Kipa wa Yanga Msheri afunga ndoa,wachezaji wenzake wamsusia

Kipa wa Yanga Msheri afunga ndoa,wachezaji wenzake wamsusia

Mkuu mbona unamtukana uncle wangu wakati sio yeye alieanzisha uzi? Yaani umepanic balaa utadhani ulihaidiwa ndoa na mshery kisha akaoa mwingine
Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa jutosha unapika tu majungu...mtoto wa kiuke ukipakatwa utamlaumu nani

Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa kutosha unapika tu majungu kuchafua watu...hata kama unachuki binafsi na watu lakni sio kwa njia hii....mtoto wa kiume ukipakatwa utamlaumu nani?!...mtoto wa kiume mzima unapenda kiki za kiboya kama juma lokole ukiambiwa shoga utasema umetukanwa?!
 
Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa jutosha unapika tu majungu...mtoto wa kiuke ukipakatwa utamlaumu nani

Unakurupuka tu kutoa uzi haujafanya utafiti wa kutosha unapika tu majungu kuchafua watu...hata kama unachuki binafsi na watu lakni sio kwa njia hii....mtoto wa kiume ukipakatwa utamlaumu nani?!...mtoto wa kiume mzima unapenda kiki za kiboya kama juma lokole ukiambiwa shoga utasema umetukanwa?!
Matusi yote haya yangu?!!
 
Jamaa kanichakaza Kwa kweli 😄😄
Mkuu mbona unamtukana uncle wangu wakati sio yeye alieanzisha uzi? Yaani umepanic balaa utadhani ulihaidiwa ndoa na mshery kisha akaoa mwingine
 
Mlichonfanyia mwenzenu sio powa,

Nusu ya wachezaji hawajaonekana harusini
Nilimuina Sheikh wa timu injinia na wachezaji kama kumi hivi

Mbona wewo
Angetafuta supastaa wa kike hapo Daslamu kama mobeto basi wangehudhuria wote
 
Back
Top Bottom