KIpa wa Simba Camara apokea hela kutoka kwa mfanyabiashara maarufu wa Nguruwe

KIpa wa Simba Camara apokea hela kutoka kwa mfanyabiashara maarufu wa Nguruwe

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mfanyabiashara mkubwa wa nguruwe dar es salaam na Dodoma amempatatia kipa wa Simba hela

Katika makabidhiano hayo mh sana anasema alifurahi saves zolizooneshwa na mouse Camara libya akamhaidi kumpatia hela kadhaa

Hakuishia hapoo akasema kwa wasiomjua yeye ni mfanyabiashara mkubwa wa Nguruwe hapa Dar na Dodoma na anawakaribisha wote wanaopenda ngrooongorooo wakaribie

Mh kwa mantiki hii akimkaribisha Ndugu Camara kitimoto kama anakipenda

Hata hivyo Camera alifurahia sana alipokabidhiwa na zaidi alicheka aliposikia Nguruwe.....

Nawaza yaleeeee mnakataa nguruwe mnataka kula za wanaotumia nguruwe

Nikopale
C2 bakery centre
 
Nimejaribu kuisave mkuu imegoma sijui kaiwekea sec gan jamani
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-015041_Chrome.jpg
    Screenshot_20240925-015041_Chrome.jpg
    332.8 KB · Views: 7
dah angeahidi Yanga wangetoka na nguruwe 25 Shenzidoowaleeyaan mpaka angeshaaaa asingerudia tena

tena tunazibeba tukixheza na dodomasikuyamwishoo

hivi Yanga hatuna mfanyabiashara wa nguruwe na yeye ajitokeze pls
 
wiki iliooita niliombaa jaman manchuria nguruwe chukien na walaj

sio manchuria huku mnataka kula vyaoo

hapanaaaa hapanaaaa hapanaa
 
UKISHABIKIA SANAAA SIMBA NA YANGA KICHWANI ZINAPUNGUA KABISA.

"Hakuna umasikini Mbaya kama umasikini wa Fikra"
Jk Nyerere.
 
Hata mie ngezipokea na kisha kwenda zitoa sadaka kwa wahitaji wengine endapo imani yangu hainiruhusu kushika fedha zitokanazo na kitmoto

Aheri unapokea kutoka kwa unaejua anafanya shughuli gani kuliko kwa usiyemjua shughuli/biashara afanyazo

Alichopokea sio haramuu ----- haramu ni kile kimtokacho mtu
 
Hata mie ngezipokea na kisha kwenda zitoa sadaka kwa wahitaji wengine endapo imani yangu hainiruhusu kushika fedha zitokanazo na kitmoto

Aheri unapokea kutoka kwa unaejua anafanya shughuli gani kuliko kwa usiyemjua shughuli/biashara afanyazo

Alichopokea sio haramuu ----- haramu ni kile kimtokacho mtu
Halafu mtoa mada mkuda tu hajaweka hata chanzo cha habari yake. Picha pia hakuna.
 
Mfanyabiashara mkubwa wa nguruwe dar es salaam na Dodoma amempatatia kipa wa Simba hela

Katika makabidhiano hayo mh sana anasema alifurahi saves zolizooneshwa na mouse Camara libya akamhaidi kumpatia hela kadhaa

Hakuishia hapoo akasema kwa wasiomjua yeye ni mfanyabiashara mkubwa wa Nguruwe hapa Dar na Dodoma na anawakaribisha wote wanaopenda ngrooongorooo wakaribie

Mh kwa mantiki hii akimkaribisha Ndugu Camara kitimoto kama anakipenda

Hata hivyo Camera alifurahia sana alipokabidhiwa na zaidi alicheka aliposikia Nguruwe.....

Nawaza yaleeeee mnakataa nguruwe mnataka kula za wanaotumia nguruwe

Nikopale
C2 bakery centre
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa....
 
dah angeahidi Yanga wangetoka na nguruwe 25
Yeye ameichagua Simba. Kwani huko Yanga hakuna watoa ahadi za nguruwe?
Uzuri nguruwe hana uvivu kuzaa, anakupigia hadi vitoto 10
 
Anaitangaza biashara yake bure huyo kupitia watu maarufu,pengine bila ya wao kujua kua wanatumika.
 
Back
Top Bottom