Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Bado shoga mmoja anajiita team sepetu jina james delicious anamatusi balaa huyu kiumbe[emoji13] [emoji13]
 
Mkuu ni sawa unalolisema ila Alikiba mimi nahisi anayapenda haya mambo ya ubishi ubishi...mbona walivyoenda kumtukana Wizkid kwa page yake Alikiba aliwakataza mashabiki na kweli hawakuendelea tena kumtusi?!

Kinachofanya watu tuunganishe Dot ni kwamba alikiba anafahamiana nao hawa watu vizuri sana,na picha anapiga nao...

Siwezi kusema yote kwasababu kesi ipo kwenye vyombo vya sheria tuwaachie wao..
 
Duh huyu dogo alikua na mitusi bora amekamatwa, bado yule wa upande wa pili duller square
 
Kinachonisikitisha ni huyu dogo kuishia jela na umri huo, kisa tu kalipwa kutukana wenzake. What a shame!
 
Mtu akutukane wew mwenyew sio kutukana wazazi hapo uzalendo utaisha tu
 
niambia baba la baba naona kijana wako kawa mpole
 
Nimesoma post yake ya kuhusu perfume ya Chibu daaah, huyu dogo ana laana kwa kweli. Maana kwa akili za kawaida huwezi kutukana namna hiyo.
Yaani ana matatizo si kidogo... mi nilikuwa simfahamu kabisa lakini nilipotembelea hiyo a/c, duh!
 
Wengi wanatukana ili wapate followers............

(Ina maana watz wanapenda matusi na vichambo)

Kisha waanze matangazo

Sidhani kama wana uhusiano na wasanii...

Maana kama huyo kijana page yake kaandika yeye ni teamwema.....ila amemtukana matusi mazito ya nguo ya ndani kabisa
 
Acheni kutudanganya please,haya mambo tunafuatilia kwa undani,wewe mleta uzi ndo unatakiwa kukamatwa kwa kudanganya uma![emoji116] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 

Attachments

  • 1479480810062.jpg
    68.6 KB · Views: 41
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…