Kama mnajua hilo mbona, Mlimlaumu AHMADA??? Nyie ni MBUMBUMBU na mnaona makipa wakifungwa na YANGA ni wazembe ila wakifungwa na Simba mnaona Simba ndio imefanya vizuri.Hakuna kipa asiyefungwa Duniani.
Mkitaka kipa yeyote asifungwe njia rahisi ni akae Benchi kama ilivyo kwa Beno Kakolanya (Hafungwi kwa kuwa apewi nafasi ya kucheza)
Mwenye njaa haendi Dubai, anajificha Kigamboni[emoji2][emoji2]Tumeona pira dubai na m-pesa imesoma kwa Manura njaa zitawauwa kudadek
Ila Outtara hakuna beki hapo! Tena kocha asijichanganye kumpanga kwenye mechi ya Yanga au Azam tutalia! Bora Kenedy JumaUle mpira angeweza hata kuupunch. Ni goli la kutafakari.
Ila performance ya Outtara leo ambaye nimekuwa nampigia chapuo apewe nafasi inadhihirisha kuwa ana ubora unaostahili. Mashabiki waache kuwa na mihemko na wachezaji ambao hawajawaona vya kutosha wakicheza.
yanga nayo ni timu?Kajitahudi pale hakuwa na namna kwangu ni chaguo bora we kama umechoka hama timu hamia Yanga
Sio Azam na yanga tu kiufupi ni hafai kupangwa kwenye mechi yeyote ya mashindano.Ila Outtara hakuna beki hapo! Tena kocha asijichanganye kumpanga kwenye mechi ya Yanga au Azam tutalia! Bora Kenedy Juma
Ouattara ni beki mzuri sana, aendelee kupewa nafasi. Jana mapungufu ya Simba hayakuwa sana kwenye defense ila safu ya mbele. Watu mnatetea wachezaji kwa mapenzi binafsi bila kuangalia mpira ulivyochezwa.Ila Outtara hakuna beki hapo! Tena kocha asijichanganye kumpanga kwenye mechi ya Yanga au Azam tutalia! Bora Kenedy Juma
Kwa mapungufu au kosa lipi?Sio Azam na yanga tu kiufupi ni hafai kupangwa kwenye mechi yeyote ya mashindano.
Mzee hakuna beki hapo kama unaujua mpira na kuwafahamu vyema mabeki wa kati Outtara ni moja ya sajili mbovu kuwahi kufanywa na Simba ni heri ata usajili wa Dejan kuliko huu .Ouattara ni beki mzuri sana, aendelee kupewa nafasi. Jana mapungufu ya Simba hayakuwa sana kwenye defense ila safu ya mbele. Watu mnatetea wachezaji kwa mapenzi binafsi bila kuangalia mpira ulivyochezwa.
Napingana na wewe kwenye hilo. Jana amecheza vizuri zaidi ya Kapombe. Nadhani jana top performancers wa Simba ni Outtara, Kanoute, Onyango, Sacko na Saido halafu nashangaa watu wanasema Outtara na Kanoute hawajafanya kitu.Mzee hakuna beki hapo kama unaujua mpira na kuwafahamu vyema mabeki wa kati Outtara ni moja ya sajili mbovu kuwahi kufanywa na Simba ni heri ata usajili wa Dejan kuliko huu .
Imefika hatua Manula akiwa na mpira wanasimba wanauma meno kwa wasi-wasi.Tunaoijua Simba SC na yanayoendelea tumeshamshtukia Kitambo mno na tunajua kuwa anatumika sana na Maadui zetu wa upande wa Pili katika Kutuumiza Kimatokeo.
Ni mzito sana akikutana na timu yenye safu ya ushambuliaji yenye kasi ataigharimu timu.Kwa mapungufu au kosa lipi?
"Akikutana" zimekuwa nyingi kila mnapomuongelea Outtara. Tuongelee performance yake katika game husika. Hayo mambo ya kufikirika hayana maana. Nyie mnachoita uzito ni kuwa ni mtulivu, hana papara. Kuna macenter wengi tu wazuri wa namna yake.Ni mzito sana akikutana na timu yenye safu ya ushambuliaji yenye kasi ataigharimu timu.
Kuna uwezekano mkubwa jana alicheza huku amelewa. Angalia baada ya kufungwa ile body language yake wakati anang'ang'ania mpira. Kiujumla hakuwa mchezoni.Imefika hatua Manula akiwa na mpira wanasimba wanauma meno kwa wasi-wasi.