Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa jutosha unapika tu majungu...mtoto wa kiuke ukipakatwa utamlaumu nani
Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa kutosha unapika tu majungu kuchafua watu...hata kama unachuki binafsi na watu lakni sio kwa njia hii....mtoto wa kiume ukipakatwa utamlaumu nani?!...mtoto wa kiume mzima unapenda kiki za kiboya kama juma lokole ukiambiwa shoga utasema umetukanwa?!
Labda kavizia 50m kutoka klabuni kama alivyopewa mwenzieAmefunga ndoa haraka, angesubiri joto la ndoa ya Azizi K na mabeto lipite,,
Matusi yote haya yangu?!!Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa jutosha unapika tu majungu...mtoto wa kiuke ukipakatwa utamlaumu nani
Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa kutosha unapika tu majungu kuchafua watu...hata kama unachuki binafsi na watu lakni sio kwa njia hii....mtoto wa kiume ukipakatwa utamlaumu nani?!...mtoto wa kiume mzima unapenda kiki za kiboya kama juma lokole ukiambiwa shoga utasema umetukanwa?!
Mkuu mbona unamtukana uncle wangu wakati sio yeye alieanzisha uzi? Yaani umepanic balaa utadhani ulihaidiwa ndoa na mshery kisha akaoa mwingine
Akili ni kitu umekosaBaada ya Yanga kushtukia kuwa huu ni msimu wa ubaya ubwela wamekuja na kiki za harusi kutupoteza maboya. Galacticos wanaoishia hatua ya makundi.
Angetafuta supastaa wa kike hapo Daslamu kama mobeto basi wangehudhuria woteMlichonfanyia mwenzenu sio powa,
Nusu ya wachezaji hawajaonekana harusini
Nilimuina Sheikh wa timu injinia na wachezaji kama kumi hivi
Mbona wewo
Nina akili mingi mingi hadi zingine zinamwagikaAkili ni kitu umekosa