GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwambieni kama akitaka kufanya Utafiti wa mwana Simba SC gani ANAMCHUKIA/ HAMPENDI kwa Upuuzi wake anaotufanyia kwa Kutumika na Maadui zetu Wakubwa mwambieni Mimi GENTAMYCINE ni Mmoja wao na tena naweza hata kuwa ni Kinara.
Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.
Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.
Kanikera leo na nitamchukia mno.
Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.
Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.
Kanikera leo na nitamchukia mno.