Kiongozi wetu akiwa na Marais wenzake wa Afrika anamsifia hayati Magufuli ila akiwa na mabeberu anamnanga na kumponda

Kiongozi wetu akiwa na Marais wenzake wa Afrika anamsifia hayati Magufuli ila akiwa na mabeberu anamnanga na kumponda

penye ukweli unafki hujitenga
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Samia mnafiki, halafu mjinga.

And I don't even like Magufuli.
 
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.

Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
Aliwahi kukuambia kuwa anataka kujiuzulu?
 
Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.

Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.

Mkuu ni katiba ipi hiyo ya kufanya uchaguzi mpya makamo wa Rais akijiuzulu?
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Still Magufuli remains to be a mediocre leader, we had him as our president by sheer accident. Without devine intervention our lovely Tanzania would have plunged to economic crisis. The ruthless dictator wasn't open to advise
 
Weka video ya Mama kumnanga mwenda zako.. kama hauna we ni Mzushi tu tembeeeeeea
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Huku Afrika kumejaa viongozi wengi washenzi kama dhalimu, hivyo inabidi awaambie wanachotaka kusikia. Akiwa kwa wazungu ni lazima aseme ukweli maana wale hawa muda wa kuendekeza uongo.
 
Huku Afrika kumejaa viongozi wengi washenzi kama dhalimu, hivyo inabidi awaambie wanachotaka kusikia. Akiwa kwa wazungu ni lazima aseme ukweli maana wale hawa muda wa kuendekeza uongo.
Hawa wazungu waliomuua mzakendo Patrice Lumumba sio waongo? Habari ya ushenzi unauzua wewe kwa chuki zako.
 
Hawa wazungu waliomuua mzakendo Patrice Lumumba sio waongo? Habari ya ushenzi unauzua wewe kwa chuki zako.

Kwani viongozi wa kiafrika ikiwemo dhalimu wameua waafrika wenzao wangapi, mpaka uone hatari Lumumba kuuliwa na wazungu?
 
Huna unalolijua, Katiba ipi inasema Makamu wa Rais akijiuzulu kunafanyika uchaguzi mpya? Inaonekana wakati taifa linampoteza Dr Ali Juma ulikuwa haujazaliwa.
Naona amefuta hapo kwenye mabano [emoji23][emoji23][emoji23] (hiyo ya uchaguzi kurudiwa)... Shikamoo internet [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Una chuki sana na Rais Samia,utakufa bure Kwa kihoro Magufuli amekufa na hatafufuka, wacha maisha yasonge mbele
 
Still Magufuli remains to be a mediocre leader, we had him as our president by sheer accident. Without devine intervention our lovely Tanzania would have plunged to economic crisis. The ruthless dictator wasn't open to advise
Ashukuriwe Mungu kulifuta hili dubwana kwenye uso wa dunia
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Kama wewe peke yako ukimtilia mashaka na kutomuhamini bado mamia ya watanzania wanamkubali kwa kile anachokifanya ..VIVA SAMIA..
 
Back
Top Bottom