bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Alimuongea kwa aliyoyafanya mabaya, na kamsifia kwa mazuri piabasi ni dini ya wajinga.
kama anapondwa tu jukwaa moja,kisha anasifiwa tu jukwaa jingine kwanini uislam usiwe uzombie!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimuongea kwa aliyoyafanya mabaya, na kamsifia kwa mazuri piabasi ni dini ya wajinga.
kama anapondwa tu jukwaa moja,kisha anasifiwa tu jukwaa jingine kwanini uislam usiwe uzombie!!!!
Umeanza chuki zako za kihafidhina...Ni tuzo ya TANZANIA, sio ya Magufuli.
..Tutangulize maslahi ya nchi badala ya kutukuza watu.
Huu ni UONGO NA POROJO ZA KUNYWEA GAHAWA. MUWE MNATUMUA AKILI ZA KUAMBIWA UNACHANGANYA NA ZA KWAKO.Kama hukuwahi kufahamu kaa kimya
Uislamu unahusika vipi na taratibu za maisha ya Kila siku,acheni kuwa watumwa.Kamsifia anapostahili ,alipoharibu alipondwa
Huo ndo uisilamu unafiki mwiko
Samia mnafiki, halafu mjinga.Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Aliwahi kukuambia kuwa anataka kujiuzulu?Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.
Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
Kwanini hayo mazuri hakuyataja huko ughaibuni? Mnafiki ni mnafiki tuAlimuongea kwa aliyoyafanya mabaya, na kamsifia kwa mazuri pia
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.
Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
Still Magufuli remains to be a mediocre leader, we had him as our president by sheer accident. Without devine intervention our lovely Tanzania would have plunged to economic crisis. The ruthless dictator wasn't open to adviseTulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
uislam unaruhusu kumsema marehemu??Alimuongea kwa aliyoyafanya mabaya, na kamsifia kwa mazuri pia
Huku Afrika kumejaa viongozi wengi washenzi kama dhalimu, hivyo inabidi awaambie wanachotaka kusikia. Akiwa kwa wazungu ni lazima aseme ukweli maana wale hawa muda wa kuendekeza uongo.Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Hawa wazungu waliomuua mzakendo Patrice Lumumba sio waongo? Habari ya ushenzi unauzua wewe kwa chuki zako.Huku Afrika kumejaa viongozi wengi washenzi kama dhalimu, hivyo inabidi awaambie wanachotaka kusikia. Akiwa kwa wazungu ni lazima aseme ukweli maana wale hawa muda wa kuendekeza uongo.
Hawa wazungu waliomuua mzakendo Patrice Lumumba sio waongo? Habari ya ushenzi unauzua wewe kwa chuki zako.
Naona amefuta hapo kwenye mabano [emoji23][emoji23][emoji23] (hiyo ya uchaguzi kurudiwa)... Shikamoo internet [emoji119][emoji119][emoji119]Huna unalolijua, Katiba ipi inasema Makamu wa Rais akijiuzulu kunafanyika uchaguzi mpya? Inaonekana wakati taifa linampoteza Dr Ali Juma ulikuwa haujazaliwa.
Una chuki sana na Rais Samia,utakufa bure Kwa kihoro Magufuli amekufa na hatafufuka, wacha maisha yasonge mbeleTulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Ashukuriwe Mungu kulifuta hili dubwana kwenye uso wa duniaStill Magufuli remains to be a mediocre leader, we had him as our president by sheer accident. Without devine intervention our lovely Tanzania would have plunged to economic crisis. The ruthless dictator wasn't open to advise
Kama wewe peke yako ukimtilia mashaka na kutomuhamini bado mamia ya watanzania wanamkubali kwa kile anachokifanya ..VIVA SAMIA..Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.