Kiongozi wa Wagner, Prigozhin mbona hajafika Belarus

Kiongozi wa Wagner, Prigozhin mbona hajafika Belarus

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kukiwa kumebaki kilomita 200 tu msafara wa vifaru vya uasi wa Wagner mara ulisitishwa na kutolewa tangazo kuwa kiongozi wa uasi huo, Prigozhin amesitisha uasi huo na kuwataka askari wake warudi makambini mwao.
Pamoja na hivyo ikatangazwa kuwa kaika makubaliono ya Urusi na kiongozi huyo yaliyosimamiwa na kiongozi wa Belarus ni kuwa Prigozhin angehamishiwa na amekubali kwenda huko.

1687712608390.png
Rais wa Erdogan alikuwa amempigia simu awali Rais mwenzake wa Urusi muda uasi huo ulikuwa umeshika kasi kuwa atumie akili yake vizuri katika mzozo huo.Vile vile wakati msafara wa uasi ukikaribia Moscow vikosi vya askari wa Chechen walikwisha pelekwa pembezoni mwa Moscow tayari kwa mapambano na askari wa Wagner.

Pamoja na yote hayo imeelezwa kuwa tangu tamko la usitishwaji wa uasi huo na makubaliano yake kutangazwa hakujaonekana dalili yoyote ya Prigozhin kuingia Belarus na wala kupata matamshi yake anayotoa mara kwa mara kupitia ukurusa wake wa Telegram.
 

Attachments

  • 1687712607892.png
    1687712607892.png
    168.7 KB · Views: 6
Kukiwa kumebaki kilomita 200 tu msafara wa vifaru vya uasi wa Wagner mara ulisitishwa na kutolewa tangazo kuwa kiongozi wa uasi huo,Prigozhin amesitisha uasi huo na kuwataka askari wake warudi makambini mwao.
Pamoja na hivyo ikatangazwa kuwa kaika makubaliono ya Urusi na kiongozi huyo yaliyosimamiwa na kiongozi wa Belarus ni kuwa Prigozhin angehamishiwa na amekubali kwenda huko,
Rais wa Uturuki ,Erdogan alikuwa amempigia simu awali raisi mwenzake wa Urusi muda uasi huo ulikuwa umeshika kasi kuwa atumie akili yake vizuri katika mzozo huo.Vile vile wakati msafara wa uasi ukikaribia Moscow vikosi vya askari wa Chechen walikwisha pelekwa pembezoni pa Moscow tayari kwa mapambano na askari wa Wagner.
Pamoja na yote hayo imeelezwa kuwa tangu tamko la usitishwaji wa uasi huo na makubaliano yake kutangazwa hakujaonekana dalili yoyote ya Prigozhin kuingia Belarus na wala kupata matamshi yake anayotoa mara kwa mara kupitia ukurusa wake wa Telegram.
Pamoja na yote hayo imeelezwa kuwa tangu tamko la usitishwaji wa uasi huo na makubaliano yake kutangazwa hakujaonekana dalili yoyote ya Prigozhin kuingia Belarus na wala kupata matamshi yake anayotoa mara kwa mara kupitia ukurusa wake wa Telegram.[emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukiwa kumebaki kilomita 200 tu msafara wa vifaru vya uasi wa Wagner mara ulisitishwa na kutolewa tangazo kuwa kiongozi wa uasi huo,Prigozhin amesitisha uasi huo na kuwataka askari wake warudi makambini mwao.
Pamoja na hivyo ikatangazwa kuwa kaika makubaliono ya Urusi na kiongozi huyo yaliyosimamiwa na kiongozi wa Belarus ni kuwa Prigozhin angehamishiwa na amekubali kwenda huko,
Rais wa Uturuki ,Erdogan alikuwa amempigia simu awali raisi mwenzake wa Urusi muda uasi huo ulikuwa umeshika kasi kuwa atumie akili yake vizuri katika mzozo huo.Vile vile wakati msafara wa uasi ukikaribia Moscow vikosi vya askari wa Chechen walikwisha pelekwa pembezoni pa Moscow tayari kwa mapambano na askari wa Wagner.
Pamoja na yote hayo imeelezwa kuwa tangu tamko la usitishwaji wa uasi huo na makubaliano yake kutangazwa hakujaonekana dalili yoyote ya Prigozhin kuingia Belarus na wala kupata matamshi yake anayotoa mara kwa mara kupitia ukurusa wake wa Telegram.
Hakuna uasi hapo hiyo ilikuwa mbinu ya kivita kumzuga adui,utasubiri sana

