Kipandikizi kinamtesa mke wangu, tumbo linamuuma na haoni siku zake

Huo upuuzi nilimkataza mke wangu , kabisaaa n bora uwe unatumia kondom wakati wa kujamiiana na mkeo au siku ambazo hayupo kwenye danger
 
Akakitoe kimemkataa in short Hakuna njia salama ya uzazi wa mpango cha msingi tumieni condoms au withdraw ni Nzuri na mtakuwa na uhakika wa kupata mimba ingine pindi mtakapohitaji
Withdraw inakuwaje hiyo , mm huwa natumia condom na wifi yako
 
Mkuu siku za hatari katika mwezi mzima hazifiki hata saba,yanini kwenda kutumia madubwasha hayo ilhali kuna njia salama tu za asili za kupanga uzazi?.coitus interuptus etc
 
Hapo kwenye kondom ndiyo mtihani mkubwa kwangu,labda hiyo withdraw naomba unieleweshe ni nini na inafanywaje?
Mtihani kivipi ukitumia kondom , mm mke wangu dKt. Lakini hatumii hizo vipandikizi wala vidonge badala yake tunatumia kondom
 
Nashukuru kwa ushauri,ila ninaomba mnielimishe nyie upande wenu ilikuwaje?Maana mimi ni mgeni wa mambo haya!!!!

Mi nimeweka hiyo for the first 7months sikuona siku zangu kwa sasa Niko sawa kabisa. Kama anaumwa na kichwa basi arudi hapo walipomwekea wamshauri zaidi. Hivi vitu ni hormonal na kama ana shida ya pressure vutamsumbua. Aweke coil ambayo ni non hormonal
 
Mwambie akakitoe, even though hizo ni side effects za icho kipandikizi then nashaur mara hii ukafunge ww muache mama apumzike
 
Na ufanye haraka kumtoa hicho kidudu.ama laah utmpoteza shemeji.ni hatari saana
 
ASANTENI SANA WANAJF KWA USHAURI.JANA NIMEMPELEKA HOSPITAL WAMEMTOA KILE KIPANDIKIZI.NIKO NASIKILIZIA KUONA KAMA SIKU ZAKE ZITAREJEA KAWAIDA ILI NIONE NINI CHA KUFANYA.KIMSINGI HAYA MADUDE TUNGEWAACHIA MANESI MAANA NI HATARI
 
ngoja nisubscribe huu uzi, nile nije tena
 
Mwanawani kama utashindwa kutumia kalenda, withdraw,au mpira basi njia sahihi ya kutumia ambayo haina complication kwa sasa ni "kitanzi"- intra uterine device.kifaa kinachowekwa kwenye mfuko wa kizazi...hakina madhara kwenye mfumo wa homoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…