ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habari zenu wadau,
Gari yangu baada ya kutoka kwa fundi maiko nimegundua kwamba nikipandisha kioo cha upande wa dereva kikifika juu hujishusha kama robo hivi. mpaka ufanye timing ya kupandisha kidogo jidogo.
Nilipomrudia kanipa stori nyingii ikiwamo gari kupoteza kumbukumbu. akanihakikishia nitumie tu kitakua sawa. leo ninavyoandika ni mwezi sasa shida iko pale pale.
Yaani ukipandisha kinapanda mpaka mwisho then kinajishusha kidogo.
Tatizo huenda likawa nini tafadhali?
Gari yangu baada ya kutoka kwa fundi maiko nimegundua kwamba nikipandisha kioo cha upande wa dereva kikifika juu hujishusha kama robo hivi. mpaka ufanye timing ya kupandisha kidogo jidogo.
Nilipomrudia kanipa stori nyingii ikiwamo gari kupoteza kumbukumbu. akanihakikishia nitumie tu kitakua sawa. leo ninavyoandika ni mwezi sasa shida iko pale pale.
Yaani ukipandisha kinapanda mpaka mwisho then kinajishusha kidogo.
Tatizo huenda likawa nini tafadhali?