Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kuijenga nchi sio sawa na kuijenga nyumba ya vyumba vitatu, ni mchakato wa miaka na miaka.Ilani ambazo zimeshindwa kuwapatika watanzania maisha bora aka maendeleo ya watu - watanzania hawa bado wapo kwenye lindi la umasikini mkubwa huku wakipambana na wale maadui watatu ambao Rais wa kwanza Nyerere (Umaskini, Maradhi na Ujinga) aliwataja miaka takribani 60 iliiyopita.
Hizi naongelea ni ilani za uchaguzi za CCM katika awamu tofauti tofauti.
kaka katika maisha yako ya hapa duniani hivi ushakutana na mchakato unaotumia miaka 60 bila kukamilika !!Kuijenga nchi sio sawa na kuijenga nyumba ya vyumba vitatu, ni mchakato wa miaka na miaka.
Ukizingatia ukubwa wa Tanzania.
Huko Marekani wana miaka 245 ya uhuru na bado watu wanalala nje California.kaka katika maisha yako ya hapa duniani hivi ushakutana na mchakato unaotumia miaka 60 bila kukamilika !!
Ndugu, usijilinganishe na wamarekani - acha kabisa!! wenzako wanakutengenezea hizi bombardier / Dream-liners wewe hata kiwanda cha baskeli kimekushinda, wenzako wanarusha satellite angani kwa ajili ya uchunguzi wa mambo ya dunia na usalama wao wewe hata kwanda cha kusindika mafuta ya alzeti / mawese huna ati unaagiza toka nje - sababu kuu MCHAKATO.Huko Marekani wana miaka 245 ya uhuru na bado watu wanalala nje California.
Mchakato wa maendeleo ni wa kudumu umezaliea na utakufa ukiuacha unaendelea.
Hakuna nchi inayoweza kupambana na umaskini kwa asilimia zote mia.Ndugu, usijilinganishe na wamarekani - acha kabisa!! wenzako wanakutengenezea hizi bombardier / Dream-liners wewe hata kiwanda cha baskeli kimekushinda, wenzako wanarusha satellite angani kwa ajili ya uchunguzi wa mambo ya dunia na usalama wao wewe hata kwanda cha kusindika mafuta ya alzeti / mawese huna ati unaagiza toka nje - sababu kuu MCHAKATO.
Kaka haya uliyoyaandika upo sahihi kabisa....kwamba maendeleo ni hatua kwa hatua...very true... ila sasa miaka 60 ndugu ? hata kimoja kilichokamilika kwa walau 60% hakipo!!Hakuna nchi inayoweza kupambana na umaskini kwa asilimia zote mia.
Na sisi ni kwa sababu ya kujidharau tu, yapo mengi yamefanyika.
Nchi nzima imeunganishwa na mtandao wa barabara, hayo ni maendeleo makubwa, kuna nchi afrika hii hii haina mtandao wa barabara kama wetu.
Kuna masuala ya bima za afya kwa wananchi, haya ni maendeleo makubwa, masuala ya uimarishwaji wa sekta ya afya.
Umeme kusambazwa nchi nzima ifikapo mwakani ni maendeleo makubwa sana.
Tumezoea kulalamika kuanzia january mpaka desemba. Lawama zinatuondelea uwezo wa kufanya tathmini za haki za kinachofanywa na serikali.
Ni maoni yako kama yalivyo ya mtu mwingine yoyote. Ila siamini kwamba kwa miaka 60 hakuna kilichofanyika.Kaka haya uliyoyaandika upo sahihi kabisa....kwamba maendeleo ni hatua kwa hatua...very true... ila sasa miaka 60 ndugu ? hata kimoja kilichokamilika kwa walau 60% hakipo!!
Kwa mfano hata hili zoezi dogo tu la kuchaguana sisi wenyewe kwa wenyewe ili kupata viongozi waliotokana na wananchi kwa kufuata sheria zetu wenyewe hatuwezi, kuheshimu Katiba yetu wenyewe ni shida - sasa hayo maendeleo yanapatikana kwa njia ipi?
Ifike pahala, kukae kama Taifa tujiangalie upya - miaka 60 ni mingi - Road map yetu lazima ina tatizo kubwa!!
Hayo yote tunayajua na tunajua kuwa waliochangia huo ujenzi ni Watanzania na si familia ya Magufuli.PICHA: Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Morogoro – Makutupora, Dodoma (KM 422) zinaendelea ambapo Ujenzi wa kipande hicho umefikia 61%.
Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Lakini pia kuna akili na IQ, sisi wengine tulimchukia mwendazake kwa sababu ya akili yake, na sasa tunaona nafuu Samia kwa sababu ameonesha ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko mwendazakeHuwa sisi watanzania tunashangaza sana tunapojaribu kumponda rais mmoja na kumshabikia mwingine. Wote wanaitekeleza ilani ya CCM, wote hao wanatekeleza malengo yale yale.
Rais Samia aliposema yeye na hayati ni kitu kimoja maana yake ni utekelezaji wa sera zile zile, mikakati ile ile. Ni kichekesho sana kumsimanga rais mmoja na kumpongeza mwingine, kufanikiwa kwa mmoja ni kufanikiwa kwa mwingine kushindwa kwa mmoja ni kushindwa kwa mwingine.
Wangekuwa ni marais wanaotoka vyama tofauti hapo hizi hoja za kishabiki zingeweza angalau kuwa na mashiko.
Waende mbali zaidi zijiendeshe zenyewe (full automation)Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Unamaniisha mama Samia naye ataendeleza sera ya kuteka, kutesa,kufinyanga uhuru wa kutoa habari, kunyima uhuru vyama vya siasa kuendelea na majukumu yao, kukamata kamata akaunti za wafanyabiashara kwa chuki?Huwa sisi watanzania tunashangaza sana tunapojaribu kumponda rais mmoja na kumshabikia mwingine. Wote wanaitekeleza ilani ya CCM, wote hao wanatekeleza malengo yale yale.
Rais Samia aliposema yeye na hayati ni kitu kimoja maana yake ni utekelezaji wa sera zile zile, mikakati ile ile. Ni kichekesho sana kumsimanga rais mmoja na kumpongeza mwingine, kufanikiwa kwa mmoja ni kufanikiwa kwa mwingine kushindwa kwa mmoja ni kushindwa kwa mwingine.
Wangekuwa ni marais wanaotoka vyama tofauti hapo hizi hoja za kishabiki zingeweza angalau kuwa na mashiko.
PICHA: Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Morogoro – Makutupora, Dodoma (KM 422) zinaendelea ambapo Ujenzi wa kipande hicho umefikia 61%.
Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Kwa hiyo na wakoloni nao waliacha legacy Dar -Arusha?PICHA: Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Morogoro – Makutupora, Dodoma (KM 422) zinaendelea ambapo Ujenzi wa kipande hicho umefikia 61%.
Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Wewe unafikiri hii ilikuwa kazi ya nani?PICHA: Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Morogoro – Makutupora, Dodoma (KM 422) zinaendelea ambapo Ujenzi wa kipande hicho umefikia 61%.
Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Wewe muongo haupo Dodoma , Dodoma mjini imepita hivi sasa na Mguzo zimewekwa baadhi ya maeneo na sasa wanatarajia kuhamisha kambi ihumwa usilete stori za kijiweni humuUjenzi huu wa reli umekuwa na stori ndefu sana.....61% wamefikia mbinguni wakati Dodoma hajaanza kufanya lolote na ndo kuna kipande kikubwa kutoka Dodoma-Singida(Makutupola)
Kwani last time MATAGA mlisema kipande kimefikia wapi?PICHA: Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Morogoro – Makutupora, Dodoma (KM 422) zinaendelea ambapo Ujenzi wa kipande hicho umefikia 61%.
Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Hii kauli ya kuua legacy ya Magufuli ni dhana potofu tu lakini hakuna kitu kama hicho. Kuna watu ambao baada ya kifo cha Magufuli walitaka kupindisha Katiba ili Samia asiwe Rais. Baada ya hoja zao kushindwa ndiyo wakaunda Sukuma Gang kumpinga Mama kwa kigezo kuwa maamuzi yake mengi yana nia ya kufuta legacy ya Magufuli. Hivi unafutaje kitu kikubwa kama SGR? Magufuli hakuwa Mungu kuna mambo ya hovyo alifanya hivyo kuyahoji au kuyarekebisha siyo kufuta legacy yake.PICHA: Kazi za ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Morogoro – Makutupora, Dodoma (KM 422) zinaendelea ambapo Ujenzi wa kipande hicho umefikia 61%.
Ujenzi wa Reli hiyo ya Kisasa unatarajiwa kuwekwa mifumo ya kisasa ambayo itamdhibiti mwendeshaji wa Treni kutovuka spidi iliyowekwa.
Hii siyo hoja iliyopo mezani. Kwani lini Mshana amekuwa Rais wa Tanzania?Wewe utaacha memory au legacy kwa Tanzania??