Kipanya aibukia kwa Spika Ndugai

17 wamemlalia kifuani ila 2 ambao ni mdee na bulaya ndo wanamlamba sikio kumpandisha hisia za kuwalinda
 
Ataitwa kwenye kamati ya chama ya kinga na sheria maana this time hatuna bunge
Aitwe kwani hapo kamchora nani.
Umeona jina la kiongozi yeyote hapo?
Yeye kachora picha za watu ila hajachora mtu.
 
Jinsi waandishi wanavyowindwa wakiandika habari hasi, saiv wangehamia kwenye kutumia picha, serikali ingewakosa

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…