Kipa Siku zote tu yuko jirani na Manara na Matajiri wa Salamander Posta mnategemea asituumize Kimakusudi?

Kipa Siku zote tu yuko jirani na Manara na Matajiri wa Salamander Posta mnategemea asituumize Kimakusudi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwambieni kama akitaka kufanya Utafiti wa mwana Simba SC gani ANAMCHUKIA/ HAMPENDI kwa Upuuzi wake anaotufanyia kwa Kutumika na Maadui zetu Wakubwa mwambieni Mimi GENTAMYCINE ni Mmoja wao na tena naweza hata kuwa ni Kinara.

Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.

Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.

Kanikera leo na nitamchukia mno.
 
Mwambieni kama akitaka kufanya Utafiti wa mwana Simba SC gani ANAMCHUKIA/ HAMPENDI kwa Upuuzi wake anaotufanyia kwa Kutumika na Maadui zetu Wakubwa mwambieni Mimi GENTAMYCINE ni Mmoja wao na tena naweza hata kuwa ni Kinara.

Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.

Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.

Kanikera leo na nitamchukia mno.
Ule mpira angeweza hata kuupunch. Ni goli la kutafakari.

Ila performance ya Outtara leo ambaye nimekuwa nampigia chapuo apewe nafasi inadhihirisha kuwa ana ubora unaostahili. Mashabiki waache kuwa na mihemko dhidi ya wachezaji ambao hawajawaona vya kutosha wakicheza.
 
Mwambieni kama akitaka kufanya Utafiti wa mwana Simba SC gani ANAMCHUKIA/ HAMPENDI kwa Upuuzi wake anaotufanyia kwa Kutumika na Maadui zetu Wakubwa mwambieni Mimi GENTAMYCINE ni Mmoja wao na tena naweza hata kuwa ni Kinara.

Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.

Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.

Kanikera leo na nitamchukia mno.
Djigui Diarra apewe heshima yake ni ngumu kufanya makosa ya kijinga kama ambavyo wanayafanya makipa wengi kwenye hii ligi, matokeo yake wanaonekana kama vile wanauza mechi wakati ni ubovu wao tu, Atujui leo Manura kapewa bahasha ya shingap maana kaingia kwenye mlolongo wa makipa waliofanya blunders na wakaadhibiwa ipasavyo bila huruma, Mbeya city pungufu imetoa somo zuri kwa wazee wa dubai
 
Ule mpira angeweza hata kuupunch. Ni goli la kutafakari.

Ila performance ya Outtara leo ambaye nimekuwa nampigia chapuo apewe nafasi inadhihirisha kuwa ana ubora unaostahili. Mashabiki waache kuwa na mihemko na wachezaji ambao hawajawaona vya kutosha wakicheza.
Hakuna beki hapo ni takataka akikutana na safu ya ushambuliaji yenye kasi mtapigwa magoli mpaka mshangae ni mzito mno.
 
Djigui Diarra apewe heshima yake ni ngumu kufanya makosa ya kijinga kama ambavyo wanayafanya makipa wengi kwenye hii ligi, matokeo yake wanaonekana kama vile wanauza mechi wakati ni ubovu wao tu, Atujui leo Manura kapewa bahasha ya shingap maana kaingia kwenye mlolongo wa makipa waliofanya blunders na wakaadhibiwa ipasavyo bila huruma, Mbeya city pungufu imetoa somo zuri kwa wazee wa dubai
Mlikuwa mnasubiri wasawazishe mtupigie kelele bahati mbaya mambo yamegoma..

Inabidi muwasifie tu hata kama wamefungwa!.
 
Mwambieni kama akitaka kufanya Utafiti wa mwana Simba SC gani ANAMCHUKIA/ HAMPENDI kwa Upuuzi wake anaotufanyia kwa Kutumika na Maadui zetu Wakubwa mwambieni Mimi GENTAMYCINE ni Mmoja wao na tena naweza hata kuwa ni Kinara.

Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.

Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.

Kanikera leo na nitamchukia mno.
Goli la kidwanzi
 

Attachments

  • Screenshot_20230118-191818_Facebook.jpg
    Screenshot_20230118-191818_Facebook.jpg
    83.9 KB · Views: 3
Mlikuwa mnasubiri wasawazishe mtupigie kelele bahati mbaya mambo yamegoma..

Inabidi muwasifie tu hata kama wamefungwa!.
Tumeona pira dubai na m-pesa imesoma kwa Manura njaa zitawauwa kudadek
 
Kajitahudi pale hakuwa na namna kwangu ni chaguo bora we kama umechoka hama timu hamia Yanga
 
Kama ni rahisi kadake wewe[emoji1536]

[emoji16][emoji16][emoji16] me nachekaga tu!
 
Mwambieni kama akitaka kufanya Utafiti wa mwana Simba SC gani ANAMCHUKIA/ HAMPENDI kwa Upuuzi wake anaotufanyia kwa Kutumika na Maadui zetu Wakubwa mwambieni Mimi GENTAMYCINE ni Mmoja wao na tena naweza hata kuwa ni Kinara.

Kazi Kubwa anayoijua na kuiweza ni Kumroga tu Kipa Mwenzake kwa Mganga wake (ambaye pia ni Bibi yake Kwao kulikotokea Mafuriko makubwa hivi Majuzi) na Kujipendekeza kwa Viongozi Watatu Waandamizi Klabuni (akiwemo anayetuaga ili akakae Kibaiolojia na Motsepe CAF) ambao ndiyo Wanamlinda na kumpa Jeuri ya Kujiamini kuwa hakuna wa Kumtisha wala wa Kuchukua Namba yake.

Na tarehe 9 April, 2023 tutaomba aanze (apangwe) Yeye kwa Makusudi ili atuchomeshe tena Kimakusudi kisha atatujua Mashabiki tulivyo na atajua ni kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko.

Kanikera leo na nitamchukia mno.
wewe sasa ndio msaliti wa simba kwani ubamtia jambajamba manula ili ababaike na awe anafungwa,nahisi wewe mchana ni simba lakani usiku ni mwananchi
 
Hakuna kipa asiyefungwa Duniani.

Mkitaka kipa yeyote asifungwe njia rahisi ni akae Benchi kama ilivyo kwa Beno Kakolanya (Hafungwi kwa kuwa apewi nafasi ya kucheza)
 
Back
Top Bottom