabu,si wahukumu kwa hili au sina maana ya vijana wote mlivyo ila ni wengi wenu na mmepitiliza.
Kwa mkoa ninaotoka wanaume hatuzungumzi ovyo na sana zaidi ya vitendo...hebu badilikeni kutunza heshi ya Mungu aliyotupa sisi wanaume.
Andiko langu ni baada ya kusoma posts zenu na kushabikia mambo yasiyo na msingi eti mtu utoke Mfano Mkoani uje umfungulie mtu kesi na hata kama upo Dsm lazima ufanye consideration ya TOTAL COST TO FILE A CASE AS LONG NO CASE WITHOUT COST.
PLEASE DSM GUYS CHANGE VERY ASAP TO RESTORE MAN POWER & RESPECT, WAACHIA MAMLAKA HUSIKA MSIPOTEZA WAKATI.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanzo alikua anamfollow umeona eehhh...?!
so means anatetea matusi ya kina duller...?!!
WTF....!!!!
Ila wapuuzi hapa watatetea hayo..

duller anamuita daimond mmewe..![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...!!
yetu macho sie wambea!
Ukiwa shabiki ni vigumu sana kung'amua mambo maana ata lile linalosaidia jamii utalipuuza nakuoan kama halina maana
 
Kamu unfollow Leo hii sasa ka huyo shilole alikua na matusi makubwa mno kupita kiasi, hafu ukimuona ni mtoto tu, huyo duller square hata T-shirt ya kuvaa tu anakosa kajichokea mwenyewe. Mi napenda wakamatwe wote hafu kuwadaka ni kuwahadaa tu
hahaaa.....!umeona eehh!means wanasapoti ujinga wao wote..!

nasema wakamatwe wote na waache unafiki!
Kama huyu duller square weka mbali na watoto mkuu[emoji20] tusi moja tu unazimia [emoji33] akikupiga la pili unarest in peace[emoji125]
acha kabisa tena anasema yy ni Mke wa diamond!
Hua sipendagi mnoo matusi kwa kweli nachukia sana!na wenye matusi hua siwafolo!
 
hapo ndo ukiyaka kujua salaam SK alikua na beef zake

yasemekana wanamlazimisha aseme kua alikua analipwa na kiba ili amharibie jina..

kuna watu wana roho mbaya katuzo kamtv kamoja tu fitna zimeanza angepata NNE ...je?

sasa hapa ndo nimeamini kweli sallaaam ni mtu wa figisufigisu!
Hivi Yale matusi yangekuwa yameelekezwa Kwako na family yako ungetetea ujinga huu?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] upo..kaka...!!
Nipo dada yangu yaani hizi teknolojia hizi kuna mambo yananifanya nikumbuke posta na simu zile za kidungu nyeusi hizi unazunguusha namba dah ilikuwa ndio mawasiliano hayo mtaa mzima unakuta nyumba moja ndio ina huduma hiyo.
Sasa siku hizi pana faida kuwa na hii huduma ila matakataka pia mengi kama haya ya kina nyonga sijui kiuno kisha mtoto wa kiume anaporomosha maneno mazito kama hivi.
 
hahaaa.....!umeona eehh!means wanasapoti ujinga wao wote..!

nasema wakamatwe wote na waache unafiki!

acha kabisa tena anasema yy ni Mke wa diamond!
Hua sipendagi mnoo matusi kwa kweli nachukia sana!na wenye matusi hua siwafolo!
Wakamatwe kwa kweli watu wenyewe hawana mbele wala nyuma huo mda wangefanya kazi wangekuwa mbali
 
Hivi Yale matusi yangekuwa yameelekezwa Kwako na family yako ungetetea ujinga huu?
Sitetei ujinga kwanza wenye matusi siwafollow ht kidogo!

Ila Huyo salaam sijui mdudu gani...angwashtaki kwanza walivyokua wanamtukana ESMA na Mama diamond Siku chache zilizopita...!!

Wafungwe tuu!

Ila waache unafki!!au wale kwa kua walimtukana mama diamond,ESMA na Hamisaa?!!
 
aiseehhh!!hivi haya matusi wanayatoa wapi?!!
Hata najua
1479497182128.png
 
Back
Top Bottom