Plan ilikuwa Wagner wafike upande wa Belarus bila kushambuliwa na Ukraine,kazi inaanza upya mazee
 
Hakuna uasi hapo hiyo ilikuwa mbinu ya kivita kumzuga adui,utasubiri sana

Plan ilikuwa Wagner wafike upande wa Belarus bila kushambuliwa na Ukraine,kazi inaanza upya mazee
alikwenda peke yake au na jeshi lake
 
Putin ni bingwa wa mchezo wa CHESS!! Iko hivi:
1. Mkuu wa Wagnar group anawaandaa watu waamini kuwa yeye yuko kinyume na jeshi la urusi!!
2. Baada ya kujiridhisha kuwa maadui wameshaingia mkenge anaelekezwa atoe ishara ya kuanza uasi.
3. Hapo mkuu wa Waner group anadai majeshi ya urusi yameshabulia kambi ya wapiganaji wake kwa mizinga!!
4. Anatangaza hadharani (siyo kwasiri) kuwa askari wake walio watiifu kwake wavuke mpaka toka ukraine na kuingia Urusi kwenda "kujitendea haki kwa kushambuliwa"
5. Anatangaza kuwa askari 25,000 wakiwa na vifaru na magari ya kivita wanaelekea makao makuu ya jeshi la urusi kwa kanda ya kusini.
6. Askari hao wanavuka mpaka unaolindwa vilivyo na majeshi ya urusi bila kuzuiwa!! Wanaingia kambi ya jeshi la urusi na kuiteka bila kuzuiwa!!., wanauteka huo mji bila kufyatua hata risasi moja!!
7. Wanaanza msafara wa kwenda kuteka Moscow wakiwa kwenye magari ya kivita bila kuzuiwa na majeshi ya urusi!!

Watu hawashtuki tu kuwa huu ni mchezo wa kuigiza!! Urusi ninayoijua mimi inayounguza vifaru hatari vya NATO leo vifaru vyta waasi vinajitembelea tu kuelekea Moscow!!
.8. Ghafla picha linabadilika!! Zimebaki kilomita 200 waingie Moscow eti wanabadili mawazo baada ya kushauriwa!! na Mashitaka ya uhaini yanafutwa!! Kirahisi hivyo!! Unamjua PUTIN kweli!! Unaijua Urusi kweli!!

Ukraine wakaingia mkenge!! Walikuwa wamesitisha mashambulizi yao makubwa wakaona huu ndio muda mzur maana maadui wao wanapambana wao kwa wao!! Wakaingia kichwa kichwa na kilichowatokea hawatakaa waqkisahau!!

Kiev’s forces have repeatedly attacked Russian positions across the frontline in the past 24 hours, sustaining heavy casualties in process, the Russian Defense Ministry said on Sunday. The Ukrainian forces lost more than 800 soldiers during that period, as well as multiple pieces of military hardware, it added.

The Donbass city of Artyomovsk (known in Ukraine as Bakhmut) and its immediate vicinity have seen the most intense fighting, with ten attacks repelled in the area. The Ukrainian forces lost up to 430 troops there, as well as 11 infantry fighting vehicles, multiple cars, and an artillery piece, the Defense Ministry said in its daily briefing.

The Russian military also said it had destroyed a major ammunition stockpile near the contested town of Avdeyevka in the Donetsk People’s Republic (DPR), which saw a further four attacks repelled.

Chambo imelipa!!
 
Labda kaanguka kutoka dirishani au kapata ajali ya kunywa chai ya polonium.
 
Putin ni bingwa wa mchezo wa CHESS!! Iko hivi:
1. Mkuu wa Wagnar group anawaandaa watu waamini kuwa yeye yuko kinyume na jeshi la urusi!!
2. Baada ya kujiridhisha kuwa maadui wameshaingia mkenge anaelekezwa atoe ishara ya kuanza uasi.
3. Hapo mkuu wa Waner group anadai majeshi ya urusi yameshabulia kambi ya wapiganaji wake kwa mizinga!!
4. Anatangaza hadharani (siyo kwasiri) kuwa askari wake walio watiifu kwake wavuke mpaka toka ukraine na kuingia Urusi kwenda "kujitendea haki kwa kushambuliwa"
5. Anatangaza kuwa askari 25,000 wakiwa na vifaru na magari ya kivita wanaelekea makao makuu ya jeshi la urusi kwa kanda ya kusini.
6. Askari hao wanavuka mpaka unaolindwa vilivyo na majeshi ya urusi bila kuzuiwa!! Wanaingia kambi ya jeshi la urusi na kuiteka bila kuzuiwa!!., wanauteka huo mji bila kufyatua hata risasi moja!!
7. Wanaanza msafara wa kwenda kuteka Moscow wakiwa kwenye magari ya kivita bila kuzuiwa na majeshi ya urusi!!

