Kipande cha sabuni chafikia Tshs 900

Kipande cha sabuni chafikia Tshs 900

Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei,tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi march na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi may.Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na kwa sasa kipande kimefikia tshs 800 hadi 900.
Kwa sasa hakuna kitu hakijapanda BEI. Misumali haijapanda hada shs moja kwa kipindi cha miaka 9,ila kwa kipindi hiki imepanda kutoka 3000 kwa kilo moja hadi tsshs 5000 kwa kilo.
nakumbuka mh.waziri mkuu aliwahi kuwaagiza wakuu wa mikoa na wilaya kutembelea masokoni na kwenye maduka ya kawaida ili kuwadhibiti wafanyabiashara wanaopandisha bidhaa holela ila hadi sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa kudhibiti hali hiyo.
Hali sio nzuri sana kwa sasa.
Nyie mnaishi Nchi gani?
 
Kuna sabuni ya mche ilikuwa inaitwa kwanga, bado ipo?
 
Rais hafai.
Yupo kama kuku wa kuchora wa Diamondi Platnumz
 
Tuliambiwa "TANZANIA YA VIWANDA" kumbe hakuna hata vya kutengeneza SABUNI...🎣📌🐜

Eti Jamaa Laundry Soap na white wash zinatoka "K.E"🇰🇪
 
"kipande cha sabuni mia tisa hamsiniiii...jiulize kilo ya unga itakuajeee??"[emoji443][emoji444][emoji444][emoji445]

Bora nirudi jela by Hussein Machozi

Hatimaye maneno ya jamaa yametimia by 2022.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei,tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi march na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi may.Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na kwa sasa kipande kimefikia tshs 800 hadi 900.
Kwa sasa hakuna kitu hakijapanda BEI. Misumali haijapanda hada shs moja kwa kipindi cha miaka 9,ila kwa kipindi hiki imepanda kutoka 3000 kwa kilo moja hadi tsshs 5000 kwa kilo.
nakumbuka mh.waziri mkuu aliwahi kuwaagiza wakuu wa mikoa na wilaya kutembelea masokoni na kwenye maduka ya kawaida ili kuwadhibiti wafanyabiashara wanaopandisha bidhaa holela ila hadi sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa kudhibiti hali hiyo.
Hali sio nzuri sana kwa sasa.
Tuendelee kumuombea aupige mwingi tuache wivu mwenye nacho ale tu anaendelea kuifungua nchi iliyojaa mazuzu
 
Halafu kuna mtu anasema mama anapendwa, 2025 atateleza tuu kama gari limekosa breki mlima sekenke!!!

Mama akipita kwa haki kabisa, niondolewe j.f
Apite kwa chama kipi na agombee nafasi ipi na ateuliwe na nani kwa mila ipi kwa tamaduni ipi, achukue chake mapema ila 2025 asithubutu kuiwaza kamwe haitatokea. Mpito ni mpito tu ifahamike hivyo.
 
Tz mna raha sana sie huku marekani kipande cha sabuni tunanunua elf5, mche tunauziwa elf30 na hatulalamiki.
 
Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei,tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi march na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi may.Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na kwa sasa kipande kimefikia tshs 800 hadi 900.
Kwa sasa hakuna kitu hakijapanda BEI. Misumali haijapanda hada shs moja kwa kipindi cha miaka 9,ila kwa kipindi hiki imepanda kutoka 3000 kwa kilo moja hadi tsshs 5000 kwa kilo.
nakumbuka mh.waziri mkuu aliwahi kuwaagiza wakuu wa mikoa na wilaya kutembelea masokoni na kwenye maduka ya kawaida ili kuwadhibiti wafanyabiashara wanaopandisha bidhaa holela ila hadi sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa kudhibiti hali hiyo.
Hali sio nzuri sana kwa sasa.
Msoga Jazz Band-walamba asali leo tupo hapa!
Sisi huku Masaki na Oysterbay tunatumia Aeriel na Omo ambazo tunaimport,sasa hiyo Miche ya JAMAA sisi atutumii,kama imepanda acha kununua 😁😁
Burudani iendelee!
 
Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei,tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi march na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi may.Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na kwa sasa kipande kimefikia tshs 800 hadi 900.
Kwa sasa hakuna kitu hakijapanda BEI. Misumali haijapanda hada shs moja kwa kipindi cha miaka 9,ila kwa kipindi hiki imepanda kutoka 3000 kwa kilo moja hadi tsshs 5000 kwa kilo.
nakumbuka mh.waziri mkuu aliwahi kuwaagiza wakuu wa mikoa na wilaya kutembelea masokoni na kwenye maduka ya kawaida ili kuwadhibiti wafanyabiashara wanaopandisha bidhaa holela ila hadi sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa kudhibiti hali hiyo.
Hali sio nzuri sana kwa sasa.
Haina shida tutatumia mapapai,kazi kwenu watoto wa digital
 
Back
Top Bottom