Kiongozi wetu akiwa na Marais wenzake wa Afrika anamsifia hayati Magufuli ila akiwa na mabeberu anamnanga na kumponda

Kiongozi wetu akiwa na Marais wenzake wa Afrika anamsifia hayati Magufuli ila akiwa na mabeberu anamnanga na kumponda

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae...
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.

Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae...
Tuzo aliyopewa inahusiana na mambo gani yaliyofanyika hapa nchini? Tukielewa dhima ya hiyo tuzo tutajua kwanini Rais SSH alitoa kauli hiyo huko Ghana.
 
tuzo aliyopewa ni ya makufuli yeye kapokea kwa niaba tu. cha ajabu tv zetu zina sema kupokea kwa tuzo hiyo ya makufuli yeye pia alishiriki kufanikisha mafanikio hayo kwa sababu alikuwa makamu wa rais.

Kama ni hivyo tv zetu ziseme wazi kashfa anayopewa makufuli na kina zito na nape na mkaguzi wa mahesabu kwa makufuli na mama naye anashiriki kwa kashfa hiyo. sio kwenye tuzo mama yupo pamoja na jpm kwenye kashfa ni makufuli pekee hii ni dhambi kubwa sana
 
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa (uchaguzi kurudiwa) ikabidi SSH aendelee naye.

Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
Huna unalolijua, Katiba ipi inasema Makamu wa Rais akijiuzulu kunafanyika uchaguzi mpya? Inaonekana wakati taifa linampoteza Dr Ali Juma ulikuwa haujazaliwa.
 
tuzo aliyopewa ni ya makufuli yeye kapokea kwa niaba tu. cha ajabu tv zetu zina sema kupokea kwa tuzo hiyo ya makufuli yeye pia alishiriki kufanikisha mafanikio hayo kwa sababu alikuwa makamu wa rais. kama ni hivyo tv zetu ziseme wazi kashfa anayopewa makufuli na kina zito na nape na mkaguzi wa mahesabu kwa makufuli na mama naye anashiriki kwa kashfa hiyo. sio kwenye tuzo mama yupo pamoja na jpm kwenye kashfa ni makufuli pekee hii ni dhambi kubwa sana
Ccm hakuna muadilifu, wote ni majizi na wanalindana kwa gharama zote hasa hasa awamu hii.
 
Huna unalolijua, Katiba ipi inasema Makamu wa Rais akijiuzulu kunafanyika uchaguzi mpya? Inaonekana wakati taifa linampoteza Dr Ali Juma ulikuwa haujazaliwa.
All in all hata kama nimekosea kuhusu uchaguzi kurudiwa ukweli unabaki palepale. Kwa taarifa yako wakati Omar anafariki nilikuwa nina umri more than 30 years. Ukweli ni kuwa SSH alipata ugumu sana kufanya kazi na JPM na ni kweli JPM alistahili hiyo tuzo. Lete jingine.
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae...
anasema kweli sio mnafiki,pa kumsifu anamsifu,pa kumkisoa anamkosoa
 
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye...
Wanampinga SSH wanaonekana wengi n CCM vipi 2025
 
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.

Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
Ni lini alitaka kujiuzulu? ….au ndo sababu ya kumwondoa yule.!

Kama ni ugumu mbona makamu wa sasa kafanywa kinyago tu.
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Wengi wanajua ukweli JPM alichofanya Tanzania, alikuwa Kama role model wa Africa, hawezi kumunanga mbele ya sanamu ya kwame nkuruma, atamunanga mbele ya mabeberu waiba rasilimali zetu hili apate kamusaada.
 
Back
Top Bottom