Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Inawezekana kuna ukweli. Kwa hapa Dar, naona kama kuna sehemu bado hazijakamilika. Kukamilisha kwa mwezi mmoja itakuwa ni miujiza. Huko kwingine sijui nini kinaendelea.
Kwa kazi iliyofanyika, lazima tuwapongeze serikali. Sio kitu rahisi. Wamejitahidi sana
Kwa kazi iliyofanyika, lazima tuwapongeze serikali. Sio kitu rahisi. Wamejitahidi sana