Kipande cha SGR Morogoro to Makutupora 61%

Kipande cha SGR Morogoro to Makutupora 61%

..Tazara ambayo ni zaidi ya1800 kms ilijengwa kwa miaka 5.

..Tazara ni kutoka Dar es salaam mpaka Kapiri Mposhi Zambia.

..sijui kwanini reli ya Dar es salaam to Morogoro inachukua muda mrefu kiasi hiki.

..kila wakati tunapewa ahadi mpya kuhusu lini reli ujenzi utakamilika, na lini reli itaanza kufanya kazi.
 
Nadhani utekelezaji wa hii miradi ya kimkakati iko kwenye ilani ya chama inawezaje kuwa ni legacy ya mtu?
Eee eeeeeh!! Sukuma wa... sukuma waa... lelileleleleeeee.... na dokta Remmy Ongala
 
..Tazara ambayo ni zaidi ya1800 kms ilijengwa kwa miaka 5.

..Tazara ni kutoka Dar es salaam mpaka Kapiri Mposhi Zambia.

..sijui kwanini reli ya Dar es salaam to Morogoro inachukua muda mrefu kiasi hiki.

..kila wakati tunapewa ahadi mpya kuhusu lini reli ujenzi utakamilika, na lini reli itaanza kufanya kazi.
Na bado ya TAZARA hatujaiita legacy ya Nyerere
 
Back
Top Bottom