Watu hawashtuki tu kuwa huu ni mchezo wa kuigiza!! Urusi ninayoijua mimi inayounguza vifaru hatari vya NATO leo vifaru vyta waasi vinajitembelea tu kuelekea Moscow!!
.8. Ghafla picha linabadilika!! Zimebaki kilomita 200 waingie Moscow eti wanabadili mawazo baada ya kushauriwa!! na Mashitaka ya uhaini yanafutwa!! Kirahisi hivyo!! Unamjua PUTIN kweli!! Unaijua Urusi kweli!!

Ukraine wakaingia mkenge!! Walikuwa wamesitisha mashambulizi yao makubwa wakaona huu ndio muda mzur maana maadui wao wanapambana wao kwa wao!! Wakaingia kichwa kichwa na kilichowatokea hawatakaa waqkisahau!!

Kiev’s forces have repeatedly attacked Russian positions across the frontline in the past 24 hours, sustaining heavy casualties in process, the Russian Defense Ministry said on Sunday. The Ukrainian forces lost more than 800 soldiers during that period, as well as multiple pieces of military hardware, it added.

The Donbass city of Artyomovsk (known in Ukraine as Bakhmut) and its immediate vicinity have seen the most intense fighting, with ten attacks repelled in the area. The Ukrainian forces lost up to 430 troops there, as well as 11 infantry fighting vehicles, multiple cars, and an artillery piece, the Defense Ministry said in its daily briefing.

The Russian military also said it had destroyed a major ammunition stockpile near the contested town of Avdeyevka in the Donetsk People’s Republic (DPR), which saw a further four attacks repelled.

Chambo imelipa!!
Maelezo yako yanaingila akilini hasa tunapofikiria visa vya Prigozhin hatua za mwisho za kutekwa Bakhmut yote.Ilionekana Wagner wamekata tamaa na wana ugomvi na jeshi ambao haukuwa ma dalili za kutatuliwa.
Ghafla kiongozi huyo wa Wagner akatangaza hana tatizo tena na jeshi la Urusi na kwamba tayari alikwishapata silaha za kutosha.Siku chache baadae askari wote wa Ukraine wakaishiwa na propaganda na raisi wao aliyekuwa kwenye mkutano wa G7 akapata kigugumizi kukubali kuwa Bakhmut aliyoahidi itakuwa ndio ishara ya ushindi wa Ukraine kwa Urusi imemtoka mikononi.
 
Kama kweli jamaa alifanya uasi, kweli ni hatari kumruhusu mtu awe na kikosi binafsi kinacho recruit mtu yeyote haijalishi ni criminal au si raia. Jamaa masikio yamezidi kichwa hata kama kakubali kurudi nyuma ila ni danger in the long run. Kwanza kafanya jambo ambalo hakuna ambaye amaewahi kufanya halafu hajachukuliwa hatua kama ambavyo Putun alikuwa kaahidi kuwa walioasi kila.mmoja atashughulikiwa ipasavyo, hii inamfanya watu wamwone Putin kama anamuogopa jamaa.
Ila ngoja tusubiri tuone.
 
Binafsi nasubiri mwisho wa vita. Uchambuzi wa hivi vita una utata kwa sababu umejawa na ushabiki. Warusi wa Tanzania wanavutia kwao, Waukrain wa Tanzania pia wanavutia kwao. Basi imekuwa uchambuzi haueleweki kwakweli!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Yuko Minsk hotel amerelax, kwa taarifa za hivi punde. Anajiandaa kusign mkataba wa kampuni yake kulinda Nukes huko. Pia kuna mbabe mmoja amejitangazz kurithi mikoba yake hapo wagner ili kupunguza taharuki.
 
Kuzijua Geopolitics na hasa Russia related inahutaji utulivu sana
Kweli kabisa. Huenda ulikuwa mkakati wa kijeshi ili kupima upepo wa Ukraine na NATO maana naskia walishangilia sn. Haingiii akili kikosi kilichopo chini ya Urusi tena ktk ardhi hiyo hiyo kiasi kwa style ile. Hivi kwa akili ya kawaida tu Urusi inaweza kuangushwa kweli na kikundi kidogo km hicho
 
Back
Top Bottom