Kipande Cha Barabara Kuu Arusha-Moshi- Tanga, kina network ya simu njia nzima, safi Nape

Kipande Cha Barabara Kuu Arusha-Moshi- Tanga, kina network ya simu njia nzima, safi Nape

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Nimetembea sehemu mbalimbali Tanzania, hasa katika Nchii hii ambayo ni huru, Maeneo Mengi nchi hii mtandao bado ni shida.

Ila Cha ajabu Kuna route moja imenishangangaza katika njia zetu kuu zote za Barabara , nimeshangaa napata network Barabara nzima Kwa umbali mkubwa sana jambo ambalo si kuonekana mara Kwa mara.

Kipande Cha Barabara kutokea Arusha-Moshi- Tanga unapata network vizuri njia nzima yenye takribani kilometer 460. Sijaona sehemu ingine nchi hii kipande kirefu namna hiyo Cha Barabara kiwe na upatikanaji wa Mtandao wa Simu.

Tunataka Nape ahakikishe vipande vyote vya Barabara kuu tunapata internet mwanzo Hadi mwisho wa safari.

Hongera Mama Samia Kwa kazi nzuri Kanda ya Kaskazini katika mambo ya Mtandao katika Barabara kuu za kiuchumi
 
hahahaha lini ulipita kipande hicho hakikuwa na nerwork?.

kutoka Arusha to Tanga, Arusha to Dar miji iko karibu karibu sana, kifupi njia nzima ni miji.
 
Nimetembea sehemu mbalimbali Tanzania, hasa katika Nchii hii ambayo ni huru, Maeneo Mengi nchi hii mtandao bado ni shida.

Ila Cha ajabu Kuna route moja imenishangangaza katika njia zetu kuu zote za Barabara , nimeshangaa napata network Barabara nzima Kwa umbali mkubwa sana jambo ambalo si kuonekana mara Kwa mara.

Kipande Cha Barabara kutokea Arusha-Moshi- Tanga unapata network vizuri njia nzima yenye takribani kilometer 460. Sijaona sehemu ingine nchi hii kipande kirefu namna hiyo Cha Barabara kiwe na upatikanaji wa Mtandao wa Simu.

Tunataka Nape ahakikishe vipande vyote vya Barabara kuu tunapata internet mwanzo Hadi mwisho wa safari.

Hongera Mama Samia Kwa kazi nzuri Kanda ya Kaskazini katika mambo ya Mtandao katika Barabara kuu za kiuchumi
Nape ndio anayeweka network?
 
hahahaha lini ulipita kipande hicho hakikuwa na nerwork?.

kutoka Arusha to Tanga, Arusha to Dar miji iko karibu karibu sana, kifupi njia nzima ni miji.
Nandomana unaweza kukuta TATA inapiga rout mbezi lushoto ila huwezi kukuta tata ziende mbezi iringa
 
Nimetembea sehemu mbalimbali Tanzania, hasa katika Nchii hii ambayo ni huru, Maeneo Mengi nchi hii mtandao bado ni shida.

Ila Cha ajabu Kuna route moja imenishangangaza katika njia zetu kuu zote za Barabara , nimeshangaa napata network Barabara nzima Kwa umbali mkubwa sana jambo ambalo si kuonekana mara Kwa mara.

Kipande Cha Barabara kutokea Arusha-Moshi- Tanga unapata network vizuri njia nzima yenye takribani kilometer 460. Sijaona sehemu ingine nchi hii kipande kirefu namna hiyo Cha Barabara kiwe na upatikanaji wa Mtandao wa Simu.

Tunataka Nape ahakikishe vipande vyote vya Barabara kuu tunapata internet mwanzo Hadi mwisho wa safari.

Hongera Mama Samia Kwa kazi nzuri Kanda ya Kaskazini katika mambo ya Mtandao katika Barabara kuu za kiuchumi
Acha kuwapongeza watu kwa vitu ambavyo ni trivial.. kutoka arusha, moshi hadi Tanga, pengine hadi dar hakuna mapori makubwa ukilinganisha na njia nyingine.
 
"Hongera Mama Samia Kwa kazi nzuri Kanda ya Kaskazini katika mambo ya Mtandao katika Barabara kuu za kiuchumi"
Ondoa hii kwenye bandiko upesi sana jinga wewe hicho kipande ni miaka kipo vyedi..
 
Network nzuri imekuwepo hata kabla Samia hajakuwa raisi...sifa zingine nmnapa mtu hazina kichwa wala miguu...
 
Back
Top Bottom